< 1 Aikakirja 7 >

1 Isaskarin lapset: Tola, Pua, Jasub ja Simron, neljä.
Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
2 Tolan lapset: Ussi, Rephaja, Jeriel, Jahemai, Jibsam ja Samuel, jotka olivat päämiehet heidän isäinsä huoneessa Tolasta, ja väkevät miehet sukukunnissansa; heidän lukunsa oli Davidin aikana kaksikolmattakymmentä tuhatta ja kuusisataa.
Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
3 Ussin lapset: Jisraja. Ja Jisrajan lapset: Mikael, Obadia, Joel ja Jesia, viisi, ja olivat kaikki päämiehet.
Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
4 Ja heidän kanssansa heidän sukukunnissansa isäinsä huoneessa oli sotajoukko kuusineljättäkymmentä tuhatta; sillä heillä oli monta emäntää ja lasta.
Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
5 Ja heidän veljensä, jalot miehet kaikesta Isaskarin sukukunnasta, olivat seitsemänyhdeksättäkymmentä tuhatta, nämät kaikki luettiin polvilukuun.
Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
6 BenJaminin lapset: Bela, Beker, Jediael, ne kolme.
Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
7 Belan lapset: Etsbon, Ussi, Ussiel, Jerimot ja Iri, ne viisi, päämiehet heidän isäinsä huoneesta, väkevät miehet, ja heitä luettiin polvilukuun kaksikolmattakymmentä tuhatta ja neljäneljättäkymmentä.
Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
8 Bekerin lapset: Semira, Joas, Elieser, Eljoenai, Omri, Jeremot, Abia, Anatot ja Alemeth: ne kaikki olivat Bekerin lapset,
Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
9 Ja olivat luetut polvilukuun heidän sukukunnastansa, heidän isäinsä huoneen päämiehet, kaksikymmentä tuhatta ja kaksisataa jaloa miestä.
Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
10 Jediaelin lapset: Bilhan. Bilhanin lapset: Jeus, Benjamin, Ehud, Kenaena, Setan, Tarsis ja Ahisaar.
Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
11 Ne olivat kaikki Jediaelin lapset, heidän isäinsä sukukuntain päämiehet, ja väkevät miehet: seitsemäntoistakymmentä tuhatta ja kaksisataa, jotka sotaan läksivät.
Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
12 Suppim ja Huppim olivat Irin lapset. Mutta Husim Aherin lapset.
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
13 Naphtalin lapset: Jahsiel, Guni, Jetser ja Sallum, Bilhan lapset.
Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
14 Manassen lapset: Esriel, jonka hänen emäntänsä synnytti; mutta hänen Syrialainen jalkavaimonsa synnytti Makirin Gileadin isän.
Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
15 Makir otti Huppimin ja Suppimin tyköä emännän, joka oli molempain sisar, Maeka nimeltä; hänen toisen poikansa nimi oli Zelophkad. Ja Zelophkadilla oli tyttäriä.
Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
16 Ja Maeka Makirin emäntä synnytti pojan, jonka hän kutsui Peres, ja hänen veljensä kutsuttiin Sares, ja hänen poikansa oli Ulam ja Rakem.
Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 Mutta Bedam oli Ulamin poika. Nämät ovat Gileadin lapset, Makirin pojan Manassen pojan.
Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
18 Ja hänen sisarensa Moleeket synnytti Ishudin, Abieserin ja Mahlan.
Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
19 Ja Semidalla olivat nämät lapset: Ahjan, Sikem, Likhi ja Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
20 Nämät ovat Ephraimin lapset: Sutela, ja Bered hänen poikansa, Tahat hänen poikansa, Elada hänen poikansa, Tahat hänen poikansa,
Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
21 Sabad hänen poikansa, Sutela hänen poikansa, Eser ja Elad. Ja Gatin miehet, siinä maassa syntyneet, löivät heidät kuoliaaksi; sillä he olivat menneet ottamaan heidän karjaansa.
Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
22 Ja heidän isänsä Ephraim murehti kauvan aikaa; ja hänen veljensä tulivat lohduttamaan häntä.
Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
23 Ja hän meni emäntänsä tykö, ja hän siitti ja synnytti pojan, jonka hän kutsui Beria, että hän oli ollut ahdistuksessa huoneessansa.
Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
24 Hänen tyttärensä oli Seera, hän rakensi alimaisen ja ylimäisen Bethoronin ja Ussen Seeran.
Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
25 Hänen poikansa oli Repha ja Reseph, ja Tela hänen poikansa, Tahan hänen poikansa,
Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
26 Ladan hänen poikansa, Ammihud hänen poikansa, Elisama hänen poikansa,
Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
27 Nun hänen poikansa, Josua hänen poikansa.
Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
28 Ja heidän tavaransa ja asuinsiansa oli Betel, kyläinsä kanssa, ja Naeran itään päin, ja Geser länteen päin kyläinsä kanssa, Sekem kyläinsä kanssa, hamaan Assaan asti kyläinsä kanssa;
Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
29 Ja Manassen lasten poikain tyköä, Betsean kylinensä, Taenak ja hänen kylänsä, Megiddo ja hänen kylänsä. Näissä asuivat Josephin Israelin pojan lapset.
Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
30 Asserin lapset: Jimna, Jisva, Jisvi, Beria ja Sera heidän sisarensa.
Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
31 Berian lapset olivat: Heber ja Makiel, se on Bersavitin isä.
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32 Ja Heber siitti Japhletin, Somerin, Hotamin, ja Suan heidän sisarensa.
Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
33 Japhletin lapset: Pasak, Bimhal ja Asvat: ne olivat Japhletin lapset.
Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
34 Somerin lapset: Ahi, Rahga, Jehubba ja Aram.
Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
35 Ja hänen veljensä Helemin lapset: Zopha, Jimna, Seles ja Amal.
Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 Zophan lapset: Sua, Harnepher, Sual, Beri ja Jimra,
Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
37 Betser, Hod, Samma, Silsa, Jitran ja Beera.
Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
38 Jeterin lapset: Jephunne, Phispa ja Ara.
Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
39 Ullan lapset: Arah, Hanniel ja Ritsja.
Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
40 Nämät olivat kaikki Asserin lapset, valitut päämiehet heidän isäinsä huoneessa, väkevät miehet ja päämiesten pääruhtinaat, ja luettiin polvittain sotajoukkoon, ja heidän lukunsa oli kuusikolmattakymmentä tuhatta miestä.
Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

< 1 Aikakirja 7 >