< 1 Aikakirja 21 >

1 Ja saatana seisoi Israelia vastaan ja kehoitti Davidin lukemaan Israelia.
Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.
2 Ja David sanoi Joabille ja kansan ylimmäisille: menkäät ja lukekaat Israel Bersebasta Daniin saakka, ja tuokaat minulle, että minä tietäisin heidän lukunsa.
Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”
3 Joab sanoi: Herra enentäköön kansansa sata kertaa suuremmaksi kuin se nyt on. Herrani kuningas, eikö nämät kaikki ole herrani palveliat? miksi siis herrani kysyy sitä? miksi se tulis synniksi Israelille?
Yoabu akajibu, “Bwana na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”
4 Mutta kuninkaan sana voitti Joabin. Ja Joab meni ja vaelsi koko Israelin ympäri, ja tuli Jerusalemiin.
Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.
5 Ja Joab antoi Davidille luetun kansan luvun: ja koko Israelissa oli yksitoistakymmentä kertaa satatuhatta miestä, jotka miekkaa ulos vetivät. Ja Juudassa neljäsataa tuhatta ja seitsemänkymmentä tuhatta miekan vetävää miestä.
Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.
6 Mutta Leviä ja BenJaminia ei hän näiden sekaan lukenut; sillä Joab kauhistui kuninkaan sanasta.
Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.
7 Mutta asia oli paha Jumalan silmäin edessä; ja hän löi Israelin.
Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.
8 Ja David sanoi Jumalalle: minä olen raskaasti syntiä tehnyt, että minä sen tehnyt olen: mutta ota palvelias vääryys pois; sillä minä olen sangen tyhmästi tehnyt.
Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”
9 Ja Herra puhui Gadille, Davidin näkiälle, sanoen:
Bwana akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,
10 Mene ja puhu Davidille, sanoen: näin sanoo Herra: kolme minä panen sinun etees: valitse yksi niistä, ja minä teen sen sinulle.
“Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’”
11 Ja kuin Gad tuli Davidin tykö, sanoi hän hänelle: näin sanoo Herra: valitse sinulles:
Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Chagua:
12 Taikka kolme nälkävuotta, taikka kolmen kuukauden pako vihollistes edessä ja vainollises miekan edessä, että se on käsittävä sinun, eli kolmeksi päiväksi Herran miekka ja ruttotauti maalle, niin että Herran enkeli kadottaa kaikki Israelin rajoilla. Niin ajattele siis nyt, mitä minun pitää häntä vastaamaan, joka minun on lähettänyt.
miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Bwana, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa Bwana akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”
13 David sanoi Gadille: minulla on suuri ahdistus; kuitenkin tahdon minä langeta Herran käsiin, sillä hänen laupiutensa on sangen suuri, en tahdo langeta ihmisten käsiin.
Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa Bwana kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”
14 Ja Herra antoi ruttotaudin tulla Israeliin, niin että Israelista lankesi seitsemänkymmentä tuhatta miestä.
Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.
15 Ja Jumala lähetti enkelin Jerusalemiin hukuttamaan sitä; ja hukuttaissa katsoi Herra siihen ja katui sitä pahaa, ja sanoi enkelille, joka hukutti: nyt on kyllä, pidä kätes ylös! Mutta Herran enkeli seisoi Ornanin Jebusilaisen riihen tykönä.
Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Bwana akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Bwana alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
16 Ja David nosti silmänsä ja sai nähdä Herran enkelin seisovan maan ja taivaan välillä, ja ulosvedetyn miekan hänen kädessänsä ojennetun Jerusalemin päälle. Niin lankesi David ja vanhimmat kasvoillensa, puetetut säkeillä.
Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa Bwana akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.
17 Ja David sanoi Jumalalle: enkö minä se ole, joka annoin lukea kansan? minä se olen, joka syntiä tein ja aivan pahoin tein. Mitä nämät lampaat tehneet ovat? Herra Jumalani, anna kätes olla minun ja minun isäni huoneen päälle, ja ei sinun kansalles vaivaksi.
Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee Bwana, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”
18 Ja Herran enkeli sanoi Gadille että hän sanois Davidille, että David menis ja rakentais Herralle alttarin Ornanin Jebusilaisen riiheen.
Kisha malaika wa Bwana akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea Bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.
19 Ja David meni Gadin sanan jälkeen, jonka hän Herran nimeen puhunut oli.
Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la Bwana.
20 Vaan kuin Ornan käänsi itsensä ja näki neljän poikansa kanssa enkelin, lymyttivät he heitänsä; sillä Ornan tappoi nisuja.
Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.
21 Kuin David meni Ornanin tykö, näki Ornan ja havaitsi Davidin, ja meni riihestä ulos ja lankesi kasvoillensa Davidin eteen maahan.
Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.
22 Ja David sanoi Ornanille: anna minulle sen riihen sia, rakentaakseni siihen Herralle alttarin; anna se minulle täyden rahan edestä, että vitsaus lakkais kansasta.
Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya Bwana tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”
23 Ja Ornan sanoi Davidille: ota sinulles ja tee, herrani kuningas, kuin sinulle kelpaa. Katso, minä annan myös härkiä polttouhriksi ja aseita puiksi, ja nisuja ruokauhriksi: kaikki minä annan.
Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”
24 Mutta kuningas David sanoi Ornanille: ei niin, vaan minä tahdon peräti ostaa sen täydellä rahalla; sillä en minä ota sitä, mikä sinun on, Herralle ja tee polttouhria maksamata.
Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya Bwana au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”
25 Niin David antoi Ornanille sen sian edestä kuudensadan siklin painon kultaa.
Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600 kwa ajili ya ule uwanja.
26 Ja David rakensi siinä Herralle alttarin ja uhrasi polttouhria ja kiitosuhria, ja rukoili Herraa; ja hän kuuli hänen tulella taivaasta polttouhrin alttarilla.
Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita Bwana naye Bwana akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
27 Ja Herra sanoi enkelille, että hän pistäis miekkansa tuppeensa.
Kisha Bwana akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.
28 Kuin David näki Herran kuulleeksi häntä Ornanin Jebusilaisen riihessä, uhrasi hän siellä.
Wakati huo, Daudi alipoona kwamba Bwana amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.
29 Sillä Herran maja, jonka Moses oli tehnyt korvessa, ja polttouhrin alttari olivat silloin Gibeonin korkeudella.
Maskani ya Bwana ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.
30 Ja ei David taitanut mennä sen eteen kysymään Jumalaa; sillä hän oli peljästynyt Herran enkelin miekkaa.
Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa Bwana.

< 1 Aikakirja 21 >