< 1 Aikakirja 11 >
1 Ja koko Israel kokoontui Davidin tykö Hebroniin ja sanoi: katso, me olemme sinun luus ja lihas.
Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.
2 Ja aina ennenkin, Saulin ollessa kuninkaana, johdatit sinä Israelin ulos ja sisälle. Ja Herra sinun Jumalas on sanonut sinulle: sinun pitää kaitseman kansaani Israelia ja sinun pitää oleman kansani Israelin päämiehen.
Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye Bwana Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’”
3 Ja kaikki Israelin vanhimmat tulivat kuninkaan tykö Hebroniin, ja David teki liiton heidän kanssansa Herran edessä Hebronissa. Ja he voitelivat Davidin Israelin kuninkaaksi Herran sanan jälkeen Samuelin kautta.
Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za Bwana, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na Bwana alivyoahidi kupitia kwa Samweli.
4 Sitten meni David ja koko Israel Jerusalemiin, se on Jebus; sillä Jebusilaiset asuivat siinä maassa.
Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo
5 Ja Jebuksen asuvaiset sanoivat Davidille: sinun ei pidä tuleman tänne; mutta David voitti Zionin linnan, se on Davidin kaupunki.
wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
6 Ja David sanoi: joka Jebusilaiset ensin lyö, hänen pitää oleman pään ja ylimmäisen. Niin Joab Zerujan poika astui ensin ylös ja tuli päämieheksi.
Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.
7 Ja David asui linnassa; sentähden kutsuivat he sen Davidin kaupungiksi.
Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.
8 Ja hän rakensi kaupungin ympäri Millosta ja sitte kaiken ympäri. Ja Joab jätti ne elämään, jotka jääneet olivat kaupunkiin.
Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.
9 Ja niin David menestyi ja tuli väkeväksi, ja Herra Zebaot oli hänen kanssansa.
Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.
10 Nämät ovat ylimmäiset Davidin väkevimpäin seassa, jotka miehuullisesti hänen kanssansa pitivät hänen valtakunnassansa koko Israelin tykönä, niin että hän tehtiin kuninkaaksi Herran sanan jälkeen Israelin ylitse.
Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama Bwana alivyoahidi.
11 Ja tämä on Davidin sankarien luku: Jasobeam Hakmonin poika ylimmäinen päämiesten seassa. Hän nosti keihäänsä ja löi kerralla kolmesataa.
Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.
12 Hänen jälkeensä oli Eleasar, Dodon Ahohilaisen poika, hän oli kolmen sankarin seassa.
Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.
13 Tämä oli Davidin kanssa Pasdammimissa, kuin Philistealaiset olivat kokoontuneet sinne sotaan. Ja oli kappale peltoa ohraa täynnä, ja kansa pakeni Philistealaisia.
Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.
14 Ja he astuivat keskelle peltoa, ja varjelivat sen, ja löivät Philistealaiset. Ja Herra antoi heille suuren autuuden.
Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.
15 Ja kolme niistä kolmestakymmenestä ylimmäisestä tulivat kalliolle alas Davidin tykö Adullamin luolaan. Mutta Philistealaisten leiri oli Rephaimin laaksossa.
Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.
16 Ja David oli silloin linnassa; ja Philistealaisten kansa oli silloin Betlehemissä.
Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.
17 Ja David himoitsi ja sanoi: kuka antais minun juoda sitä vettä, joka on kaivossa Betlehemin portin tykönä?
Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”
18 Niin ne kolme juoksivat Philistealaisten leiriin, ja ammunsivat vettä kaivosta Betlehemin portin tyköä, ottivat ja kantoivat Davidille; mutta ei David tahtonut sitä juoda, vaan kaasi sen Herran eteen,
Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana.
19 Ja sanoi: Jumala antakoon sen kaukana olla minusta, että minä tämän tekisin! pitäiskö minun juoman näiden miesten verta heidän henkensä vaarassa? sillä he ovat sen tuoneet henkensä vaaralla; sentähden ei hän tahtonut sitä juoda. Sen tekivät ne kolme sankaria.
Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa. Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.
20 Abisai Joabin veli, hän oli ylimmäinen kolmesta, ja hän nosti keihäänsä ja löi kolmesataa, ja hän ylistettiin niiden kolmen seassa.
Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.
21 Ja hän oli kolmen seassa kuuluisampi kahta ja oli heidän päämiehensä; mutta kolmen tykö ei hän tullut.
Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.
22 Benaja Jojadan poika väkevän miehen poika, joka suuria töitä tehnyt oli, Kabtseelista: hän löi kaksi Moabilaisten jalopeuraa; ja hän meni alas ja löi jalopeuran keskellä kaivoa lumen aikana.
Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.
23 Hän löi myös Egyptin miehen, joka oli viisi kyynärää pitkä, ja Egyptiläisen kädessä oli keihäs niinkuin kankaan puu, mutta hän meni alas hänen tykönsä sauvalla, tempasi keihään Egyptiläisen kädestä ja tappoi hänen omalla keihäällänsä.
Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.
24 Näitä teki Benaja Jojadan poika; ja hän ylistettiin kolmen uljasten seassa,
Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.
25 Ja oli kuuluisampi niitä kolmeakymmentä; mutta kolmen tykö ei hän tullut. Ja David teki hänen salaiseksi neuvonantajaksensa.
Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.
26 Niin myös sotasankarit: Asahel Joabin veli, Elhanan Dodonin poika Betlehemistä,
Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
27 Samot Harorilainen, Heles Pelonilainen,
Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
28 Ira Ikeksen Tekoalaisen poika, Abieser Antotilainen.
Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
29 Sibbekai Husatilainen, Ilai Ahohilainen,
Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
30 Maherai Netophatilainen, Heled Baenan Netophatilaisen poika,
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
31 Ittai Ribain poika Gibeasta, BenJaminin lapsista, Benaja Pirtagonilainen,
Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
32 Hurai Gasin pojista, Abiel Arbatilainen,
Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
33 Asmavet Baharumilainen, Eliahba Saalbonilainen;
Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34 Hasemin Gisonilaisen lapset: Jonatan Sagen Hararilaisen poika,
wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
35 Ahiam Sakarin Hararilaisen poika, Eliphal Urin poika,
Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
36 Hepher Makeratilainen, Ahia Pelonilainen,
Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
37 Hetsro Karmelilainen, Naerai Asbain poika,
Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
38 Joel Natanin veli, Mibhar Hagrin poika,
Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
39 Zelek Ammonilainen, Naherai Berotilainen, Joabin Zerujan pojan aseenkantaja,
Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
40 Ira Jetriläinen, Gareb Jetriläinen,
Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
41 Uria Hetiläinen, Sabad Ahelain poika,
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
42 Adina Sisan Rubenilaisen poika, Rubenilaisten päämies, ja kolmekymmentä oli hänen kanssansa;
Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
43 Hanan Maekan poika, Josaphat Mitniläinen,
Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
44 Ussia Asteratilainen, Sama ja Jeiel Hotamin Aroerilaisen pojat,
Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
45 Jediael Simrin poika, Joha hänen veljensä, Titsiläinen,
Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
46 Eliel Maheavilainen, Jeribai ja Josavia Elnaamin pojat, Itma Moabilainen,
Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
47 Eliel, Obed ja Jaesiel Mesobajasta.
Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.