< Markus 3 >

1 Jeesus läks taas sünagoogi. Seal oli üks mees, kellel oli vigane käsi.
Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
2 Seal oli ka neid, kes jälgisid, kas Jeesus teeb mehe hingamispäeval terveks, sest nad otsisid põhjust, et teda seaduserikkumises süüdistada.
Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
3 Jeesus ütles vigase käega mehele: „Tule ja seisa siia kõikide ette.“
Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, “Njoo hapa katikati.”
4 „Kas hingamispäeval on seaduslik teha head või halba? Kas peaks elu säästma või tapma?“küsis ta neilt. Kuid nemad ei vastanud sõnagi.
Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?” Lakini wao hawakusema neno.
5 Ta vaatas neid ärritunult ja nende halastamatuse pärast ägestudes. Seejärel ütles ta mehele: „Siruta käsi välja.“Mees sirutas käe välja ja käsi sai terveks.
Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, “Nyosha mkono wako!” Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
6 Variserid lahkusid ja hakkasid kohe Heroodese pooldajatega salaplaane pidama, kuidas nad saaksid Jeesuse tappa.
Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
7 Vahepeal läks Jeesus tagasi mere äärde ja suur hulk rahvast järgnes talle. Nad olid pärit Galileast, Juudamaalt,
Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
8 Jeruusalemmast, Idumeast, Jordani-taguselt alalt ning Tüürose ja Siidoni piirkonnast. Nii palju rahvast tuli teda vaatama sellepärast, et nad olid kuulnud kõigest, mida ta teeb.
Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
9 Jeesus käskis oma jüngritel väikese paadi valmis panna juhuks, kui rahvas talle väga peale tungib,
Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
10 sest ta oli nii paljud terveks teinud, et haiged tunglesid tema poole, et nad saaksid teda puudutada.
Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
11 Iga kord kui kurjad vaimud teda nägid, langesid nad tema ette maha ja kisendasid: „Sina oled Jumala Poeg!“
Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, “Wewe ni Mwana wa Mungu!”
12 Kuid ta keelas neil avaldada, kes ta on.
Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
13 Seejärel läks Jeesus mägismaale. Ta kutsus need, keda ta soovis, enda juurde, ja nad tulid tema juurde.
Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
14 Ta valis neist kaksteist, kes oleksid temaga koos, ja nimetas nad apostliteks. Nad pidid olema temaga koos ning ta kavatses nad saata välja head sõnumit kuulutama
naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
15 ja nad pidid saama voli kurje vaime välja ajada.
na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
16 Need on kaksteist, kelle ta valis: Siimon (kelle ta nimetas Peetruseks),
Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
17 Sebedeuse poeg Jaakobus ja tema vend Johannes (kelle kohta ta ütles Boanerges, mis tähendab „kõuepojad“),
Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake “wanangurumo”),
18 Andreas, Filippus, Bartolomeus, Matteus, Toomas, Alfeuse poeg Jaakobus, Taddeus, revolutsionäär Siimon
Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
19 ja Juudas Iskariot (kes ta reetis).
Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
20 Jeesus läks koju, kuid taas kogunes nii suur rahvahulk, et temal ja ta jüngritel ei olnud isegi aega süüa.
Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
21 Kui Jeesuse perekond sellest kuulis, tulid nad talle järele, öeldes: „Ta on aru kaotanud.“
Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
22 Ent Jeruusalemma vaimulikud juhid ütlesid: „Ta on Peltsebuli võimuses! Ta ajab kurje vaime välja kurjade vaimude valitseja abil!“
Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, “Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.”
23 Aga Jeesus kutsus nad enda juurde ning näitlikku selgitust kasutades küsis neilt: „Kuidas saab Saatan Saatanat välja ajada?
Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
24 Kuningriik, mis on iseendaga sõjajalal, ei jää püsima.
Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
25 Riidlev leibkond on hukule määratud.
Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
26 Kui Saatan on iseendaga riius ja sõjajalal, ei kesta ta kaua − peagi oleks tal lõpp.
Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
27 Kindel on see, et kui keegi murrab tugeva mehe majja ja üritab tema asju võtta, ei jõua ta röövsaagiga kaugele, kui ta seda tugevat meest kõigepealt kinni ei seo.
“Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
28 Ma räägin teile tõtt: kõik patud ja jumalateotus on võimalik andeks saada,
“Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
29 aga kui inimesed teotavad Jumalat sellega, et lükkavad tagasi Püha Vaimu, siis ei saa nad kunagi andeks, sest nad on süüdi igaveses patus.“ (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
30 (Jeesus ütles nii sellepärast, et nad ütlesid: „Tal on kuri vaim.“)
(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
31 Seejärel jõudsid kohale Jeesuse ema ja vennad. Nad ootasid väljas ja saatsid talle teate, milles palusid tal välja tulla.
Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
32 Tema ümber istuv rahvas ütles talle: „Sinu ema ja vennad küsivad väljas sinu järele.“
Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona.”
33 „Kes on mu ema? Kes on mu vennad?“vastas ta.
Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
34 Heitnud pilgu kõigile, kes istusid tema ümber ringis, ütles ta: „Siin on mu ema! Siin on mu vennad!
Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, “Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
35 Kes iganes teeb seda, mis on Jumala tahtmine, on minu vend, õde ja ema.“
Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.”

< Markus 3 >