< Johannese 20 >

1 Nädala esimese päeva varahommikul, kui väljas oli veel pime, läks Maarja Magdaleena Jeesuse hauale ja nägi, et kivi on hauasuult kõrvale lükatud.
Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
2 Ta tuli jooksuga Siimon Peetruse ja teise jüngri juurde, keda Jeesus armastas, ning ütles neile: „Nad on Issanda hauast ära viinud ja me ei tea, kuhu nad on ta pannud!“
Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.”
3 Kiiruga asusid Peetrus ja see teine jünger haua poole teele.
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4 Nad jooksid koos, ent see teine jünger jooksis Peetrusest kiiremini ja jõudis haua juurde esimesena.
Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
5 Kummargil sisse vaadates nägi ta surilinu, ent sisse ta ei astunud.
Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
6 Seejärel jõudis kohale ka Siimon Peetrus. Tema läks hauakoopasse sisse ning nägi maas lebavaid mähiseid
Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
7 ja higirätikut, mis oli olnud ümber Jeesuse pea; see ei lebanud mähiste juures, vaid oli kokkulapituna oma kohal.
na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.
8 Kui nüüd teine jünger, kes oli jõudnud haua juurde esimesena, samuti sisse läks, siis ta nägi ja uskus,
Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
9 sest seni ei olnud nad veel mõistnud Pühakirja ettekuulutust, mille kohaselt Jeesus pidi surnuist üles tõusma.
(Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
10 Siis läksid jüngrid tagasi sinna, kus nad peatusid.
Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.
11 Maarja aga seisis haua juures väljas ja nuttis. Nuttes kummardus ta vaatama hauakoopasse
Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,
12 ja nägi kaht valgeis riideis inglit istumas seal, kus oli lebanud Jeesuse surnukeha, üks peatsis ja teine jalutsis.
akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
13 „Naine, miks sa nutad?“küsisid nad temalt. „Nad on mu Issanda ära viinud, “vastas Maarja, „ja ma ei tea, kuhu nad on ta pannud.“
Hao malaika wakamwuliza, “Mama, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!”
14 Seda öelnud, vaatas ta selja taha ja nägi Jeesust, kes seal seisis, aga ta ei saanud aru, et see oli Jeesus.
Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.
15 „Naine, miks sa nutad?“küsis Jeesus temalt. „Keda sa otsid?“Pidades teda aednikuks, vastas Maarja: „Isand, kui sina ta minema viisid, siis ütle mulle, kuhu sa ta panid, ja ma toon ta ära.“
Yesu akamwuliza, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, “Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.”
16 „Maarja!“ütles Jeesus talle. Nüüd pöördus Maarja ringi ja hüüatas heebrea keeles: „Rabbuuni!“(See tähendab Õpetajat.)
Yesu akamwambia, “Maria!” Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, “Raboni” (yaani “Mwalimu”).
17 „Ära puuduta mind!“ütles Jeesus talle. „Sest ma ei ole veel läinud üles oma Isa juurde. Aga mine mu vendade juurde ja ütle neile, et ma lähen üles oma Isa ja teie Isa ning oma Jumala ja teie Jumala juurde!“
Yesu akamwambia, “Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”
18 Maarja Magdaleena läks ja teatas jüngritele: „Ma nägin Issandat!“ja ta rääkis neile, mis Jeesus oli öelnud.
Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.
19 Selsamal õhtul, nädala esimesel päeval, olid jüngrid koos lukus uste taga, sest nad kartsid juudi ülemaid. Järsku ilmus sinna Jeesus, jäi seisma nende keskele ja ütles: „Rahu olgu teiega!“
Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, “Amani kwenu!”
20 Seda öelnud, näitas ta neile oma käsi ja külge. Rõõm täitis jüngreid, kui nad Issandat nägid.
Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
21 Jeesus ütles taas: „Rahu teile! Nagu Isa on läkitanud minu, nii läkitan mina nüüd teid.“
Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.”
22 Seejärel hingas ta nende peale ja ütles: „Võtke vastu Püha Vaim!
Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 Kellele iganes te patud andeks annate, neile on need andeks antud. Kelle patte te andeks ei anna, neile ei ole andeks antud.“
Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi.”
24 Aga Toomas, üks kaheteistkümnest, hüüdnimega Kaksik, ei olnud teistega, kui Jeesus tuli.
Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.
25 Teised jüngrid ütlesid talle: „Me nägime Issandat!“Tema aga vastas: „Ma ei usu enne, kui näen naelajälgi ta kätes ja panen oma sõrme naelaarmidesse ja oma käe tema küljehaava.“
Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana.” Thoma akawaambia, “Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”
26 Nädal hiljem olid jüngrid jälle koos suletud ruumis ja ka Toomas oli nendega. Kuigi uksed olid lukus, tuli Jeesus, jäi seisma nende keskele ja ütles: „Rahu teile!“
Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, “Amani kwenu!”
27 Seejärel ütles ta Toomasele: „Siruta oma sõrm siia ja vaata mu käsi! Siruta oma käsi ja pane mu küljehaava! Ära kahtle, vaid usu!“
Kisha akamwambia Thoma, “Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!”
28 Toomas vastas talle: „Minu Issand ja minu Jumal!“
Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
29 „Sa usud, sest sa oled näinud, “ütles Jeesus. „Õnnistatud on need, kes pole näinud, aga siiski usuvad.“
Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”
30 Jeesus andis jüngrite nähes veel palju muid tunnustähti, mida aga ei ole kirjutatud sellesse raamatusse.
Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.
31 Ent need siin on kirjutatud üles, et te usuksite, et Jeesus on Messias, Jumala Poeg, ning et teil uskudes oleks elu temas.
Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.

< Johannese 20 >