< Heebrealastele 6 >

1 Seepärast jätkem selja taha algõpetus Kristusest ja mingem edasi täiuse poole! Meil on alus, mida pole vaja uuesti rajada: ärapöördumine surnud tegudest ja usk Jumalasse,
Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tukisonga mbele ili tufikie utimilifu, sio kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
2 õpetus ristimistest ja käte pealepanemisest, surnute ülestõusmisest ja igavesest kohtumõistmisest. (aiōnios g166)
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
3 Ja seda me teeme, kui Jumal lubab.
Mungu akitujalia tutafanya hivyo.
4 Sest on võimatu neid, kes kord on olnud valgustatud, kes on maitsnud taevaseid ande, saanud osa Pühast Vaimust,
Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,
5 kogenud Jumala sõna headust ja tulevase ajastu väge (aiōn g165)
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
6 ning siiski usust taganenud, tuua taas patukahetsusele. Iseendi kahjuks löövad nad Jumala Poja ikka ja jälle risti ja häbistavad teda avalikult!
kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.
7 Sest maa, mis joob tihti talle langevat vihma ja kasvatab kasulikke taimi oma harijaile, saab õnnistuse Jumalalt.
Ardhi ile ipokeayo mvua inyeshayo juu yake mara kwa mara hutoa mazao yanayowanufaisha wale ambao kwa ajili yao yalimwa, nayo nchi hiyo hupokea baraka kutoka kwa Mungu.
8 Aga see maa, mis kasvatab kibuvitsu ja ohakaid, on kasutu ja lähedal needusele. Lõpuks see põletatakse.
Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto.
9 Teie puhul, armsad, isegi kui me niimoodi räägime, oleme me veendunud paremas – asjades, mis puudutavad päästmist.
Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo wokovu.
10 Jumal ei ole ju ebaõiglane, et ta unustaks teie töö ja armastuse, mida te olete osutanud temale, kui te teenite tema rahvast ja teenite jätkuvalt.
Mungu si mdhalimu: yeye hataisahau kazi yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili yake katika kuwahudumia watakatifu na hata sasa mnaendelea kuwahudumia.
11 Kuid me ihkame, et igaüks teist näitaks üles samasugust innukust, nõnda et teie lootus oleks täiesti kindel kuni lõpuni.
Nasi twataka kila mmoja wenu aonyeshe bidii iyo hiyo ili mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini mpaka mwisho,
12 Me ei taha, et te muutuksite laisaks, vaid võtaksite eeskujuks neid, kes usu ja pika meele tõttu pärivad selle, mida Jumal on tõotanud.
ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi.
13 Kui Jumal Aabrahamile andis tõotuse, vandus ta iseenese nimel, sest temast ei olnud kedagi kõrgemat, kelle nimel vanduda.
Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,
14 Ta ütles: „Jah, tõesti ma õnnistan sind ja annan sulle palju järglasi!“
akisema, “Hakika nitakubariki na kukupa wazao wengi.”
15 Ja nii Aabraham ootas kannatlikult ja sai kätte, mis talle oli tõotatud.
Abrahamu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.
16 Inimesed vannuvad endast kõrgema nimel. Ja vanne kinnitab selle, mis on öeldud, ning lõpetab kogu vaidluse.
Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuwaliko, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.
17 Kuna Jumal soovis tõotuse pärijatele veel selgemini näidata oma eesmärgi muutumatust, kinnitas ta seda vandega.
Mungu alipotaka kuonyesha kwa udhahiri zaidi ile asili ya kutokubadilika kwa ahadi yake kwa warithi wa ahadi, aliithitibisha kwa kiapo.
18 Kahe muutumatu asja läbi, mille kohta on võimatu Jumalal valetada, leiame meie varjupaiga, et hoida kinni meie ees olevast lootusest.
Mungu alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyobadilika, yaani ahadi yake na kiapo chake, ambavyo kwavyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia ili tulishike lile tumaini lililowekwa mbele yetu tuwe na faraja thabiti.
19 See lootus on meie hinge ankur, kõikumatu ja kindel, mis ulatub pühamu eesriide taha,
Tunalo tumaini hili kama nanga ya roho iliyo imara na thabiti. Tumaini hili huingia katika sehemu takatifu iliyopo nyuma ya pazia,
20 kuhu eeljooksjana meie heaks on läinud sisse Jeesus, kes sai igaveseks ajaks ülempreestriks Melkisedeki korra järgi. (aiōn g165)
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn g165)

< Heebrealastele 6 >