< Psalmaro 25 >
1 De David. Al Vi, ho Eternulo, mi levas mian animon.
Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
2 Ho mia Dio, Vin mi fidas; Ne lasu min hontiĝi; Ne lasu, ke miaj malamikoj moku pri mi.
Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
3 Ĉar neniu el tiuj, kiuj esperas al Vi, hontiĝos; Nur tiuj hontiĝos, kiuj forlasas Vin senpripense.
Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
4 Viajn vojojn, ho Eternulo, montru al mi; Instruu min sekvi Vian iradon.
Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
5 Gvidu min en Via vero kaj lernigu min, Ĉar Vi estas la Dio, kiu min helpas; Al Vi mi esperas ĉiun tagon.
Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
6 Rememoru, ho Eternulo, Vian kompatemecon kaj Vian favorkorecon, Ĉar ili estis de ĉiam.
Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
7 La pekojn de mia juneco kaj miajn krimojn ne rememoru; Laŭ Via favorkoreco rememoru min, Pro Via boneco, ho Eternulo!
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
8 Bona kaj justa estas la Eternulo, Tial Li montras al pekantoj la vojon.
Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
9 Li gvidas la humilulojn en justeco, Kaj instruas al la humiluloj Siajn vojojn.
Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
10 Ĉiuj vojoj de la Eternulo estas favorkoreco kaj fideleco al tiuj, Kiuj observas Lian interligon kaj Liajn leĝojn.
Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
11 Pro Via nomo, ho Eternulo, pardonu al mi mian pekon, Ĉar ĝi estas granda.
Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
12 Al ĉiu homo, kiu timas la Eternulon, Li montras la vojon, kiun tiu devas elekti.
Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
13 Lia animo ĝuos bonon, Kaj liaj idoj posedos la teron.
Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
14 Konfidon de la Eternulo havas Liaj timantoj; Kaj Sian aranĝon Li sciigas al ili.
Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
15 Miaj okuloj estas ĉiam direktitaj al la Eternulo, Ĉar Li eltiras el reto miajn piedojn.
Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
16 Turnu Vin al mi kaj korfavoru min, Ĉar mi estas soleca kaj mizera.
Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17 La suferoj de mia koro estas grandaj; El mia premateco elkonduku min.
Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
18 Rigardu mian suferon kaj mizeron, Kaj pardonu ĉiujn miajn pekojn.
Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
19 Rigardu, kiel multaj estas miaj malamikoj Kaj per kia kruela malamo ili min malamas.
Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
20 Gardu mian animon kaj savu min; Ne lasu min hontiĝi, ĉar Vin mi fidas.
Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
21 Senkulpeco kaj justeco defendu min, Ĉar al Vi mi esperas.
Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
22 Liberigu, ho Dio, Izraelon el ĉiuj liaj suferoj.
Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!