< Psalmaro 150 >
1 Haleluja! Gloru Dion en Lia sanktejo, Gloru Lin en la firmaĵo de Lia forto.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Gloru Lin por Liaj potencaj faroj, Gloru Lin laŭ Lia granda majesto.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Gloru Lin per sonado de trumpeto, Gloru Lin per psaltero kaj harpo.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Gloru Lin per tamburino kaj danco, Gloru Lin per kordinstrumentoj kaj fluto.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Gloru Lin per laŭtaj cimbaloj, Gloru Lin per tintantaj cimbaloj.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Ĉio spiranta gloru la Eternulon. Haleluja!
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!