< Psalmaro 135 >

1 Haleluja! Gloru la nomon de la Eternulo, Gloru, sklavoj de la Eternulo,
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 Kiuj staras en la domo de la Eternulo, En la kortoj de la domo de nia Dio.
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Gloru la Eternulon, ĉar la Eternulo estas bona; Prikantu Lian nomon, ĉar ĝi estas ĉarma.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Ĉar Jakobon la Eternulo elektis al Si, Izraelon kiel Sian trezoron.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Ĉar mi scias, ke la Eternulo estas granda Kaj ke nia Sinjoro estas super ĉiuj dioj.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Ĉion, kion la Eternulo deziras, Li faras, En la ĉielo kaj sur la tero, sur la maroj kaj en ĉiuj abismoj.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Li levas la nubojn de la randoj de la tero, Li aperigas fulmojn en la pluvo, Li elirigas la venton el Siaj provizejoj.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 Li batis la unuenaskitojn en Egiptujo, De homo ĝis bruto.
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Li aperigis signojn kaj miraklojn interne de vi, ho Egiptujo, Super Faraono kaj ĉiuj liaj sklavoj.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Li batis multajn popolojn, Kaj mortigis potencajn reĝojn:
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Siĥonon, reĝon de la Amoridoj, Kaj Ogon, reĝon de Baŝan, Kaj ĉiujn regnojn Kanaanajn.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Kaj Li donis ilian landon kiel heredon, Heredon al Lia popolo Izrael.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Ho Eternulo, Via nomo estas eterna; Ho Eternulo, la memoro pri Vi restas por ĉiuj generacioj.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Ĉar la Eternulo juĝos Sian popolon, Kaj Li korfavoros Siajn sklavojn.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 La idoloj de la popoloj estas arĝento kaj oro, Faritaĵo de homaj manoj.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Buŝon ili havas, sed ne parolas; Okulojn ili havas, sed ne vidas;
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Orelojn ili havas, sed ne aŭdas; Kaj ne ekzistas spiro en ilia buŝo.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Kiel ili, tiel estos iliaj farantoj, Ĉiuj, kiuj ilin fidas.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Ho domo de Izrael, benu la Eternulon; Ho domo de Aaron, benu la Eternulon;
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Ho domo de Levi, benu la Eternulon; Ho timantoj de la Eternulo, benu la Eternulon.
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 El Cion estu benata la Eternulo, Kiu loĝas en Jerusalem. Haleluja!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Psalmaro 135 >