< Psalmaro 13 >
1 Al la ĥorestro. Psalmo de David. Ĝis kiam, ho Eternulo, Vi tute forgesos pri mi? Ĝis kiam Vi kaŝos Vian vizaĝon antaŭ mi?
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?
2 Ĝis kiam mi havos zorgojn en mia animo Kaj sopirojn en mia koro ĉiutage? Ĝis kiam mia malamiko estos supre super mi?
Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini?
3 Rigardu kaj aŭdu min, ho Eternulo, mia Dio; Lumigu miajn okulojn, ke mi ne ekdormu per morto;
Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.
4 Ke ne diru mia malamiko: Mi lin venkis; Ke ne ĝoju miaj premantoj, se mi falos.
Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
5 Sed mi esperas al Via favorkoreco; Mia koro ĝojas pro Via savo.
Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.
6 Mi kantos al la Eternulo, Ĉar Li faris al mi bonon.
Nitamwimbia Bwana, kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.