< Psalmaro 113 >

1 Haleluja! Gloru, sklavoj de la Eternulo, Gloru la nomon de la Eternulo.
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2 La nomo de la Eternulo estu benata De nun kaj eterne.
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3 De la leviĝejo de la suno ĝis ĝia malleviĝejo Estas glorata la nomo de la Eternulo.
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
4 Alte super ĉiuj popoloj estas la Eternulo; Super la ĉielo estas Lia gloro.
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5 Kiu estas kiel la Eternulo, nia Dio, Kiu sidas alte,
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6 Kiu kliniĝas por rigardi La ĉielon kaj la teron,
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7 Kiu el la polvo restarigas mizerulon, El la koto levas malriĉulon,
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 Por sidigi lin kun eminentuloj, Kun la eminentuloj de lia popolo?
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Li donas familion al senfruktulino, Kaj faras ŝin ĝoja patrino de infanoj. Haleluja!
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.

< Psalmaro 113 >