< Psalmaro 108 >

1 Kanto. Psalmo de David. Fortika estas mia koro, ho Dio; Mi kantos kaj gloros kun mia honoro.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Vekiĝu, psaltero kaj harpo; Mi vekos la matenan ĉielruĝon.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Mi gloros Vin, ho Eternulo, inter la popoloj; Kaj mi prikantos Vin inter la gentoj.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Ĉar granda ĝis super la ĉielo estas Via boneco, Kaj ĝis la nuboj estas Via vero.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Altiĝu super la ĉielo, ho Dio; Kaj Via gloro estu super la tuta tero.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Por ke liberiĝu viaj amatoj, Helpu per Via dekstra mano, kaj aŭskultu min.
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Dio diris en Sia sanktejo: Mi triumfos; Mi dividos Ŝeĥemon, kaj la valon Sukot Mi mezuros.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Al Mi apartenas Gilead, al Mi apartenas Manase; Efraim estas la forto de Mia kapo, Jehuda estas Mia sceptro.
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab estas Mia lavopelvo; Sur Edomon Mi ĵetos Mian ŝuon; Super Filiŝtujo Mi triumfe krios.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Kiu enkondukos min en fortikigitan urbon? Kiu alkondukos min ĝis Edom?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Ĉu ne Vi, ho Dio, forlasis nin? Vi ne eliras, ho Dio, kun niaj militistaroj.
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Donu al ni helpon kontraŭ la malamiko; Vanta estas helpo de homo.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 Kun Dio ni faros heroaĵojn; Kaj Li dispremos niajn malamikojn.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Psalmaro 108 >