< Sentencoj 29 >

1 Se homo ofte admonita restos obstina, Li subite pereos sen ia helpo.
Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
2 Kiam altiĝas virtuloj, la popolo ĝojas; Sed kiam regas malvirtulo, la popolo ĝemas.
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
3 Homo, kiu amas saĝon, ĝojigas sian patron; Sed kiu komunikiĝas kun malĉastulinoj, tiu disperdas sian havon.
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
4 Reĝo per justeco fortikigas la landon; Sed donacamanto ĝin ruinigas.
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
5 Homo, kiu flatas al sia proksimulo, Metas reton antaŭ liaj piedoj.
Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
6 Per sia pekado malbona homo sin implikas; Sed virtulo triumfas kaj ĝojas.
Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
7 Virtulo penas ekkoni la aferon de malriĉuloj; Sed malvirtulo ne povas kompreni.
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
8 Homoj blasfemantaj indignigas urbon; Sed saĝuloj kvietigas koleron.
Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
9 Se saĝa homo havas juĝan aferon kun homo malsaĝa, Tiam, ĉu li koleras, ĉu li ridas, li ne havas trankvilon.
Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
10 Sangaviduloj malamas senkulpulon; Sed virtuloj zorgas pri lia vivo.
Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
11 Sian tutan koleron aperigas malsaĝulo; Sed saĝulo ĝin retenas.
Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
12 Se reganto atentas mensogon, Tiam ĉiuj liaj servantoj estas malvirtuloj.
Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
13 Malriĉulo kaj procentegisto renkontiĝas; La Eternulo donas lumon al la okuloj de ambaŭ.
Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
14 Se reĝo juĝas juste malriĉulojn, Lia trono fortikiĝas por ĉiam.
Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
15 Kano kaj instruo donas saĝon; Sed knabo, lasita al si mem, hontigas sian patrinon.
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
16 Kiam altiĝas malvirtuloj, tiam multiĝas krimoj; Sed virtuloj vidos ilian falon.
Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
17 Punu vian filon, kaj li vin trankviligos, Kaj li donos ĝojon al via animo.
Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
18 Se ne ekzistas profetaj predikoj, tiam popolo fariĝas sovaĝa; Sed bone estas al tiu, kiu observas la leĝojn.
Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
19 Per vortoj sklavo ne instruiĝas; Ĉar li komprenas, sed ne obeas.
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
20 Ĉu vi vidas homon, kiu tro rapidas kun siaj vortoj? Estas pli da espero por malsaĝulo ol por li.
Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
21 Se oni de infaneco kutimigas sklavon al dorlotiĝado, Li poste fariĝas neregebla.
Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
22 Kolerema homo kaŭzas malpacojn, Kaj flamiĝema kaŭzas multajn pekojn.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
23 La fiereco de homo lin malaltigos; Sed humilulo atingos honoron.
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
24 Kiu dividas kun ŝtelisto, tiu malamas sian animon; Li aŭdas la ĵuron kaj nenion diras.
Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
25 Timo antaŭ homoj faligas en reton; Sed kiu fidas la Eternulon, tiu estas ŝirmita.
Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
26 Multaj serĉas favoron de reganto; Sed la sorto de homo dependas de la Eternulo.
Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
27 Maljusta homo estas abomenaĵo por virtuloj; Kaj kiu iras la ĝustan vojon, tiu estas abomenaĵo por malvirtulo.
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.

< Sentencoj 29 >