< Sentencoj 15 >

1 Milda respondo kvietigas koleron; Sed malmola vorto ekscitas koleron.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 La lango de saĝuloj bonigas la instruon; Sed la buŝo de malsaĝuloj elparolas sensencaĵon.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Sur ĉiu loko estas la okuloj de la Eternulo; Ili vidas la malbonulojn kaj bonulojn.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 Milda lango estas arbo de vivo; Sed malbonparola rompas la spiriton.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 Malsaĝulo malŝatas la instruon de sia patro; Sed kiu plenumas la admonon, tiu estas prudenta.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 En la domo de virtulo estas multe da trezoroj; Sed en la profito de malvirtulo estas pereo.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 La buŝo de saĝuloj semas instruon; Sed la koro de malsaĝuloj ne estas tia.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 Oferdono de malvirtuloj estas abomenaĵo por la Eternulo; Sed la preĝo de virtuloj al Li plaĉas.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 Abomenaĵo por la Eternulo estas la vojo de malvirtulo; Sed kiu celas virton, tiun Li amas.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 Malbona puno atendas tiun, kiu forlasas la vojon; Kaj la malamanto de admono mortos.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 Ŝeol kaj la abismo estas antaŭ la Eternulo: Tiom pli la koroj de la homidoj. (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
12 Mokanto ne amas tiun, kiu lin admonas; Al saĝuloj li ne iras.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 Ĝoja koro faras la vizaĝon ĝoja; Sed ĉe ĉagreno de la koro la spirito estas malgaja.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 La koro de saĝulo serĉas instruon; Sed la buŝo de malsaĝuloj nutras sin per malsaĝeco.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 Ĉiuj tagoj de malfeliĉulo estas malbonaj; Sed kontenta koro estas festenado.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Pli bona estas malmulto kun timo antaŭ la Eternulo, Ol granda trezoro kun maltrankvileco ĉe ĝi.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Pli bona estas manĝo el verdaĵo, sed kun amo, Ol grasa bovo, sed kun malamo.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 Kolerema homo kaŭzas malpacon; Kaj pacienculo kvietigas disputon.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 La vojo de maldiligentulo estas kiel dornarbeto; Sed la vojo de virtuloj estas ebenigita.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 Saĝa filo ĝojigas la patron; Sed homo malsaĝa estas malhonoro por sia patrino.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 Malsaĝeco estas ĝojo por malsaĝulo; Sed homo prudenta iras ĝustan vojon.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 Kie ne estas konsilo, tie la entreprenoj neniiĝas; Sed ĉe multe da konsilantoj ili restas fortikaj.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 Plezuro por homo estas en la respondo de lia buŝo; Kaj kiel bona estas vorto en la ĝusta tempo!
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 La vojo de la vivo por saĝulo iras supren, Por ke li evitu Ŝeolon malsupre. (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
25 La domon de fieruloj la Eternulo ruinigas; Sed Li gardas la limojn de vidvino.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 Abomenaĵo por la Eternulo estas la intencoj de malnoblulo; Sed agrablaj estas la paroloj de puruloj.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 Profitemulo malĝojigas sian domon; Sed kiu malamas donacojn, tiu vivos.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 La koro de virtulo pripensas respondon; Sed la buŝo de malvirtuloj elfluigas malbonon.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 La Eternulo estas malproksima de la malvirtuloj; Sed la preĝon de la virtuloj Li aŭskultas.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 Luma okulo ĝojigas la koron; Bona sciigo fortikigas la ostojn.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 Orelo, kiu aŭskultas la instruon de la vivo, Loĝos inter saĝuloj.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 Kiu forpuŝas admonon, tiu malestimas sian animon; Sed kiu aŭskultas instruon, tiu akiras saĝon.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 La timo antaŭ la Eternulo instruas saĝon, Kaj humileco troviĝas antaŭ honoro.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.

< Sentencoj 15 >