< Sentencoj 1 >

1 Sentencoj de Salomono, filo de David, reĝo de Izrael:
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:
2 Por scii saĝon kaj moralinstruon; Por kompreni parolojn de prudento;
Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;
3 Por ricevi instruon pri saĝo, Vero, justo, kaj honesto;
kwa kujipatia nidhamu na busara, kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
4 Por doni al la malkleruloj spriton, Al la junulo scion kaj singardemon.
huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;
5 Saĝulo aŭdu kaj plimultigu sian scion, Kaj prudentulo akiros gvidajn kapablojn,
wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao, wenye kupambanua na wapate mwongozo;
6 Por kompreni sentencon kaj retoraĵon, La vortojn de saĝuloj kaj iliajn enigmojn.
kwa kufahamu mithali na mifano, misemo na vitendawili vya wenye hekima.
7 La timo antaŭ la Eternulo estas la komenco de sciado. Saĝon kaj instruon malpiuloj malestimas.
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.
8 Aŭskultu, mia filo, la instruon de via patro, Kaj ne forĵetu la ordonon de via patrino;
Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
9 Ĉar ili estas bela krono por via kapo, Kaj ornamo por via kolo.
Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako, na mkufu wa kuipamba shingo yako.
10 Mia filo, se pekuloj vin logos, Ne sekvu ilin.
Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi, usikubaliane nao.
11 Se ili diros: Iru kun ni, Ni embuskos por mortigi, Ni senkaŭze insidos senkulpulojn;
Kama wakisema, “Twende tufuatane; tukamvizie mtu na kumwaga damu, njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;
12 Kiel Ŝeol ni englutos ilin vivajn, Kaj la piulojn kiel irantajn en la tombon; (Sheol h7585)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol h7585)
13 Ni trovos diversajn grandvaloraĵojn, Ni plenigos niajn domojn per rabaĵo;
Tutapata aina zote za vitu vya thamani na kujaza nyumba zetu kwa nyara.
14 Vi lotos meze inter ni, Unu monujo estos por ni ĉiuj:
Njoo ushirikiane nasi, vitu vyote tutakavyopata tutagawana.”
15 Mia filo, ne iru la vojon kune kun ili; Gardu vian piedon de ilia vojstreko,
Mwanangu, usiandamane nao. Usiweke mguu wako katika njia zao,
16 Ĉar iliaj piedoj kuras al malbono, Kaj rapidas, por verŝi sangon.
kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni wepesi kumwaga damu.
17 Ĉar vane estas metata reto Antaŭ la okuloj de ĉiu birdo.
Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!
18 Kaj ili embuskas sian propran sangon, Ili insidas siajn proprajn animojn.
Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!
19 Tiaj estas la vojoj de ĉiu, kiu avidas rabakiron; Ĝi forprenas la vivon de sia posedanto.
Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali.
20 La saĝo krias sur la strato; Ĝi aŭdigas sian voĉon sur la placoj;
Hekima huita kwa sauti kuu barabarani, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;
21 Ĝi vokas en la ĉefaj kunvenejoj, ĉe la pordegaj enirejoj; En la urbo ĝi diras siajn parolojn.
kwenye makutano ya barabara za mji zenye makelele mengi hupaza sauti, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:
22 Ĝis kiam, ho malkleruloj, vi amos nescion? Kaj al blasfemantoj plaĉos blasfemado, Kaj senprudentuloj malamos scion?
“Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini? Mpaka lini wenye mizaha watafurahia mizaha, na wapumbavu kuchukia maarifa?
23 Returnu vin al mia predikado; Jen mi eligos al vi mian spiriton, Mi sciigos al vi miajn vortojn.
Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu, ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu na kuwafahamisha maneno yangu.
24 Ĉar mi vokis, kaj vi rifuzis; Mi etendis mian manon, kaj neniu atentis;
Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita na hakuna yeyote aliyekubali niliponyoosha mkono wangu,
25 Kaj vi forĵetis ĉiujn miajn konsilojn, Kaj miajn predikojn vi ne deziris:
kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,
26 Tial ankaŭ mi ridos ĉe via malfeliĉo; Mi mokos, kiam timo vin atakos.
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:
27 Kiam la timo atakos vin kiel uragano, Kaj via malfeliĉo venos kiel ventego, Kiam venos al vi mizero kaj sufero:
wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli, wakati dhiki na taabu zitawalemea.
28 Tiam ili min vokos, sed mi ne respondos; Ili min serĉos, sed min ne trovos.
“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.
29 Tial ke ili malamis scion, Kaj timon antaŭ la Eternulo ili ne deziris havi,
Kwa kuwa walichukia maarifa, wala hawakuchagua kumcha Bwana,
30 Ili ne deziris miajn konsilojn, Ili malestimis ĉiujn miajn predikojn:
kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,
31 Ili manĝu la fruktojn de sia agado, Kaj ili satiĝu de siaj pripensoj.
watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.
32 Ĉar la kapricoj de la malsaĝuloj ilin mortigas, Kaj la senzorgeco de la senorduloj ilin pereigas.
Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.
33 Sed kiu min aŭskultas, tiu loĝos sendanĝere, Kaj estos trankvila, kaj ne timos malbonon.
Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

< Sentencoj 1 >