< Josuo 12 >
1 Kaj jen estas la reĝoj de la lando, kiujn venkobatis la Izraelidoj, kaj kies landon ili ekposedis transe de Jordan oriente, de la torento Arnon ĝis la monto Ĥermon, kaj la tutan stepon en la oriento:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Siĥon, reĝo de la Amoridoj, kiu loĝis en Ĥeŝbon, kaj regis de Aroer, kiu troviĝas sur la bordo de la torento Arnon, la mezon de la valo, kaj duonon de Gilead, ĝis la torento Jabok, limo de la Amonidoj;
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 kaj la stepon ĝis la maro Kinerot, oriente, kaj ĝis la maro de la stepo, la Sala Maro, oriente en la direkto al Bet-Jeŝimot, kaj sude la bazon de la deklivo de Pisga;
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 kaj la regiono de Og, reĝo de Baŝan, restinto el la Rafaidoj, kiu loĝis en Aŝtarot kaj Edrei,
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 kaj regis la monton Ĥermon kaj Salĥan kaj la tutan Baŝanon ĝis la limo de la Geŝuridoj kaj Maaĥatidoj, kaj duonon de Gilead ĝis la limo de Siĥon, reĝo de Ĥeŝbon.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 Moseo, servanto de la Eternulo, kaj la Izraelidoj venkobatis ilin; kaj Moseo, servanto de la Eternulo, donis la landon kiel posedaĵon al la Rubenidoj kaj al la Gadidoj kaj al la duontribo de Manase.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Kaj jen estas la reĝoj de la lando, kiujn venkobatis Josuo kaj la Izraelidoj transe de Jordan, okcidente, de Baal-Gad en la valo de Lebanon, ĝis la monto Ĥalak, kiu leviĝas en la direkto al Seir; kaj Josuo donis ĝin al la triboj de Izrael kiel posedaĵon laŭ iliaj partoj;
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 sur la monto kaj sur la malaltaĵo kaj en la stepo kaj sur la deklivoj kaj en la dezerto kaj sude, la Ĥetidoj, la Amoridoj, kaj la Kanaanidoj, la Perizidoj, la Ĥividoj, kaj la Jebusidoj:
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 la reĝo de Jeriĥo, unu; la reĝo de Aj, kiu estas flanke de Bet-El, unu;
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 la reĝo de Jerusalem, unu; la reĝo de Ĥebron, unu;
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 la reĝo de Jarmut, unu; la reĝo de Laĥiŝ, unu;
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 la reĝo de Eglon, unu; la reĝo de Gezer, unu;
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 la reĝo de Debir, unu; la reĝo de Geder, unu;
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 la reĝo de Ĥorma, unu; la reĝo de Arad, unu;
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 la reĝo de Libna, unu; la reĝo de Adulam, unu;
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 la reĝo de Makeda, unu; la reĝo de Bet-El, unu;
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 la reĝo de Tapuaĥ, unu; la reĝo de Ĥefer, unu;
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 la reĝo de Afek, unu; la reĝo de Laŝaron, unu;
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 la reĝo de Madon, unu; la reĝo de Ĥacor, unu;
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 la reĝo de Ŝimron-Meron, unu; la reĝo de Aĥŝaf, unu;
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 la reĝo de Taanaĥ, unu; la reĝo de Megido, unu;
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 la reĝo de Kedeŝ, unu; la reĝo de Jokneam ĉe Karmel, unu;
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 la reĝo de Dor en Nafot-Dor, unu; la reĝo de la popoloj en Gilgal, unu;
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 la reĝo de Tirca, unu. La nombro de ĉiuj reĝoj estis tridek unu.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.