< Ijob 36 >
1 Kaj plue parolis Elihu, kaj diris:
Elihu aliendelea na kusema,
2 Atendu ankoraŭ iom; mi montros al vi, Ĉar mi havas ankoraŭ kion paroli pro Dio.
“Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
3 Mi prenos mian scion de malproksime, Kaj mi montros, ke mia Kreinto estas prava.
Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
4 Ĉar vere miaj vortoj ne estas mensogaj; Homo sincera estas antaŭ vi.
Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
5 Vidu, Dio estas potenca, kaj tamen Li neniun malŝatas; Li estas potenca per la forto de la koro.
Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
6 Al malpiulo Li ne permesas vivi, Kaj al mizeruloj Li donas justecon.
Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
7 Li ne forturnas de virtuloj Siajn okulojn, Sed kun reĝoj sur trono Li sidigas ilin por ĉiam, Por ke ili estu altaj.
Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
8 Kaj se ili estas ligitaj per ĉenoj, Malliberigitaj mizere per ŝnuroj,
Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
9 Tiam Li montras al ili iliajn farojn kaj kulpojn, Kiel grandaj ili estas.
kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
10 Li malfermas ilian orelon por la moralinstruo, Kaj diras, ke ili deturnu sin de malbonagoj.
Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
11 Se ili obeas kaj servas al Li, Tiam ili finas siajn tagojn en bono Kaj siajn jarojn en stato agrabla;
Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
12 Sed se ili ne obeas, Tiam ili pereas per glavo Kaj mortas en malprudento.
Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
13 La hipokrituloj portas en si koleron; Ili ne vokas, kiam Li ilin ligis;
Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
14 Ilia animo mortas en juneco, Kaj ilia vivo pereas inter la malĉastuloj.
Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
15 Li savas la suferanton en lia mizero, Kaj per la sufero Li malfermas ilian orelon.
Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
16 Ankaŭ vin Li elkondukus el la suferoj En spacon vastan, kie ne ekzistas premateco; Kaj vi havus pacon ĉe via tablo, plena de grasaĵoj.
Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
17 Sed vi fariĝis plena de kulpoj de malvirtulo; Kulpo kaj juĝo tenas sin kune.
Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
18 Via kolero ne forlogu vin al mokado, Kaj grandeco de elaĉeto ne deklinu vin.
Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
19 Ĉu Li atentos vian riĉecon? Ne, nek oron, nek forton aŭ potencon.
Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
20 Ne strebu al tiu nokto, Kiu forigas popolojn de ilia loko.
Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
21 Gardu vin, ne kliniĝu al malpieco; Ĉar tion vi komencis pro la mizero.
Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
22 Vidu, Dio estas alta en Sia forto. Kiu estas tia instruanto, kiel Li?
Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Kiu povas preskribi al Li vojon? Kaj kiu povas diri: Vi agis maljuste?
Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
24 Memoru, ke vi honoru Liajn farojn, Pri kiuj kantas la homoj.
Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
25 Ĉiuj homoj ilin vidas; Homo rigardas ilin de malproksime.
Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
26 Vidu, Dio estas granda kaj nekonata; La nombro de Liaj jaroj estas neesplorebla.
Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
27 Kiam Li malgrandigas la gutojn de akvo, Ili verŝiĝas pluve el la nebulo;
Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
28 Verŝiĝas la nuboj Kaj gutas sur multe da homoj.
ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
29 Kaj kiam Li intencas etendi la nubojn Kiel tapiŝojn de Sia tendo,
Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
30 Tiam Li etendas sur ilin Sian lumon Kaj kovras la radikojn de la maro.
Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
31 Ĉar per ili Li juĝas la popolojn Kaj donas ankaŭ manĝaĵon abunde.
Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
32 Per la manoj Li kovras la lumon Kaj ordonas al ĝi aperi denove.
Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
33 Antaŭdiras pri ĝi ĝia bruo, Kaj eĉ la brutaroj, kiam ĝi alproksimiĝas.
Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.