< Ijob 30 >
1 Sed nun ridas pri mi homoj pli junaj ol mi, Kies patrojn mi ne volus starigi kun la hundoj de miaj ŝafaroj;
“Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki, watu ambao baba zao ningekataa kwa dharau kuwaweka pamoja na mbwa wangu wa kulinda kondoo.
2 Kies forto de la manoj estis senbezona por mi, Kaj kiuj ne povis atingi maljunecon;
Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?
3 Kiuj pro malriĉeco kaj malsato solece kuris En la dezerton mizeran kaj senvivan;
Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa, walizurura usiku katika nchi kame iliyo ukiwa.
4 Kiuj elŝiras atriplon apud la arbetaĵoj, Kaj kies pano estas la radiko de genisto.
Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.
5 El meze de la homoj oni elpelas ilin; Oni krias sur ilin, kiel sur ŝteliston;
Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi.
6 En terfendoj ĉe la valoj ili loĝas, En truoj de la tero kaj de rokoj;
Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka, kwenye majabali na mahandaki.
7 Inter la arbetaĵoj ili krias, Sub la kardoj ili kolektiĝas;
Kwenye vichaka walilia kama punda, na walijisongasonga pamoja kwenye vichaka.
8 Kiel infanoj de sentaŭguloj kaj sennomuloj, Ili estas elpelitaj el la lando.
Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
9 Kaj nun mi fariĝis objekto de ilia mokokanto, Mi fariĝis por ili objekto de babilado.
“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
10 Ili abomenas min, malproksimiĝas de mi, Ne timas kraĉi sur mian vizaĝon.
Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.
11 Li malligis mian ŝnuron kaj turmentas min, Kaj ili forĵetis antaŭ mi la bridon.
Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
12 Dekstre buboj stariĝis, kaj puŝas miajn piedojn; Ili ebenigis kontraŭ mi siajn pereigajn vojojn;
Kuume kwangu kundi linashambulia; wao huitegea miguu yangu tanzi, na kunizingira.
13 Ili disfosis mian vojon, facile pereigas min, Ne bezonante helpanton;
Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
14 Ili venas kiel tra larĝa breĉo, Ĵetas sin tumulte.
Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana; katikati ya magofu huja na kunishambulia.
15 Teruroj turnis sin kontraŭ min, Forpelis mian majeston kiel vento; Kiel nubo foriris mia feliĉo.
Vitisho vimenifunika; heshima yangu imetoweshwa kama kwa upepo, salama yangu imetoweka kama wingu.
16 Kaj nun elverŝiĝas mia animo; Kaptis min tagoj de mizero.
“Sasa maisha yangu yamefikia mwisho; siku za mateso zimenikamata.
17 En la nokto miaj ostoj traboriĝas en mi, Kaj miaj mordetantoj ne dormas.
Usiku mifupa yangu inachoma; maumivu yanayonitafuna hayatulii kamwe.
18 Kun granda malfacileco demetiĝas mia vesto; Premas min la rando de mia ĉemizo.
Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo; hushikamana nami kama ukosi wa vazi langu.
19 Oni komparas min kun koto; Mi similiĝis al polvo kaj cindro.
Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.
20 Mi krias al Vi, sed Vi ne respondas al mi; Mi staras, ke Vi atentu min.
“Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu; ninasimama, nawe unanitazama tu.
21 Vi fariĝis kruelulo por mi; Per la forto de Via mano Vi montras al mi Vian malamon.
Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.
22 Vi levis min en la venton, Lasis min kaj neniigis min en la ventego.
Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo; umenirusha huku na huko kwenye dhoruba kali.
23 Mi scias, ke Vi transdonos min al la morto, En la kunvenejon de ĉio vivanta.
Ninajua utanileta mpaka kifoni, mahali ambapo wenye uhai wote wamewekewa.
24 Sed ĉu oni povas ne deziri eltiri manon, Kaj krii en sia malfeliĉo?
“Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
25 Ĉu mi ne ploris pri tiu, kiu havis malfeliĉan tempon? Ĉu mia animo ne afliktiĝis pri malriĉulo?
Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu? Je, nafsi yangu haikusononeka kwa ajili ya maskini?
26 Mi atendis bonon, sed venis malbono; Mi esperis lumon, sed venis mallumo.
Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia; nilipotafuta nuru, ndipo giza lilipokuja.
27 Miaj internaĵoj bolas kaj ne ĉesas; Atakis min tempo de mizero.
Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii; siku za mateso zinanikabili.
28 Mi estas nigra, sed ne de la suno; Mi leviĝas en la komunumo kaj krias.
Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua; ninasimama katika kusanyiko nikiomba msaada.
29 Mi fariĝis frato al la ŝakaloj Kaj kamarado al la strutoj.
Nimekuwa ndugu wa mbweha, rafiki wa mabundi.
30 Mia haŭto nigriĝis sur mi, Kaj miaj ostoj sekiĝis de varmego.
Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika; mifupa yangu inaungua kwa homa.
31 Mia harpo fariĝis plendilo, Kaj mia fluto fariĝis voĉo de plorantoj.
Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo, nayo filimbi yangu imekuwa sauti ya kilio.