< 1 Kroniko 1 >

1 Adam, Set, Enoŝ,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Ĥanoĥ, Metuŝelaĥ, Lemeĥ,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noa, Ŝem, Ĥam, kaj Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 La filoj de Jafet: Gomer, Magog, Madaj, Javan, Tubal, Meŝeĥ, kaj Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 La filoj de Gomer: Aŝkenaz, Rifat, kaj Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 La filoj de Javan: Eliŝa, Tarŝiŝ, Kitim, kaj Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 La filoj de Ĥam: Kuŝ, Micraim, Put, kaj Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 La filoj de Kuŝ: Seba, Ĥavila, Sabta, Raama, kaj Sabteĥa. La filoj de Raama: Ŝeba kaj Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Kuŝ naskigis ankaŭ Nimrodon; ĉi tiu komencis esti potenculo sur la tero.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Micraim naskigis la Ludidojn, la Anamidojn, la Lehabidojn, la Naftuĥidojn,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 la Patrusidojn, la Kasluĥidojn (de kiuj devenis la Filiŝtoj), kaj la Kaftoridojn.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 De Kanaan naskiĝis Cidon, lia unuenaskito, kaj Ĥet,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 la Jebusidoj, la Amoridoj, la Girgaŝidoj,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 la Ĥividoj, la Arkidoj, la Sinidoj,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 la Arvadidoj, la Cemaridoj, la Ĥamatidoj.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 La filoj de Ŝem: Elam, Aŝur, Arpaĥŝad, Lud, Aram, Uc, Ĥul, Geter, kaj Meŝeĥ.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 De Arpaĥŝad naskiĝis Ŝelaĥ, de Ŝelaĥ naskiĝis Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Al Eber naskiĝis du filoj: la nomo de unu estis Peleg, ĉar en lia tempo estis dividita la tero; la nomo de lia frato estis Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 De Joktan naskiĝis Almodad, Ŝelef, Ĥacarmavet, Jeraĥ,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Ŝeba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Ĥavila, kaj Jobab. Ĉiuj ĉi tiuj estis la filoj de Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Ŝem, Arpaĥŝad, Ŝelaĥ,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Naĥor, Teraĥ,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram (tio estas Abraham).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 La filoj de Abraham: Isaak kaj Iŝmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Jen estas ilia genealogio: de Iŝmael, la unuenaskito Nebajot, poste Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Miŝma, Duma, Masa, Ĥadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafiŝ, kaj Kedma. Tio estas la filoj de Iŝmael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 La filoj de Ketura, kromvirino de Abraham, kiujn ŝi naskis: Zimran, Jokŝan, Medan, Midjan, Jiŝbak, kaj Ŝuaĥ. Kaj la filoj de Jokŝan estis Ŝeba kaj Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 La filoj de Midjan: Efa, Efer, Ĥanoĥ, Abida, kaj Eldaa. Ĉiuj ĉi tiuj estis la filoj de Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham naskigis Isaakon. La filoj de Isaak: Esav kaj Izrael.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 La filoj de Esav: Elifaz, Reuel, Jeuŝ, Jalam, kaj Koraĥ.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 La filoj de Elifaz: Teman, Omar, Cefi, Gatam, Kenaz, Timna, kaj Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 La filoj de Reuel: Naĥat, Zeraĥ, Ŝama, kaj Miza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 La filoj de Seir: Lotan, Ŝobal, Cibeon, Ana, Diŝon, Ecer, kaj Diŝan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 La filoj de Lotan: Ĥori kaj Homam; la fratino de Lotan estis Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 La filoj de Ŝobal: Aljan, Manaĥat, Ebal, Ŝefi, kaj Onam. La filoj de Cibeon: Aja kaj Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 La filoj de Ana: Diŝon. La filoj de Diŝon: Ĥamran, Eŝban, Jitran, kaj Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 La filoj de Ecer: Bilhan, Zaavan, kaj Jaakan. La filoj de Diŝan: Uc kaj Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Jen estas la reĝoj, kiuj reĝis en la lando de Edom, antaŭ ol aperis reĝo ĉe la Izraelidoj: Bela, filo de Beor; la nomo de lia urbo estis Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Kaj Bela mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Jobab, filo de Zeraĥ, el Bocra.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Kaj Joab mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Ĥuŝam, el la lando de la Temanidoj.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Kaj Ĥuŝam mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Hadad, filo de Bedad, kiu venkobatis la Midjanidojn sur la kampo de Moab; la nomo de lia urbo estis Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Kaj Hadad mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Samla el Masreka.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Kaj Samla mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Ŝaul el Reĥobot ĉe la Rivero.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Kaj Ŝaul mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Baal-Ĥanan, filo de Aĥbor.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Kaj Baal-Ĥanan mortis, kaj anstataŭ li ekreĝis Hadad; la nomo de lia urbo estis Pai; la nomo de lia edzino estis Mehetabel, filino de Matred, filino de Me-Zahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Kaj Hadad mortis. Tiam la ĉefoj de Edom estis: ĉefo Timna, ĉefo Alva, ĉefo Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 ĉefo Oholibama, ĉefo Ela, ĉefo Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 ĉefo Kenaz, ĉefo Teman, ĉefo Mibcar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 ĉefo Magdiel, ĉefo Iram. Tio estas la ĉefoj de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Kroniko 1 >