< Song of Solomon 5 >

1 Mi derlyng, come in to his gardyn, to ete the fruyt of hise applis. Mi sister spousesse, come thou in to my gardyn. Y have rope my myrre, with my swete smellynge spices; Y haue ete an hony combe, with myn hony; Y haue drunke my wyn, with my mylk. Frendis, ete ye, and drynke; and derewortheste frendis, be ye fillid greetli.
Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; nimekusanya manemane yangu pamoja na kikolezo changu. Nimekula sega langu la asali na asali yangu; nimekunywa divai yangu na maziwa yangu. Marafiki Kuleni, enyi marafiki, mnywe; kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
2 Y slepe, and myn herte wakith. The vois of my derlyng knockynge; my sister, my frendesse, my culuer, my spousesse vnwemmed, opene thou to me; for myn heed is ful of dew, and myn heeris ben ful of dropis of niytis.
Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho. Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, asiye na hitilafu. Kichwa changu kimeloa umande, na nywele zangu manyunyu ya usiku.”
3 I have vnclothid me of my coote; hou schal Y be clothid ther ynne? I haue waische my feet; hou schal Y defoule tho?
Nimevua joho langu: je, ni lazima nivae tena? Nimenawa miguu yangu: je, ni lazima niichafue tena?
4 Mi derlyng putte his hond bi an hoole; and my wombe tremblide at the touchyng therof.
Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo; moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.
5 Y roos, for to opene to my derlyng; myn hondis droppiden myrre, and my fyngris weren ful of myrre moost preued.
Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu, mikono yangu ikidondosha manemane, vidole vyangu vikitiririka manemane, penye vipini vya komeo.
6 Y openede the wiket of my dore to my derlyng; and he hadde bowid awei, and hadde passid. My soule was meltid, as the derlyng spak; Y souyte, and Y foond not hym; Y clepide, and he answerde not to me.
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
7 Keperis that cumpassiden the citee founden me; thei smytiden me, and woundiden me; the keperis of wallis token awey my mentil.
Walinzi walinikuta walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini. Walinipiga, wakanijeruhi, wakaninyangʼanya joho langu, hao walinzi wa kuta!
8 Ye douytris of Jerusalem, Y biseche you bi an hooli thing, if ye han founde my derlyng, that ye telle to hym, that Y am sijk for loue.
Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza: kama mkimpata mpenzi wangu, mtamwambia nini? Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.
9 A! thou faireste of wymmen, of what manner condicioun is thi derlyng `of the louede? of what manner condicioun is thi derling of a derling? for thou hast bisouyt vs bi an hooli thing.
Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani, wewe uliye mzuri kupita wanawake wote? Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani, hata unatuagiza hivyo?
10 My derling is whyt and rodi; chosun of thousyndis.
Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu, wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.
11 His heed is best gold; hise heeris ben as the bowis of palm trees, and ben blake as a crowe.
Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote, nywele zake ni za mawimbi na ni nyeusi kama kunguru.
12 Hise iyen ben as culueris on the strondis of watris, that ben waischid in mylk, and sitten besidis fulleste ryueris.
Macho yake ni kama ya hua kandokando ya vijito vya maji, aliyeogeshwa kwenye maziwa, yaliyopangwa kama vito vya thamani.
13 Hise chekis ben as gardyns of swete smellynge spices, set of oynement makeris; hise lippis ben lilies, droppynge doun the best myrre.
Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo yakitoa manukato. Midomo yake ni kama yungiyungi inayodondosha manemane.
14 Hise hondis ben able to turne aboute, goldun, and ful of iacynctis; his wombe is of yuer, ourned with safiris.
Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa iliyopambwa na yakuti samawi.
15 Hise lippis ben pilers of marble, that ben foundid on foundementis of gold; his schapplinesse is as of the Liban, he is chosun as cedris.
Miguu yake ni nguzo za marmar zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi. Sura yake ni kama Lebanoni, bora kama miti yake ya mierezi.
16 His throte is moost swete, and he is al desirable. Ye douytris of Jerusalem, siche is my derlyng, and this is my freend.
Kinywa chake chenyewe ni utamu, kwa ujumla yeye ni wa kupendeza. Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu, ee binti za Yerusalemu.

< Song of Solomon 5 >