< Song of Solomon 2 >

1 I am a flour of the feeld, and a lilye of grete valeis.
Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
2 As a lilie among thornes, so is my frendesse among douytris.
Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
3 As an apple tre among the trees of wodis, so my derlyng among sones. I sat vndur the shadewe of hym, whom Y desiride; and his fruyt was swete to my throte.
Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
4 The king ledde me in to the wyn celer; he ordeynede charite in me.
Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
5 Bisette ye me with flouris, cumpasse ye me with applis; for Y am sijk for loue.
Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
6 His left hond is vndur myn heed; and his riyt hond schal biclippe me.
Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
7 Ye douytris of Jerusalem, Y charge you greetli, bi capretis, and hertis of feeldis, that ye reise not, nether make to awake the dereworthe spousesse, til sche wole. The vois of my derlyng; lo!
Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
8 this derlyng cometh leepynge in mounteyns, and skippynge ouer litle hillis.
Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
9 My derlyng is lijk a capret, and a calf of hertis; lo! he stondith bihynde oure wal, and biholdith bi the wyndows, and lokith thorouy the latisis.
Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
10 Lo! my derlyng spekith to me, My frendesse, my culuer, my faire spousesse, rise thou, haaste thou, and come thou;
Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
11 for wyntir is passid now, reyn is goon, and is departid awei.
Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
12 Flouris apperiden in oure lond, the tyme of schridyng is comun; the vois of a turtle is herd in oure lond,
Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
13 the fige tre hath brouyt forth hise buddis; vyneris flourynge han youe her odour. My frendesse, my fayre spousesse, rise thou, haaste thou, and come thou.
Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
14 My culuer is in the hoolis of stoon, in the chyne of a wal with out morter. Schewe thi face to me, thi vois sowne in myn eeris; for thi vois is swete, and thi face is fair.
Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
15 Catche ye litle foxis to vs, that destrien the vyneris; for oure vyner hath flourid.
Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
16 My derlyng is to me, and Y am to hym, which is fed among lilies;
Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
17 til the dai sprynge, and schadewis be bowid doun. My derlyng, turne thou ayen; be thou lijk a capret, and a calf of hertis, on the hillis of Betel.
Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.

< Song of Solomon 2 >