< Psalms 20 >

1 To victorie, the salm of Dauid. The Lord here thee in the dai of tribulacioun; the name of God of Jacob defende thee.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Sende he helpe to thee fro the hooli place; and fro Syon defende he thee.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Be he myndeful of al thi sacrifice; and thi brent sacrifice be maad fat.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Yyue he to thee aftir thin herte; and conferme he al thi counsel.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 We schulen be glad in thin helthe; and we schulen be magnyfied in the name of oure God.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 The Lord fille alle thin axyngis; nowe Y haue knowe, that the Lord hath maad saaf his crist. He schal here hym fro his hooly heuene; the helthe of his riyt hond is in poweris.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Thes in charis, and these in horsis; but we schulen inwardli clepe in the name of oure Lord God.
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 Thei ben boundun, and felden doun; but we han rise, and ben reisid.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Lord, make thou saaf the kyng; and here thou vs in the dai in which we inwardli clepen thee.
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Psalms 20 >