< Psalms 133 >

1 The song of grecis. Lo! hou good and hou myrie it is; that britheren dwelle togidere.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!
2 As oynement in the heed; that goith doun in to the beerd, in to the beerd of Aaron. That goith doun in to the coler of his cloth; as the dew of Ermon,
Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani, yakitiririka kwenye ndevu, yakitiririka kwenye ndevu za Aroni, mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.
3 that goith doun in to the hil of Sion. For there the Lord sente blessing; and lijf til in to the world.
Ni kama vile umande wa Hermoni unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni. Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake, naam, hata uzima milele.

< Psalms 133 >