< Psalms 130 >

1 The song of greces. Lord, Y criede to thee fro depthes; Lord, here thou mi vois.
Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Thin eeris be maad ententif; in to the vois of my biseching.
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
3 Lord, if thou kepist wickidnessis; Lord, who schal susteyne?
Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4 For merci is at thee; and, Lord, for thi lawe Y abood thee. Mi soule susteynede in his word; my soule hopide in the Lord.
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
5 Fro the morewtid keping til to niyt;
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6 Israel hope in the Lord.
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
7 For whi merci is at the Lord; and plenteous redempcioun is at hym.
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8 And he schal ayen bie Israel; fro alle the wickidnessis therof.
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.

< Psalms 130 >