< Psalms 120 >

1 The song of greces. Whanne Y was set in tribulacioun, Y criede to the Lord; and he herde me.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Lord, delyuere thou my soule fro wickid lippis; and fro a gileful tunge.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What schal be youun to thee, ether what schal be leid to thee; to a gileful tunge?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Scharpe arowis of the myyti; with colis that maken desolat.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Allas to me! for my dwelling in an alien lond is maad long, Y dwellide with men dwellinge in Cedar; my soule was myche a comelyng.
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 I was pesible with hem that hatiden pees;
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 whanne Y spak to hem, thei ayenseiden me with outen cause.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalms 120 >