< Psalms 114 >
1 Alleluya. In the goyng out of Israel fro Egipt; of the hous of Jacob fro the hethene puple.
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Judee was maad the halewyng of hym; Israel the power of hym.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 The see siy, and fledde; Jordan was turned abac.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 Munteyns ful out ioyeden as rammes; and litle hillis as the lambren of scheep.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 Thou see, what was to thee, for thou fleddist; and thou, Jordan, for thou were turned abak?
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 Munteyns, ye maden ful out ioye as rammes; and litle hillis, as the lambren of scheep.
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 The erthe was moued fro the face of `the Lord; fro the face of God of Jacob.
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 Which turnede a stoon in to pondis of watris; and an hard rooch in to wellis of watris.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.