< Proverbs 9 >

1 Wisdom bildide an hous to him silf; he hewide out seuene pileris,
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 he offride his slayn sacrifices, he medlide wijn, and settide forth his table.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 He sente hise handmaides, that thei schulden clepe to the tour; and to the wallis of the citee.
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 If ony man is litil; come he to me. And wisdom spak to vnwise men,
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 Come ye, ete ye my breed; and drynke ye the wiyn, which Y haue medlid to you.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Forsake ye yong childhed, and lyue ye; and go ye bi the weyes of prudence.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 He that techith a scornere, doith wrong to him silf; and he that vndirnymmeth a wickid man, gendrith a wem to him silf.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Nile thou vndirnyme a scornere; lest he hate thee. Vndirnyme thou a wise man; and he schal loue thee.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Yyue thou occasioun to a wise man; and wisdom schal be encreessid to hym. Teche thou a iust man; and he schal haste to take.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 The bigynnyng of wisdom is the dreed of the Lord; and prudence is the kunnyng of seyntis.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 For thi daies schulen be multiplied bi me; and yeeris of lijf schulen be encreessid to thee.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 If thou art wijs; thou schalt be to thi silf, and to thi neiyboris. Forsothe if thou art a scornere; thou aloone schalt bere yuel.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 A fonned womman, and ful of cry, and ful of vnleueful lustis, and that kan no thing outirli,
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 sittith in the doris of hir hous, on a seete, in an hiy place of the cite;
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 to clepe men passinge bi the weie, and men goynge in her iournei.
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 Who is a litil man `of wit; bowe he to me. And sche spak to a coward,
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 Watris of thefte ben swettere, and breed hid is swettere.
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 And wiste not that giauntis ben there; and the gestis `of hir ben in the depthis of helle. Sotheli he that schal be applied, ether fastned, to hir; schal go doun to hellis. For whi he that goith awei fro hir; schal be saued. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbs 9 >