< Proverbs 29 >

1 Sodeyn perischyng schal come on that man, that with hard nol dispisith a blamere; and helth schal not sue hym.
Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
2 The comynalte schal be glad in the multipliyng of iust men; whanne wickid men han take prinshod, the puple schal weyle.
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
3 A man that loueth wisdom, makith glad his fadir; but he that nurschith `an hoore, schal leese catel.
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
4 A iust king reisith the lond; an auerouse man schal distrie it.
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
5 A man that spekith bi flaterynge and feyned wordis to his frend; spredith abrood a net to hise steppis.
Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
6 A snare schal wlappe a wickid man doynge synne; and a iust man schal preise, and schal make ioye.
Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
7 A iust man knowith the cause of pore men; an vnpitouse man knowith not kunnyng.
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
8 Men ful of pestilence distryen a citee; but wise men turnen awei woodnesse.
Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
9 If a wijs man stryueth with a fool; whether he be wrooth, `ether he leiyith, he schal not fynde reste.
Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
10 Menquelleris haten a simple man; but iust men seken his soule.
Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
11 A fool bringith forth al his spirit; a wise man dilaieth, and reserueth in to tyme comynge afterward.
Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
12 A prince that herith wilfuli the wordis of a leesyng; schal haue alle mynystris vnfeithful.
Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
13 A pore man and a leenere metten hem silf; the Lord is liytnere of euer ethir.
Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
14 If a kyng demeth pore men in treuthe; his trone schal be maad stidfast with outen ende.
Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
15 A yerde and chastisyng schal yyue wisdom; but a child, which is left to his wille, schendith his modir.
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
16 Grete trespassis schulen be multiplied in the multipliyng of wickid men; and iust men schulen se the fallyngis of hem.
Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
17 Teche thi sone, and he schal coumforte thee; and he schal yyue delicis to thi soule.
Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
18 Whanne prophesie faylith, the puple schal be distried; but he that kepith the lawe, is blessid.
Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
19 A seruaunt mai not be tauyt bi wordis; for he vndirstondith that that thou seist, and dispisith for to answere.
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
20 Thou hast seyn a man swift to speke; foli schal be hopid more than his amendyng.
Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
21 He that nurschith his seruaunt delicatli fro childhod; schal fynde hym rebel aftirward.
Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
22 A wrathful man territh chidingis; and he that is liyt to haue indignacioun, schal be more enclynaunt to synnes.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
23 Lownesse sueth a proude man; and glorie schal vp take a meke man of spirit.
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
24 He that takith part with a theef, hatith his soule; he herith a man chargynge greetli, and schewith not.
Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
25 He that dredith a man, schal falle soon; he that hopith in the Lord, shal be reisid.
Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
26 Many men seken the face of the prince; and the doom of alle men schal go forth of the Lord.
Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
27 Iust men han abhomynacioun of a wickid man; and wickid men han abhomynacioun of hem, that ben in a riytful weye. A sone kepynge a word, schal be out of perdicioun.
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.

< Proverbs 29 >