< Numbers 4 >

1 And the Lord spak to Moises and to Aaron,
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
2 and seide, Take thou the summe of the sones of Caath, fro the myddis of Leuytis,
Fanya sensa ya uzao waume wa Kohathi kutoka kwa Walawi, kwa kufuata jamaa na na familia za koo.
3 bi her housis and meynees, fro the threttithe yeer and aboue `til to the fiftithe yeer, of alle that entren, that thei stonde and mynystre in the tabernacle of boond of pees.
Uwahesabu wanaume ambao wana umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Hawa wataungana na kundi linalotumika kutoa huduma kwenye hema ya kukutania.
4 This is the religioun of the sones of Caath; Aaron and his sones schulen entren in to the tabernacle of boond of pees, and in to the hooli of hooli thingis,
Uzao wa Kohathi watalinda vile vitu vitakatifu zaidi vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu katika hema ya kukutania.
5 whanne the tentis schulen be moued; and thei schulen do doun the veil that hangith bifore the yatis, and thei schulen wlappe in it the arke of witnessyng;
Wakati kambi inapojiandaa kusonga mbele, Haruni na wanawe lazima waende hemani, kulishusha pazia linalotenganisha mahali patakatifu na kulifunika sanduku la ushuhuda kwa pazia hilo. Watalifunika hilo sanduku kwa ngozi za pomboo.
6 and thei schulen hile eft with a veil of `skynnys of iacynt, and thei schulen stretche forth aboue a mentil al of iacynt, and thei schulen putte in barris `on the schuldris of the bereris.
Watatandika juu yake nguo za rangi ya samawi. Watachomeka hiyo miti ya kubebea.
7 Also thei schulen wlappe the boord of proposicioun in a mentil of iacynt, and thei schulen putte therwith cenceris, and morteris of gold, litil cuppis, and grete cuppis to fletyng sacrifices `to be sched; looues schulen euere be in the boord.
Watatandika nguo ya rangi ya samawi kwenye meza ya mikate ya wonyesho. Juu yake wataweka sahani, vijiko, mabakuli na vikombe vya kumiminia. Mikate itakuwepo daima mezani.
8 And thei schulen strecche forth aboue a reed mentil, which thei schulen hile eft with an hilyng of `skynnes of iacynt, and thei schulen putte yn barris.
Wataifunika na nguo ya rangi nyekundu na ngozi za pomboo. na kuweka miti ya kubebea.
9 Thei schulen take also a mentil of iacynt with which thei schulen hile the candilstike, with hise lanternes, and tongis, and snytels, and alle the `vessels of oile that ben nedeful to the lanternes to be ordeyned;
Watachukua nguo ya rangi ya samawi na kukifunika kinara, pamoja na taa zake, na koleo zake, na sahani zake na vikombe vyake vya kuwekea mafuta ya taa.
10 and on alle thingis thei schulen putte an hilyng of `skynnys of iacynt, and thei schulen putte in barris.
Wataweka kinara na vifaa vyake vikiwa vimefunikwa na ngozi ya pomboo, na wataweka kwenye miti ya kukibebea.
11 Also and thei schulen wlappe the goldun auter in a clooth of iacynt; and thei schulen stretche forth aboue an hilyng of `skynnys of iacynt, and thei schulen putte in barris.
Watafunika na nguo ya samawi katika madhabau ya dhahabu. Wataifunika na ngozi za pomboo, na kuweka ile miti ya kubebea.
12 Thei schulen wlappe in a mentil of iacynt alle the vessels in whiche it is mynystrid in the seyntuarie, and thei schulen strecche forth aboue an hilyng of `skynnys of iacynt, and thei schulen putte yn barris.
Watavichukua vyombo vyote vya kazi takatifu na kuvizonga kwenye hiyo nguo ya rangi ya samawi. Watavifunika na ngozi za pomboo na kuviweka hivyo vyombo kwenye miti ya kubebea.
13 But also thei schulen clense the auter fro aische, and thei schulen wlappe it in a clooth of purpur.
Watayaondoa majivu kwenye madhabahu na kutandika nguo ya rangi ya zambarau juu yake.
14 And thei schulen putte with it alle vessels whiche thei vsen in the seruyce therof, that is, ressettis of firis, tongis, and fleischokis, hokis, and censeris, ether pannys of coolis; thei schulen hile alle the vessels of the auter togidere in a veil of `skynnes of iacynt, and thei schulen putte in barris.
Watavieka kwenye miti ya kubebea vyombo vyote wanavyovitumia kwa kazi ya madhabahuni. Vyombo hivi ni vyetezo, majembe, mabakuli na vitu vingine vya madhabahuni. Wataifuniks madhabahu na ngozi za pomboo na kuweka ile miti ya kubebea.
15 And whanne Aaron and hise sones han wlappid the seyntuarie, and alle vessels therof, in the mouyng of tentis, thanne the sones of Caath schulen entre, that thei bere the thingis wlappid, and touche not the vessels of the seyntuarie, lest thei dien.
Wakati Haruni na wanawe walipokuwa wamekamilisha kupafunika mahali patakatifu na vyombo vyote, na kambi itakapoanza kuendelea mbele, ndipo wana wa Kohathi watakapokuja kubeba vitu vya mahali patakatifu. Kama watagusa vyombo vitakatifu, lazima watakufa. Hii ni kazi ya wana wa uzao wa Kohathi, kubeba mapambo ya hema ya kukutania.
16 Thes ben the birthuns of the sones of Caath, in the tabernacle of boond of pees, on whiche Eleazar, the sone of Aaron, preest, schal be; to whois cure `the oile perteyneth to ordeyne lanternes, and the encense which is maad bi craft, and the sacrifice which is offrid euere, and the oile of anoyntyng, and what euere thing perteyneth to the ournyng of the tabernacle, and of alle vessels that ben in the seyntuarie.
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atalinda na kusimamia mafuta ya taa, ubani mzuri, sadaka za mara kwa mara na mafuta ya upako. Atasimamia ulinzi wa hema lote na vyote vilivyomo, mahali patakatifu na vyombo vyake.”
17 And the Lord spak to Moises and to Aaron, and seide,
BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
18 Nyle ye leese the puple of Caath fro the myddis of Leuytis;
Usiruhusu kabila la Wakohathi kuondolewa kati ya Walawi.
19 but do ye this thing to hem, that thei lyue, and die not, if thei touchen the hooli of hooli thingis. Aaron and hise sones schulen entre, and thei schulen dispose the werkis of alle men, and thei schulen departe `what who owith to bere.
Walinde waishi ili wasije wakafa, kwa kufanya hivi. Wanapokuwa wanasogelea
20 Othere men se not bi ony curiouste tho thingis that ben in the seyntuarie, bifore that tho ben wlappid; ellis thei schulen die.
wasije wakaingia ndani ili kuona eneo takatifu hata kwa kitambo, vinginevyo watakufa. Bali Haruni na wanawe wanaweza kuingia, ndipo Haruni na Wanawe watakapowapangia Wakohathi kazi maalumu ya kufanya, kwa kila mmoj.”
21 And the Lord spak to Moises,
BWANA akanena na Musa tena, Akasema, “Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao.
22 and seide, Take thou the summe also of the sones of Gerson, bi her housis, and meynees, and kynredis; noumbre thou
Uwahesabu wale wenye umri wa mika thelathini hadi miaka hamsini.
23 fro thretti yeer and aboue `til to fifti yeer alle that entren and mynystren in the tabernacle of boond of pees.
Uwahesabu wote ili waje kuungana na wale wanaotumika katika hema ya kukutania.
24 This is the office of the sones of Gersonytis, that thei bere the curteyns of the tabernacle, and the roof of the boond of pees, an other hilyng,
Hii ndiyo itakuwa kazi ya koo za Gerishoni, wanapotumikia na wanachobeba.
25 and a veil of iacynt aboue alle thingis, and the tente which hangith in the entryng of the tabernacle of the boond of pees;
Watabeba pazia la masikani, hema la kukutania, na vifunikio vyake, vifuniko vya ngozi ya pomboo ambvyo viko juu yake, na pazia kwenye lango la hema ya kukutania.
26 and the curteyns of the greet street, and the veil in the entryng, `which veil is bifor the tabernacle.
Watabeba pazia la ua, pazia la kwenye mlango wa ua, ambao uko karibu na maskani karibu na madhabahu, kamba zake na vifaa vyote vya utumishi wake. Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi, wao ndio watakaofanya.
27 Whanne Aaron comaundith and hise sones, the sones of Gerson schulen bere alle thingis that perteynen to the auter, the coordis, and vessels of seruyce; and alle schulen wite, to what charge thei owen to be boundun.
Haruni na wanawe ndio watakaongoza utumishi wa uzao wa Wagerishoni, kwa vitu vyote vile vya kusafirisha, na katika utumishi wao wote. Lazima uwagawie majukumu yao yote.
28 This is the office of the meynee of Gersonytis, in the tabernacle of boond of pees; and thei schulen be vndur the hond of Ythamar, the sone of Aaron, preest.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa wana wa Wagerishoni katka hema ya kukutania. Ithamari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza katika utumishi.
29 Also thou schalt noumbre the sones of Merary, bi the meynees and housis of her fadris,
Utawahesabu uzao wa Merari kwa koo zao, na uwapange katika familia za mabau zao,
30 fro thretti yeer and aboue `til to fifti yeer, alle that entren to the office of her seruice, and to the ournyng of the boond of pees of witnessyng.
kuanzia wenye umri wa miaka thelatini hadi miaka hamsini. Umuhesabu kila atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania.
31 These ben `the chargis of hem; thei schulen bere the tablis of the tabernacle, and the barris therof, the pilers and her foundementis; also the pilers of the greet street bi cumpas,
Huu ndio wajibu na kazi yao katika utumishi wao kwenye hema ya kukutania. Watazilinda mbao za maskani, mataluma yake, nguzo na makalishio yake,
32 with her foundementis, and her stakis, and coordis; thei schulen take alle instrumentis and purtenaunce at noumbre, and so thei schulen bere.
pamoja na nguzo za ua zinazozunguka masikani, makalishio yake, vigingi na kamba zake, na vifaa vinginevya ujenzi. Waorodheshe kwa majina na majukumu yao.
33 This is the office of `the meynee of Meraritis, and the seruyce in the tabernacle of boond of pees; and thei schulen be vndur the hond of Ythamar, the sone of Aaron, preest.
Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa Merari, ambao wanatakiwa kufanya katika hema ya kukutania, chini ya uongozi wa Ithmari mwana wa Haruni kuhani.”
34 Therfor Moises and Aaron and the princes of the synagoge noumbriden the sones of Caath, bi the kynredis and housis of her fadris,
Musa na Haruni na viongozi wa watu waliwahesabu wana wa uzao wa Wakohathi kwa kufuata koo za familia za mababu zao.
35 fro thretti yeer and aboue `til to the fiftithe yeer, alle that entren to the seruyce of the tabernacle of boond of pees;
Waliwahesabu wale wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Walimhesabu kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi linalotoa huduma ya utumishi kwenye hema ya kukutania.
36 and thei weren foundun two thousynde seuene hundrid and fifti.
Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
37 This is the noumbre of the puple of Caath, which entrith in to the tabernacle of boond of pees; Moises and Aaron noumbriden these, bi the word of the Lord, bi the hond of Moises.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote kutoka koo na familia za Wakohathi ambao hutumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi kwa kumtii BWANA aliyewaagiza kupitia kwa Musa.
38 And the sones of Gerson weren noumbrid, bi the kyneredis and housis of her fadris,
Uzao wa Gerishoni walihesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao,
39 fro thretti yeer and aboue `til to `the fiftithe yeer, alle that entren that thei mynystre in the tabernacle of boond of pees;
kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kwa kila mmoja aliyetakiwa kuungana na watu wanaotoa huduma kwenye hema ya kukutania.
40 and thei weren foundun two thousynde sixe hundrid and thretti.
Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
41 This is the puple of Gersonytis, which Moises and Aaron noumbriden, bi the `word of the Lord.
Musa na Haruni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa.
42 And the sones of Merary weren noumbrid, bi the kynredis and housis of her fadris,
Uzao wa Merari walihesabiwa kwa koo kupitia familia za mababu zao,
43 fro threttithe yeer and aboue `til to `the fiftithe yere, alle that entren to fille the customs, ether seruices, of the tabernacle of boond of pees;
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kila anayepaswa kuungana na watu wanaotumika kwenye hema ya kukutania.
44 `and thei weren foundun thre thousynde and two hundrid.
Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200.
45 This is the noumbre of the sones of Merari, whiche Moyses and Aaron noumbriden, bi `the comaundement of the Lord, bi the hoond of Moises.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume hawa, uzao wa Merari. Kw kufanya hivi walitii amri ya BWANA aliyowaaagiza kufanya kupitia kwa Musa.
46 Alle that weren noumbrid of Leuytis, and whiche Moyses and Aaron and the princes of Israel maden to be noumbrid, bi the kynredis and housis of her fadris,
Kwa hiyo Musa na Haruni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kw kufuata koo na familia za mababu zao
47 fro thretti yeer and aboue `til to `the fiftithe yeer, and entriden to the seruyce of the tabernacle, and to bere chargis,
kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. walimhesabu kila aliyepaswa kufanya kazi kwenye masikani, na kila aliyepaswa kubeba na kulinda vitu vya kwenye hema ya kukutania.
48 weren togidere eiyte thousynde fyue hundrid and foure scoor.
Waliwahesabu wanaume 8, 580.
49 By the `word of the Lord Moises noumbride hem, ech man bi his office and hise chargis, as the Lord comaundide to hym.
Kwa agizo la BWANA, Musa alimhesabu kila mwanamume na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya. Kwa hivyo, walitii kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya kupitia kwa Musa.

< Numbers 4 >