< Numbers 31 >
1 And the Lord spak to Moyses, and seide,
BWANA alinena na Musa na kumwambia,
2 Venge thou firste the sones of Israel of Madianytis, and so thou schalt be gaderid to thi puple.
“Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
3 And anoon Moises seide, Arme ye men of you to batel, that moun take of Madianytis the veniaunce of the Lord.
Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
4 Of ech lynage be chosun a thousynde men of Israel, that schulen be sent to batel.
Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
5 And of ech lynage thei yauen a thousynde, that is twelue thousynde of men, redi to batel;
Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
6 whiche Moises sente with Fynees, the sone of Eleazar, preest. And he bitook to hem hooli vesselis, and trumpis to make sown.
Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
7 And whanne thei hadden fouyt ayens Madianytis, and hadden ouercome, thei killiden alle the malis,
Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
8 and `the kyngis of hem, Euy, and Reem, and Sur, and Hur, and Rebe, fyue princes of `the folc of hem. Also thei killiden bi swerd Balaam, the sone of Beor.
Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
9 And thei token the wymmen of hem, and the litle children, and alle beestis, and al purtenaunce of howshold; what euer thei myyten haue, thei spuyleden;
Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
10 flawme brente as wel citees, as litle townes and castels.
Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
11 And they token pray, and alle thingis whiche thei hadden take, as wel of men as of beestis, and thei brouyten to Moyses,
Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
12 and to Eleazar, preest, and to al the multitude of the sones of Israel. Forsothe thei baren othere `thingis perteynynge to vss, to the castels in the feldi places of Moab bisidis Jordan, ayens Jericho.
Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
13 Moises and Eleazar, preest, and alle the princes of the synagoge, yeden out in to the comyng of hem, with out the castels, `that is, of the tabernacle.
Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
14 And Moises was wrooth to the princes of the oost, to tribunes, and centuriouns, that camen fro batel;
Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
15 and he seide, Whi reserueden ye wymmen?
Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
16 whether it be not these that disseyueden the sones of Israel, at the suggestioun of Balaam, and maden you to do trespas ayens the Lord, on the synne of Phegor, wherfor also the puple was slayn?
Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
17 And therfor sle ye alle men, what euer thing is of male kynde, and litle children; and strangle ye the wymmen that knew men fleischli;
Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
18 forsothe reserue ye to you damesels, and alle wymmen virgyns,
Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
19 and dwelle ye with out the castels in seuene daies. He that sleeth a man, ether touchith a slayn man, schal be clensid in the thridde and the seuenthe dai;
Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
20 and of al the pray, whether it is clooth, ether vessel, and ony thing maad redi in to thingis perteynynge to vss, of the skynnys and heeris of geet, and `of tre, it schal be clensid.
Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
21 And Eleazar, preest, spak thus to the men of the oost that fouyten, This is the comaundement of the lawe, which the Lord comaundide to Moises,
Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
22 The gold, and siluer, and bras, and yrun, and tiyn, and leed, and al thing that may passe by flawme, schal be purgid bi fier;
Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
23 sotheli what euer thing may not suffre fier, schal be halewid bi the watir of clensyng.
na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
24 And ye schulen waische youre clothis in the seuenthe dai, and ye schulen be clensid; and aftirward ye schulen entre in to the castels `of the tabernacle.
Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
25 And the Lord seide to Moises, Take ye the summe of tho thingis that ben takun, fro man `til to beeste,
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
26 thou, and Eleazar, preest, and alle the princes of the comyn puple.
“Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
27 And thou schalt departe euenli the prey bytwixe hem that fouyten and yeden out to batel, and bitwixe al the multitude.
watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
28 And thou schalt departe a part to the Lord, of hem that fouyten, and weren in batel, `o soule of fiue hundrid, as wel of men, as of oxun, and of assis, and of scheep.
Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
29 And thou schalt yyue `that part to Eleazar, preest, for tho ben the firste fruytis of the Lord.
Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
30 Also of the myddil part of the sones of Israel, thou schalt take the fiftithe heed of men, and of oxun, and of assis, and of scheep, and of alle lyuynge beestis; and thou schalt yyue tho to the dekenes, that waken in the kepyngis of the tabernacle of the Lord.
Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
31 And Moyses and Eleazar diden, as the Lord comaundide.
Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
32 Forsothe the prey which the oost hadde take, was sixe hundrid fyue and seuenti thousynde of scheep,
Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
33 of oxun two and seuenti thousynde,
maksai elfu sabini na mbili,
34 of assis sixti thousynde and a thousynde;
punda elfu sitini na moja,
35 the soules of persones of femal kynde, that knewen not fleischli men, two and thretti thousynde.
na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
36 And the myddil part was youun to hem that weren in the batel, of scheep thre hundrid seuene and thretti thousynde and fyue hundrid;
Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
37 of whiche sixe hundrid fyue and seuenti scheep weren noumbrid in to the part of the Lord;
BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
38 and of sixe and thretti thousynde oxun,
Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
39 two and seuenti oxun, and of thretti thousynde assis and fyue hundryd, oon and sixti assis;
Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
40 of sixtene thousynde persoones of men, twei and thretti persoones bifelden in to the `part of the Lord.
Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
41 And Moises bitook the noumbre of the firste fruytis of the Lord to Eleazar, preest, as it was comaundid to hym,
Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
42 of the myddil part of the sones of Israel, which he departide to hem that weren in batel.
Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
43 And of the myddil part that bifelde to the tother multitude, that is, of thre hundrid seuene and thretti thousynde scheep and fyue hundrid,
ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
44 and of sixe and thretti thousynde oxun,
maksai elfu thelathini na sita,
45 and of thretti thousynde assis and fyue hundrid, and of sixtene thousynde wymmen,
punda 30, 500,
46 Moyses took the fyftithe heed,
na wanawake elfu kumi na sita.
47 and yaf to the dekenes, that wakiden in the tabernacle of the Lord, as the Lord comaundide.
Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
48 And whanne the princes of the oost, and the tribunes and centuriouns hadden neiyed to Moises,
Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
49 thei seiden, We thi seruauntis han teld the noumbre of fiyters, whiche we hadden vndur oure hoond, and sotheli not oon failide;
Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
50 for which cause we offren `in the fre yiftis of the Lord, alle bi vs silf, that that we myyten fynde of gold in the pray, girdelis for `the myddil of wymmen, and bies of the armes, and ryngis, and ournementis of the arm nyy the hond, and bies of the neckis of wymmen, that thou preye the Lord for vs.
Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
51 And Moises and Eleazar, preest, token al the gold in dyuerse spices,
Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
52 `ether kyndis, bi the weiyte of the seyntuarye, sixtene thousynde seuene hundrid and fifti siclis, of the tribunes, and centuriouns.
Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
53 For that that ech man rauyschide in the prey, was his owne;
Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
54 and thei baren the gold taken in to the tabernacle of witnessyng, in to the mynde of the sones of Israel, bifor the Lord.
Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.