< Numbers 11 >

1 Yn the meene tyme the grutchyng of the puple, as of men sorewynge for trauel, roos ayens the Lord. And whanne Moises hadde herd this thing, he was wrooth; and the fier of the Lord was kyndelid on hem, and deuouride the laste part of the tentis.
Sasa watu wakanung'unika juu ya matatizo yao wakati BWANA alipokuwa akiwasikiliza. BWANA akawasikia watu naye akakasirika. Moto kutoka kwa BWANA ukashuka na ukawaka kati yao na kuteketeza baadhi ya kambi kwenye pembe zake.
2 And whanne the puple hadde cried to Moises, Moises preiede the Lord, and the fier was quenchid.
Ndipo watu wakamwita Musa kwa nguvu, Naye Musa akamwomba BWANA, na ule moto ukazimika.
3 And he clepid the name of that place Brennyng, for the fier of the Lord was kyndlid ayens hem.
Mahali pale paliitwa Tabera, kwa sababu moto wa BWANA uliwaka kati yao.
4 And the comyn puple of `malis and femalis, that hadde stied with hem, brent with desire of fleischis, and sat, and wepte with the sones of Israel ioyned togidere to hem, and seide, Who schal yyue to vs fleischis to ete?
Baadhi ya wageni wakaanza kuweka kambi zao pamoja na wana wa wa Israeli. Walitaka kula chakula kizuri. Kisha wana wa Israeli walipoanza kulia wakisema, “Ni nani atakayetupatia nyama za kula?
5 We thenken on the fischis whiche we eten in Egipt freli; gourdis, and melouns, and lekis, and oyniouns, and garlekis comen in to mynde `to vs;
Tunakumbuka samaki tulizokula bure kule Misri, yale matango, na matikiti maji, na mboga na vitunguu na vitunguu saumu.
6 oure soule is drie; oure iyen byholden noon other thing `no but manna.
Na sasa hatuna hamu ya kula, kwa sababu tunaona mana tu.
7 Forsothe manna was as the seed of coriaundre, of the colour of bdellyum, which is whijt and briyt as cristal.
Mana ilifanana na punje ya mtama. ilionekana kama bedola.
8 And the puple yede aboute, and gaderide it, and brak with a queerne stoon, ether pownede in a morter, and sethide in a pot; and made therof litle cakis of the sauour, as of breed maad with oile.
watu wakazunguka kisha wakakusanyika. Wakaisaga, wakaitwanga kwa vinu, wakaitokosa nyunguni, na kuitengeneza mikate. radha yake ilikuwa kama mafuta mapya ya mizeituni.
9 And whanne dew cam doun in the niyt on the tentis, also manna cam doun togidere.
Na umande ulipoanguka kambini usiku ule, na mana ilianguka pia.
10 Therfor Moises herde the puple wepynge bi meynees, and `alle bi hem silf bi the doris of her tentis; and the woodnesse of the Lord was wrooth greetli, but also the thing was seyn vnsuffrable to Moises.
Musa akawasikia watu wakilia katika familia zao, na kila mtu alikuwa kwenye lango la hema yake. BWANA alikasirika sana, na mbele ya macho ya Musa malalamiko yao yalikuwa mabaya.
11 And he seide to the Lord, Whi hast thou turmentid thi seruaunt? whi fynde Y not grace bifor thee? and whi hast thou put on me the burthun of al this puple?
Musa akasema na BWANA, “Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna hiyo? kwa nini hujapendezwa na mimi? unanifanya kubeba mizigo ya hawa watu.
12 whethir Y conseyuede al this multitude, ethir gendride it, that thou seie to me, Bere thou hem in thi bosum as a nurise is wont to bere a litil yong child, and bere thou in to the lond for which thou hast swore to the fadris `of hem.
Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia, “wabebe kwa ukaribu vifuani mwako kama baba abebavyo mtoto wake? Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ambayo uliwaahidi mababu zao kuwapa?
13 wherof ben fleischis to me, that Y `yyue to so greet multitude? Thei wepen bifore me, and seyn, `Yyue thou fleischis to vs that we ete;
Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa? Wanalia mbele zangu na wanasema, 'tupe nyama tule.'
14 I mai not aloone suffre al this puple, for it is greuouse to me.
Mimi peke yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa. Ni wengi sana kwangu.
15 If in other maner it semeth to thee, Y biseche that thou sle me, and that Y fynde grace in thin iyen, that Y be not punyschid bi so grete yuelis.
Kwa vile unanitendea hivi, basi uniue, na kama wewe ni mpole kwangu, basi niondolee mzigo huu.”
16 And the Lord seide to Moises, Gadere thou to me seuenti men of the eldre men of Israel, whiche thou knowist, `that thei ben the elde men and maistris of the puple; and thou schalt lede hem to the dore of the tabernacle of boond of pees, and thou schalt make to stonde there with thee,
BWANA akamwambia Musa, “Niletee wazee sabini miongoni mwa Waisraeli. Hakikisha ni wazee na viongozi wa watu. Uwalete kwenye hema ya kukutania wasimame pamoja na wewe.
17 that Y come doun, and speke to thee; and Y schal take awey of thi spirit, and Y schal yyue to hem, that thei susteyne with thee the birthun of the puple, and not thou aloone be greuyd.
Nami nitashuka niseme nawe mahali pale. Nitatoa sehemu ya roho iliyo ndani yako na kuwapatia wao. Nao watabeba mzigo wa watu pamoja nawe. na hautaubeba peke yako.
18 And thou schalt seie to the puple, Be ye halewid; to morew ye schulen ete fleischis; for Y herde you seie, Who schal yyue to vs the metis of fleischis? it was wel to vs in Egipt; that the Lord yyue `fleischis to you,
Waambie watu, 'Jitakaseni ninyi wenyewe, kwa kuwa kesho mtakuala nyama, kwa kuwa mmelia na BWANA amesikia, “Mlipokuwa mkisema kuwa nani atakayetupa nyama tule? Kule Misri tulikula chakula kizuri!” Kwa hiyo BWANA atawapeni nyama, nanyi mtakula nyama.
19 and that ye ete not o dai, ethir tweyne, ethir fyue, ethir ten, sotheli nether twenti,
Hamtakula nyama kwa siku moja tu, au siku mbili, au siku tano, au siku kumi, au siku ishirini,
20 but `til to a monethe of daies, til it go out bi youre nosethirlis, and turne in to wlatyng; for ye han put awei the Lord, which is in the myddis of you, and ye wepten bifor hym, and seiden, Whi yeden we out of Egipt?
Lakini mtakula nyama kwa mwezi mmoja mpaka zitakapowatokea puani. Mpaka zitawakinai kwa sababu mmemkataa BWANA ambaye yuko kati yenu. Mmelia mbele yake. mmesema, “Kwa nini tulitoka Misri?””
21 And Moises seide to the Lord, Sixe hundrid thousynde of foot men ben of this puple, and thou seist, Y schal yyue to hem `mete of fleischis an hool monethe.
Kisha Musa akasema, “Mimi nina watu 600, 000, na wewe umesema, “Nitawapa nyama mle kwa mwezi mmoja,'
22 Whether the multitude of scheep and of oxun schal be slayn, that it may suffice to mete, ethir alle the fischis of the see schulen be gaderid to gidere, that tho fille hem?
Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuwatosheleza?”
23 To whom the Lord answeride, Whether the `hond of the Lord is vnmyyti? riyt now thou schalt se, wher my word schal be fillid in werk.
BWANA akasema na Musa, “Je mkono wangu ni mfupi? Sasa utaona kama maneno yangu ni ya kweli ama sivyo.
24 Therfor Moises cam, and telde to the puple the wordis of the Lord; and he gaderide seuenti men of the eldere of Israel, whiche he made stonde aboute the tabernacle.
Musa alitoka nje kwenda kuwaambia watu maneno ya BWANA. Aliwakusanya wazee sabini wa watu na kuwaweka kuizunguka hema.
25 And the Lord cam doun bi a cloude, and spak to Moises, and took a weye of the spirit that was in Moises, and yaf to the seuenti men; and whanne the spirit hadde restid in hem, thei profesieden, and ceessiden not `aftirward.
BWANA akashuka chini katika wingu akaongea na Musa. BWANA akachukua sehemu ya roho iliyokuwa kwa Musa na kuiweka kwa wale wazee sabini. Roho alipowashukia, wakaanza kutoa unabii, lakini ilitokea kwenye tukio hilo tu na haikujirudia tena.
26 Forsothe twei men dwelliden stille in the tentis, of whiche men oon was clepid Heldad, and the tothir Medad, on whiche the spirit restide; for also thei weren descryued, and thei yeden not out to the tabernacle.
Watu wawili waitwao Elidadi na Medadi walibaki kambini. Lakini Roho aliwashukia pia. Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha lakini walikuwa hawajaenda hemani. Hata hivyo nao walitoa unabii wakiwa kambini.
27 And whanne thei profesieden in the tentis, a child ran, and teld to Moises, and seide, Heldad and Medad profecien in the tentis.
Kijana mmoja huko kambini alikimbia akaenda kumwambia Musa, “Elidadi na Medadi wanatoa unabii kambini.”
28 Anoon Josue, the sone of Nun, the `mynystre of Moises, and chosun of manye, seide, My lord Moises, forbede thou hem.
Joshua mwana wa Nuni, msaidizi wa Musa, ambaye ni miongoni mwa wale aliowachagua akamwambia Musa, “Bwana wangu Musa, wazuie.”
29 And he seide, What hast thou enuye for me? who yyueth that al the puple profesie, and that God yyue his spirit to hem?
Musa akamwambia, “una wivu kwa niaba yangu? Natamani kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kwamba angeweka Roho yake juu yao wote!”
30 And Moises turnede ayen, and the eldre men in birthe of Israel in to the tentis.
Kisha Musa na wale wazee wakarudi kambini.
31 Forsothe a wynde yede forth fro the Lord, and took curlewis, and bar ouer the see, and lefte in to the tentis, in the iurney, as myche as mai be parformed in o day, bi ech part of the tentis bi cumpas; and tho flowen in the eir bi twei cubitis in `hiynesse ouer the erthe.
Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA ukaja na kware kutokea baharini. Wakaanguka karibu na kambi, kiasi cha umbali wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine. Wale kware wakaizunguka kambi kiasi cha mita moja toka uso wa dunia.
32 Therfor the puple roos in al that dai and nyyt and in to the tothir dai, and gaderide the multitude of curlewis; he that gaderide litil, gaderide ten `mesuris clepid chorus; `and o chorus conteyneth ten buschels; and thei drieden tho curlewis bi the cumpas of the tentis.
Watu wakawakusanya hao kware kwa bidii mchana huo wote na usiku huo wote, na mchana wote uliofuatia. Hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili za uajazo. Wakawaanika kweye ardhi yote hapo kambini.
33 Yit `fleischis weren in the teeth `of hem, and siche mete failide not; and lo! the woodnesse of the Lord was reisid ayens the puple, and smoot it with a ful greet veniaunce.
Wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno yao, wakiwa bado wanatafuna, BWANA akawakasirikia. Akwapiga watu wale kwa gonjwa kubwa sana.
34 And thilke place was clepid The sepulcris of coueitise, for there thei birieden the puple that desiride fleischis.
Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava, kwa sababu pale walizika watu waliotamani nyama.
35 Sotheli thei yeden `out of the sepulcris of coueitise, and camen in to Asseroth, and dwelliden there.
Kutoka Kibroti Hataava watu wakasafiri hadi Hazeroti, ambapo walipumzika.

< Numbers 11 >