< Nehemiah 7 >

1 Forsothe aftir that the wal of Jerusalem was bildid, and Y hadde set yatis, and Y hadde noumbrid porters, and syngeris,
Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.
2 and dekenys, Y comaundide to Aneny, my brother, and to Ananye, the prince of the hows of Jerusalem; for he semyde a sothefast man, and dredynge God more than othere men diden;
Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.
3 `and Y seide `to hem, The yatis of Jerusalem ben not openyd `til to the heete of the sunne; and, whanne Y was yit present, the yatis weren closid, and lockid. And Y settide keperis of the dwelleris of Jerusalem, alle men bi her whilis, and ech man ayens his hows.
Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”
4 Sotheli the citee was ful brood and greet, and litil puple was in myddis therof, and housis weren not bildid.
Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.
5 Forsothe God yaf in myn herte, and Y gaderide togidere the principal men, and magistratis, and the comyn puple, for to noumbre hem; and Y foond the book of the noumbre of hem, that hadden stied first. And it was foundun writun ther ynne,
Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:
6 These ben the sones of the prouynce, `that stieden fro the caitifte of men passynge ouer, whiche Nabugodonosor, the kyng of Babiloyne, hadde `translatid, ether led ouer;
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7 and thei that weren comun with Zorobabel turneden ayen in to Jerusalem and in to Judee, ech man in to his citee; Josue, Neemye, Azarie, Raanye, Naanum, Mardochee, Bethsar, Mespharath, Beggaay, Naum, Baana. The noumbre of men of the puple of Israel;
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8 the sones of Pharos, two thousynde an hundrid and two and seuenti; the sones of Saphaie,
wazao wa Paroshi 2,172
9 thre hundrid and two and seuenti;
wazao wa Shefatia 372
10 the sones of Area, sixe hundrid and two and fifti; the sones of Phaeth Moab,
wazao wa Ara 652
11 of the sones of Josue and of Joab, two thousynde eiyte hundrid and eiytene;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12 the sones of Helam, a thousynde eiyte hundrid and foure and fifti;
wazao wa Elamu 1,254
13 the sones of Ezecua, eiyte hundrid and fyue and fourti;
wazao wa Zatu 845
14 the sones of Zachai, seuene hundrid and sixti;
wazao wa Zakai 760
15 the sones of Bennuy, sixe hundrid and eiyte and fourti;
wazao wa Binui 648
16 the sones of Hebahi, sixe hundrid and eiyte and twenti;
wazao wa Bebai 628
17 the sones of Degad, two thousynde thre hundrid and two and twenti;
wazao wa Azgadi 2,322
18 the sones of Azonicam, sixe hundrid and seuene and sixti;
wazao wa Adonikamu 667
19 the sones of Bagoamy, two thousynde and seuene and sixti;
wazao wa Bigwai 2,067
20 the sones of Adyn, sixe hundrid and fiue and fifti;
wazao wa Adini 655
21 the sones of Azer, sone of Ezechie, eiyte and twenti;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22 the sones of Asem, thre hundrid and eiyte and twenti; the sones of Bethsai,
wazao wa Hashumu 328
23 thre hundrid and foure and twenti;
wazao wa Besai 324
24 the sones of Areph, an hundrid and seuene and twenti;
wazao wa Harifu 112
25 the sones of Zabaon, fyue and twenti;
wazao wa Gibeoni 95
26 the men of Bethleem and of Necupha, an hundrid foure score and eiyte;
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27 the men of Anatoth, an hundrid and eiyte and twenti;
watu wa Anathothi 128
28 the men of Bethamoth, two and fourti;
watu wa Beth-Azmawethi 42
29 the men of Cariathiarym, of Cephura, and Beroth, seuene hundrid and thre and fourti;
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30 the men of Rama and of Gabaa, sixe hundrid and oon and twenti; the men of Machimas,
watu wa Rama na Geba 621
31 two hundrid and two and twenti;
watu wa Mikmashi 122
32 the men of Bethel and of Hay, an hundrid and thre and twenti; the men of the tother Nebo,
watu wa Betheli na Ai 123
33 two and fifti;
watu wa Nebo 52
34 the men of the tother Helam, a thousynde two hundrid and foure and fifti;
wazao wa Elamu 1,254
35 the sones of Arem, thre hundrid and twenti;
wazao wa Harimu 320
36 the sones of Jerico, thre hundrid and fyue and fourti;
wazao wa Yeriko 345
37 the sones of Joiadid and Anon, seuene hundrid and oon and twenti;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38 the sones of Senaa, thre thousynde nyne hundrid and thritti; preestis,
wazao wa Senaa 3,930
39 the sones of Idaie, in the hous of Josua, nyne hundrid and foure and seuenti; the sones of Emmer,
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 a thousynde and two and fifti;
wazao wa Imeri 1,052
41 the sones of Phassur, a thousynd two hundrid and `seuene and fourti;
wazao wa Pashuri 1,247
42 the sones of Arem, a thousynde and eiytene;
wazao wa Harimu 1,017
43 dekenes, the sones of Josue and of Gadymel,
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44 sones of Odyna, foure and seuenti;
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45 syngeris, the sones of Asaph, an hundrid and seuene and fourti;
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46 porteris, the sones of Sellum, sones of Ater, sones of Thelmon, sones of Accub, sones of Accita, sones of Sobai, an hundrid and eiyte and thretti;
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47 Nathynneis, sones of Soa, sones of Aspha, sones of Thebaoth, sones of Cheros,
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48 sones of Sicca, sones of Phado, sones of Lebana, sones of Agaba, sones of Selmon,
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49 sones of Anan, sones of Geddel,
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50 sones of Gaer, sones of Raaie, sones of Rasym,
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51 sones of Necuda, sones of Jezem, sones of Asa, sones of Phascha, sones of Besai,
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52 sones of Mynum, sones of Nephusym,
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53 sones of Bechue, sones of Acupha, sones of Assur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54 sones of Belloth, sones of Meida,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55 sones of Arsa, sones of Berchos, sones of Sisara,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56 sones of Thema, sones of Nesia,
wazao wa Nesia na Hatifa.
57 sones of Atipha, sones of the seruauntis of Salomon, sones of Sothai, sones of Sophoreth,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58 sones of Pherida, sones of Jacala, sones of Dalcon, sones of Geddel, sones of Saphatie,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59 sones of Atthal, the sones of Phetereth, `that was borun of Abaim, sone of Amon;
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60 alle Natynneis, and the sones of the seruauntis of Salomon, weren thre hundrid and two and twenti.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
61 Forsothe these it ben that stieden, Dethemel, Mela, Thelarsa, Cherub, Addo, and Emmer, and myyten not schewe the hows of her fadris, and her seed, whether thei weren of Israel; the sones of Dalaie,
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
62 the sones of Tobie, the sones of Nethoda, sixe hundrid and two and fourti;
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 642
63 and of prestis, the sones of Abia, the sones of Achos, the sones of Berzellai, that took a wijf of the douytris of Berzellai of Galaad, and was clepid bi the name of hem;
Na kutoka miongoni mwa makuhani: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
64 these souyten the scripture of her genelogie, and founden not, and weren cast out of presthod.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
65 And Athersata seide to hem, that thei schulden not eete of the hooli thingis of hooli men, til a wijs prest `and lerud roos.
Kwa hiyo, mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
66 Al the multitude as o man, two and fourti thousynde sixe hundrid and sixti,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
67 outakun the seruauntis and handmaidis of hem, that weren seuene thousynde thre hundrid and seuene and thretti; and among the syngeris and syngeressis, sixe hundrid and fyue and fourti.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
68 The horsis of hem, sixe hundrid and sixe and thritti; the mulis of hem, two hundrid and fyue and fourti;
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245
69 the camels of hem, foure hundrid and fyue and thritti; the assis of hem, sixe thousynde eiyte hundrid and thritti.
ngamia 435 na punda 6,720.
70 Forsothe summe of the princes of meynees yauen costis in to the werk of God; Athersata yaf in to the tresour, a thousynde dragmes of gold, fifti viols, fyue hundrid and thritti cootis of prestis.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.
71 And of the prynces of meynees thei yauen in to the tresour of the werk, twenti thousynde dragmes of gold, and two thousynde and two hundrid besauntis of siluer.
Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu, na mane 2,200 za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.
72 And that that the residue puple yaf, twenti thousynde dragmes of gold, and two thousynde besauntis of siluer, and seuene and sixti cootis of prestis.
Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.
73 Sotheli prestis, and dekenes, and porteris, and syngeris, and the residue puple, and Natynneis, and al Israel dwelliden in her citees.
Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe. Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

< Nehemiah 7 >