< Mark 8 >
1 In tho daies eft, whanne myche puple was with Jhesu, and hadden not what thei schulden ete, whanne hise disciplis weren clepid togidir,
Katika siku hizo, umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa hawana chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia,
2 he seide to hem, I haue reuth on the puple, for lo! now the thridde dai thei abiden me, and han not what to ete;
“Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula.
3 and if Y leeue hem fastynge in to her hous, thei schulen faile in the weie; for summe of hem camen fro fer.
Nikiwaaga waende nyumbani bila kula, watazimia njiani kwa sababu baadhi yao wametoka mbali.”
4 And hise disciplis answerden to hym, Wherof schal a man mowe fille hem with looues here in wildirnesse?
Wanafunzi wake wakamjibu, “Lakini hapa nyikani tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha?”
5 And he axide hem, Hou many looues han ye?
Yesu akawauliza, “Mna mikate mingapi?” Wakajibu, “Tuna mikate saba.”
6 Whiche seiden, Seuene. And he comaundide the puple to sitte doun on the erthe. And he took the seuene looues, and dide thankyngis, and brak, and yaf to hise disciplis, that thei schulden sette forth. And thei settiden forth to the puple.
Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo.
7 And thei hadden a few smale fischis; and he blesside hem, and comaundide, that thei weren sette forth.
Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.
8 And thei eten, and weren fulfillid; and thei token vp that that lefte of relifs, seuene lepis.
Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
9 And thei that eeten, weren as foure thousynde of men; and he lefte hem.
Watu waliokula walikuwa wapata 4,000. Akiisha kuwaaga,
10 And anoon he wente vp in to a boot, with hise disciplis, and cam in to the coostis of Dalmamytha.
aliingia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda sehemu za Dalmanutha.
11 And the Farisees wenten out, and bigunnen to dispuyte with hym, and axiden a tokne of hym fro heuene, and temptiden hym.
Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
12 And he sorewynge `with ynne in spirit, seide, What sekith this generacioun a tokne? Treuli Y seie to you, a tokene schal not be youun to this generacioun.
Akahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Amin nawaambieni, hakitapewa ishara yoyote.”
13 And he lefte hem, and wente vp eftsoone in to a boot, and wente ouer the see.
Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ngʼambo.
14 And thei foryaten to take breed, and thei hadden not with hem but o loof in the boot.
Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu kwenye mashua.
15 And he comaundide hem, and seide, Se ye, and `be war of the sowre dowy of Farisees, and of the sowrdowy of Eroude.
Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
16 And thei thouyten, and seiden oon to anothir, For we han not looues.
Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”
17 And whanne this thing was knowun, Jhesus seide to hem, What thenken ye, for ye han not looues? Yit ye knowun not, ne vndurstonden; yit ye han youre herte blyndid.
Yesu, akifahamu majadiliano yao, akawauliza: “Mbona mnajadiliana kuhusu kutokuwa na mikate? Je, bado hamtambui wala hamwelewi? Je, mbona mioyo yenu ni migumu kiasi hicho?
18 Ye hauynge iyen, seen not, and ye hauynge eeris, heren not; nethir ye han mynde,
Je, mna macho lakini mnashindwa kuona, na mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, hamkumbuki?
19 whanne Y brak fyue looues among fyue thousynde, and hou many cofynes ful of brokun meete `ye tokun vp? Thei seien to hym, Twelue.
Nilipoimega ile mikate mitano kuwalisha watu 5,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.”
20 Whanne also seuene looues among foure thousynde of men, hou many lepis of brokun mete tokun ye vp?
“Je, nilipoimega ile mikate saba kuwalisha watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?” Wakamjibu, “Saba.”
21 And thei seien to hym, Seuene. And he seide to hem, Hou vndurstonden ye not yit?
Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”
22 And thei camen to Bethsaida, and thei bryngen to hym a blynde man, and thei preieden hym, that he schulde touche hym.
Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta mtu mmoja kipofu wakamsihi Yesu amguse.
23 And whanne he hadde take the blynde mannus hoond, he ledde hym out of the street, and spete in to hise iyen, and sette hise hoondis on hym; and he axide hym, if he saye ony thing.
Yesu akamshika mkono huyo kipofu akampeleka nje ya kijiji. Baada ya kuyatemea mate macho ya yule kipofu na kumwekea mikono, Yesu akamuuliza, “Unaona chochote?”
24 And he bihelde, and seide, Y se men as trees walkynge.
Yule kipofu akaangalia, akasema, “Ninaona watu, wanaonekana kama miti inayotembea.”
25 Aftirward eftsoones he sette hise hondis on hise iyen, and he bigan to see, and he was restorid, so that he saiy cleerli alle thingis.
Yesu akamwekea tena mikono machoni. Kisha macho yake yakafunguka, kuona kwake kukarejea naye akaona kila kitu dhahiri.
26 And he sente hym in to his hous, and seide, Go in to thin hous; and if thou goist in to the streete, seie to no man.
Yesu akamuaga aende nyumbani kwake, akimwambia, “Hata kijijini usiingie.”
27 And Jhesus entride and hise disciplis in to the castels of Cesarye of Philip. And in the weie he axide hise disciplis, and seide to hem, Whom seien men that Y am?
Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria-Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
28 Whiche answeriden to hym, and seiden, Summen seien, Joon Baptist; other seien, Heli; and other seien, as oon of the prophetis.
Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema wewe ni mmojawapo wa manabii.”
29 Thanne he seith to hem, But whom seien ye that Y am? Petre answeride, and seide to hym, Thou art Crist.
Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo.”
30 And he chargide hem, that thei schulden not seie of hym to ony man.
Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
31 And he bigan to teche hem, that it bihoueth mannus sone to suffre many thingis, and to be repreued of the elder men, and of the hiyest prestis, and the scribis, and to be slayn, and aftir thre dayes, to rise ayen.
Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa Mwana wa Adamu lazima atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini baada ya siku tatu afufuke.
32 And he spak pleynli the word. And Peter took hym, and bigan to blame hym, and seide, Lord, be thou merciful to thee, for this schal not be.
Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.
33 And he turnede, and saiy hise disciplis, and manasside Petir, and seide, Go after me, Satanas; for thou sauerist not tho thingis that ben of God, but tho thingis that ben of men.
Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia wanafunzi wake, akamkemea Petro. Akasema, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
34 And whanne the puple was clepid togidere, with hise disciplis, he seide to hem, If ony man wole come after me, denye he hym silf, and take his cros, and sue he me.
Ndipo akauita ule umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akasema, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
35 For he that wole make saaf his lijf, schal leese it; and he that leesith his lijf for me, and for the gospel, schal make it saaf.
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili atayaokoa.
36 For what profitith it to a man, if he wynne al the world, and do peiryng to his soule?
Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake?
37 or what chaunging schal a man yyue for his soule?
Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
38 But who that knoulechith me and my wordis in this generacioun avowtresse and synful, also mannus sone schal knouleche him, whanne he schal come in the glorie of his fadir, with his aungels.
Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”