< Leviticus 5 >
1 If a soule synneth, and hereth the vois of a swerere, and is witnesse, `for ether he siy, ether `is witynge, if he schewith not, he schal bere his synne.
Kama mtu atatenda dhambi kwa sababu hakusema ukweli wakati alipotakiwa kutoa ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa, ameona au kufahamu habari zake, yeye anastahili adhabu.
2 A persone that touchith ony vnclene thing, ether which is slayn of a beeste, ether is deed bi it silf, ether touchith ony other crepynge beeste, and foryetith his vnclennesse, he is gilti, and trespassith.
Au mtu akigusa kitu chochote ambacho Mungu amekitaja kuwa ni najisi hata kama ni mzoga wa wanyama wa porini au ni mzoga wa wanyama wa kufugwa au wataambaao hata kama mtu huyo hakukusudia kumgusa, yeye ni najisi na mwenye hatia.
3 And if he touchith ony thing of the vnclennesse of man, bi al the vnclennesse bi which he is wont to be defoulid, and he foryetith, and knowith afterward, he schal be suget to trespas.
Au amegusa kitu chochote kilicho kichafu, kwa vyovyote kama hakujua, ndipo atakuwa na hatia akijua vile.
4 A soule that swerith, and bryngith forth with hise lippis, that it schulde do ether yuel, ether wel, and doith not, and confermeth the same thing with an ooth, ethir with a word, and foryetith, and aftirward vndirstondith his trespas, do it penaunce for synne,
Au kama yeyote akiapa bila kufikiri kwa midomo yake kufanya ubaya, au kufanya vyema kwa vyovyote vile mtu ameapa kwa haraka atakapotambua atakuwa na hatia kwa vitu hivyo.
5 and offre it of the flockis a femal lomb, ethir a goet;
Mtu yeyote akiwa na hatia kwa vitu hivi, lazima akiri kwa yoyote dhambi aliyotenda.
6 and the preest schal preie for hym, and for his synne.
Ndipo atakapoleta sadaka yake ya hatia mbele za Bwana kwa dhambi aliyokwisha tenda. Ataleta kondoo jike au mbuzi kutoka katika kundi lake kuwa matoleo ya dhambi, kuhani atafanya upatanisho kuhusu dhambi yake.
7 But if he may not offre a beeste, offre he twei turtlis, ethir `briddis of culuers to the Lord, oon for synne, and the tother in to brent sacrifice.
Kama hataweza kununua mwana kondoo ataleta kama sadaka ya hatia, hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana, mmoja kwa sadaka ya dhambi na mwingine ni sadaka ya kutekeketezwa.
8 And he schal yyue tho to the preest, which schal offre the firste for synne, and schal folde ayen the heed therof to the wengis, so that it cleue to the necke, and be not `brokyn outirli.
Atawaleta kwa kuhani, wa kwanza atatoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake katika mwili.
9 And the preest schal sprynge the wal of the auter, of the blood therof; sotheli what euer `is residue, he schal make to droppe doun at the `foundement of the auter, for it is for synne.
Ndipo atanyunyizia damu yake katika sehemu za madhabahu, na damu inayobaki ataimwaga chini ya madhabahu. Hii ni dhabihu ya dhambi.
10 Sotheli he schal brenne the tother brid in to brent sacrifice, as it is wont to be doon; and the preest schal preie for hym, and for his synne, and it schal be foryouun to hym.
Ndipo ataoa ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoelekezwa, na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi alizokwisha kufanya, na huyo mtu atakuwa amesamehewa.
11 That if his hond mai not offre twei turtlis, ethir twei `briddis of culueris, he schal offre for his synne the tenthe part of ephi of wheete flour; he schal not putte oile `in to it, nether he schal putte ony thing of encense, for it is for synne.
Lakini kama hataweza kununua hua wawili au makinda ya njiwa mawili, ndipo ataleta kama dhabihu ya dhambi zake sehemu ya kumi ya unga laini kama sadaka ya dhambi. Asiweke mafuta wala ubani juu yake, kwa kuwa ni sadaka ya dhambi.
12 And he schal yyue it to the preest, which preest schal take vp an handful therof, and schal brenne on the auter, in to mynde of hym that offeride,
Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
13 and the preest schal preie for hym, and schal clense; forsothe he schal have the tother part in yifte.
Kuhani atafanya upatanisho kwa dhambi yoyote aliyofanya mtu yeyote, mtu huyo atasamehewa. Na sadaka inayobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyo sadaka ya nafaka.'”
14 And the Lord spak to Moises,
Bwana akamwambia Musa, akasema,
15 and seide, If a soule brekith cerymonyes bi errour, and synneth in these thingis that ben halewid to the Lord, it schal offre for his trespas a ram without wem of the flockis, that may be bouyt for twey siclis, bi the weiyte of the seyntuarie.
“Kama mtu akikiuka amri na kufanya dhambi kinyume na mambo matakatifu ya Bwana, lakini akifanya bila kukusudia ataleta sadaka ya hatia kwa Bwana. Sadaka hii itakuwa ni kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi; thamani yake halisi kifedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kama sadaka ya hatia.
16 And he schal restore that harm that he dide, and he schal putte the fyuethe part aboue, and schal yyue to the preest, which preest schal preye for hym, and offre the ram, and it schal be foryouun to hym.
Lazima atalipa kwa Bwana kwa kile alichokosa kulingana na kitakatifu, na ataongezea moja ya tano na kumpa kuhani. Ndipo kuhani ataweka upatanisho kwa ajili yake pamoja na kondoo wa sadaka ya hatia, na mtu atakuwa amesamehewa.
17 A soule that synneth bi ignoraunce, and doith oon of these thingis that ben forbodun in the lawe of the Lord, and is gilti of synne, and vndirstondith his wickidnesse,
Kama mtu akitenda dhambi kwa kufanya kile ambacho Bwana aliagiza kisifanyike, hata kama hakujuwa, atakuwa na hatia na ataibeba hatia yake.
18 it schal offre to the preest a ram without wem of the flockis, bi the mesure of estymacioun of synne; and the preest schal preye for hym, for he dide vnwytynge, and it schal be foryouun to him,
Lazima ataleta kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi, anayestahili thamani ya fedha, kama sadaka ya hatia kwa kuhani. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kulingana na dhambi aliyotenda, ambayo hakujua atakuwa amesamehewa.
19 for by errour he trespasside ayens the Lord.
Ni sadaka ya hatia, na amekuwa na hatia mbele za Bwana.”