< Leviticus 10 >

1 And whanne Nadab and Abyu, the sones of Aaron, hadden take censeris, thei puttiden fier and encense aboue, and offriden bifor the Lord alien fier, which thing was not comaundid to hem.
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea Bwana moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.
2 And fier yede out fro the Lord, and deuouride hem, and thei weren deed bifor the Lord.
Hivyo moto ukaja kutoka kwa uwepo wa Bwana na kuwaramba, nao wakafa mbele za Bwana.
3 And Moises seide to Aaron, This thing it is which the Lord spak, Y schal be halewid in hem that neiyen to me, and Y schal be glorified in the siyt of al the puple; which thing Aaron herde, and was stille.
Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonena Bwana wakati aliposema: “‘Miongoni mwa wale watakaonikaribia nitajionyesha kuwa mtakatifu; machoni pa watu wote nitaheshimiwa.’” Aroni akanyamaza.
4 Sotheli whanne Moises hadde clepid Mysael and Elisaphan, the sones of Oziel, brother of Aaron's fadir, he seide to hem, Go ye, and take awey youre britheren fro the siyt of seyntuarie, and bere ye out of the castels.
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”
5 And anoon thei yeden, and token hem, as thei laien clothid with lynnun cootis, and castiden out, as it was comaundid to hem.
Hivyo wakaja na kuwaondoa, wakiwa bado wamevalia makoti yao ya ibada, wakawapeleka nje ya kambi, kama Mose alivyoamuru.
6 And Moises spak to Aaron, and to Eliasar and Ithamar, the sones of Aaron, Nyle ye make nakid youre heedis, and nyle ye reende clothis, lest perauenture ye dien, and indignacioun rise on al the cumpany; youre britheren and all the hows of Israel byweile the brennyng which the Lord reiside.
Ndipo Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe, Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo mtakufa na Bwana ataikasirikia jumuiya nzima. Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, wanaweza kuwaombolezea wale ambao Bwana amewaangamiza kwa moto.
7 But ye schulen not go out of the yatis of the tabernacle, ellis ye schulen perische; for the oile of hooli anoyntyng is on you. Whiche diden alle thingis bi the comaundement of Moises.
Msitoke nje ya ingilio la Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa, kwa sababu mafuta ya Bwana ya upako yako juu yenu.” Hivyo wakafanya kama vile Mose alivyosema.
8 Also the Lord seide to Aaron,
Kisha Bwana akamwambia Aroni,
9 Thou and thi sones schulen not drynke wyn, and al thing that may make drunkun, whanne ye schulen entre in to the tabernacle of witnessing, lest ye dien; for it is euerlastynge comaundement in to youre generaciouns,
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
10 that ye haue kunnyng to make doom bytwixe hooli thing and vnhooli, bitwixe pollutid thing and cleene;
Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
11 and that ye teche the sones of Israel alle my lawful thingis, whiche the Lord spak to hem bi the hond of Moyses.
na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
12 And Moises spak to Aaron, and to Eliazar and Ythamar, hise sones, that weren residue, Take ye the sacrifice that lefte of the offryng of the Lord, and ete ye it with out sour dow, bisidis the auter, for it is hooli `of the noumbre of hooli thingis.
Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari, “Chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa imeandaliwa bila chachu, kwa sababu ni takatifu sana.
13 Sotheli ye schulen ete in the hooli place that that is youun to thee and to thi sones, of the offryngis of the Lord, as it is comaundid to me Also thou,
Mtaila katika mahali patakatifu kwa sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
14 and thi sones, and thi douytris with thee, schulen ete in the clenneste place the brest which is offrid, and the schuldur which is departid; for tho ben kept to thee and to thi fre sones, of the heelful sacrifices of the sones of Israel;
Lakini wewe na wanao na binti zako mwaweza kula kidari kile kilichoinuliwa na paja lile lililotolewa. Mtavila mahali safi pa kawaida ya ibada; mmepewa wewe na watoto wako kuwa fungu lenu la sadaka za amani za Waisraeli.
15 for thei reiseden bifor the Lord the schuldur and brest, and the ynnere fatnessis that ben brent in the auter; and perteynen tho to thee, and to thi sones, bi euerlastynge lawe, as the Lord comaundide.
Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za Bwana kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama Bwana alivyoagiza.”
16 Among these thingis whanne Moises souyte the `buk of geet that was offrid for synne, he foond it brent, and he was wrooth ayens Eliazar and Ythamar, `the sones of Aaron that weren left.
Mose alipouliza kuhusu mbuzi atolewaye kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kukuta kwamba ameteketezwa, aliwakasirikia Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliobaki, akawauliza,
17 And he seide, Whi eten not ye the sacrifice for synne in the hooli place, which sacrifice is hooli `of the noumbre of hooli thingis, and is youun to you, that ye bere the wickydnesse of the multitude, and preye for it in the siyt of the Lord;
“Kwa nini hamkula sadaka ya dhambi katika eneo la mahali patakatifu? Ni takatifu sana. Mlipewa ninyi ili kuondoa hatia ya jumuiya kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho mbele za Bwana.
18 moost sithen of the blood therof is not borun yn with ynne hooli thingis, and ye ouyten ete it in the seyntuarie, as it is comaundid to me?
Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”
19 And Aaron answeride, Sacrifice for synne, and brent sacrifice is offrid to dai bifor the Lord; sotheli this that thou seest, bifelde to me; how myyte Y ete it, ether plese God in cerymonyes with soreuful soule?
Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za Bwana, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, Bwana angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”
20 And whanne Moises hadde herd this, he resseyuede satisfaccioun.
Mose aliposikia haya, akaridhika.

< Leviticus 10 >