< Judges 3 >
1 These ben the folkis whiche the Lord lefte, that in hem he schulde teche Israel, and alle men that knewen not the batels of Cananeis;
Sasa Bwana aliyaacha mataifa haya yaijaribu Israeli, yaani kila mtu katika Israeli ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani.
2 and that aftirward `the sones of hem schulden lerne to fiyte with enemyes,
(Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla).
3 and to haue custom of batel He lefte fyue princes of Filistees, and al Cananei, and the puple of Sidon, and Euey that dwelliden in the hil Liban, fro the hil Baal Hermon `til to the entryng of Emath.
Haya ndio mataifa: wafalme watano kutoka kwa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, na Wahivi waliokaa milima ya Lebanoni, kutoka Mlima Baali Hermoni hadi Hamathi.
4 And he lefte hem, that in hem he schulde asaie Israel, whethir thei wolden here the `heestis of the Lord, whiche he comaundide to her fadris bi the hond of Moises, ethir nai.
Mataifa haya yaliachwa kama njia ambayo Bwana angeijaribu Israeli, kuthibitisha kama watazitii amri alizowapa babu zao kupitia Musa.
5 And so the sones of Israel dwelliden in the myddis of Cananei, of Ethei, and of Ammorrei, and of Feresei, and of Euey,
Basi wana wa Israeli wakakaa kati ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Waperizi, na Wahivi, na Wayebusi.
6 and of Jebusey, and weddiden wyues, the douytris of hem; and the sones of Israel yauen her douytris to `the sones of hem, and serueden `the goddis of hem.
Waliwachukua binti zao kuwa wake zao, nao wakawapa wana wao binti zao, nao wakaitumikia miungu yao.
7 And the sones of Israel diden yuel in the `siyt of the Lord, and foryaten her Lord God, and serueden Baalym, and Astaroth.
Wana wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wakamsahau Bwana, Mungu wao. Waliabudu Baali na Asherah.
8 And the Lord was wrooth ayens Israel, and bitook hem in to the hondis of Cusanrasathaym, kyng of Mesopotanye, and thei serueden hym eiyte yeer.
Basi, hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Aram Naharaimu. Watu wa Israeli walitumikia Kushan Rishathaimu kwa miaka nane.
9 And thei crieden to the Lord, and he reiside to hem a sauyour, and delyuerede hem, that is, Othonyel, sone of Ceneth, `the lesse brothir of Caleph.
Watu wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamuinua mtu atakayewasaidia wana wa Israeli, na mtu atakayewaokoa: Othnieli mwana wa Kenazi (ndugu mdogo wa Kalebu).
10 And the spirit of the Lord was in hym, and he demyde Israel. And he yede out to batel, and the Lord bitook in to hise hondis Cusanrathaym, kyng of Sirie; and Othonyel oppresside hym.
Roho wa Bwana akamtia nguvu, naye akahukumu Israeli na akatoka kwenda vitani. Bwana akampa kuishinda Kush-rishataimu mfalme wa Aramu. Mkono wa Othnieli alishinda Kushan Rishathaimu.
11 And the lond restide fourti yeer; and Othonyel, sone of Ceneth, diede.
Nchi ilikuwa na amani kwa miaka arobaini. Ndipo Otinieli mwana wa Kenazi akafa.
12 Forsothe the sones of Israel addiden to do yuel in the `siyt of the Lord; and he coumfortide ayens hem Eglon, the kyng of Moab, for `thei diden yuel in the `siyt of the Lord.
Baada ya hayo, Waisraeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu, kuwashinda Waisraeli.
13 And the Lord couplide to hym the sones of Amon and Amalech; and he yede, and smoot Israel, and hadde in possessioun the citee of Palmes.
Eglon alijiunga na wana wa Amoni na Waamaleki wakaenda na kuwashinda Israeli, na walichukua mji wa Mitende.
14 And the sones of Israel serueden Eglon, kyng of Moab, eiytene yeer.
Watu wa Israeli walimtumikia Eglon mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na nane.
15 And aftirward thei crieden to the Lord; and he reiside to hem a sauyour, Aioth bi name, the sone of Gera, sone of Gemyny, which Aioth vside euer either hond for the riyt hond. And the sones of Israel senten bi him yiftis, `that is, tribute, to Eglon, kyng of Moab;
Wana wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamwinua mtu aliyewasaidia, Ehudi mwana wa Gera, Mbenjamini, mtu shoto. Wana wa Israeli wakamtuma kwa Egloni, mfalme wa Moabu, kwa malipo yao ya kodi.
16 which Aioth made to hym a swerd keruynge on euer either side, hauynge in the myddis a pomel of the lengthe of the pawm of an hond; and he was gird therwith vndir `the sai, `that is, a knyytis mentil, `in the riyt hipe.
Ehudi akajifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wa dhiraa moja; aliufunga chini ya nguo zake juu ya mguu wake wa kulia.
17 And he brouyte yiftis to Eglon, the kyng of Moab; forsothe Eglon was ful fat.
Akampa Egloni Mfalme wa Moabu malipo ya kodi. (Egloni alikuwa mtu mnene sana.)
18 And whanne he hadde youe yiftis to the kyng, he pursuede felowis that camen with hym; and he turnede ayen fro Galgalis,
Baada ya Ehudi kulipa malipo ya kodi, aliondoka na wale waliokuwa wameibeba.
19 where idolis weren, and he seide to the kyng, A kyng, Y haue a priuei word to thee. And he comaundide silence. And whanne alle men weren goon out, that weren aboute hym, Aioth entride to hym;
Hata hivyo Ehudi mwenyewe, alipofikia mahali ambapo sanamu za kuchonga zilitengenezwa karibu na Gilgali, akageuka na kurudi, akasema, 'Nina ujumbe wa siri kwako, mfalme wangu.' Eglon akasema, 'Nyamazeni kimya!' Kwa hiyo wote waliomtumikia wakatoka kwenye chumba.
20 forsothe he sat aloone in a somer parlour. And Aioth seide, Y haue the word of God to thee.
Ehudi akaja kwake. Mfalme alikuwa amekaa peke yake, peke yake katika chumba cha juu cha baridi. Ehudi akasema, 'Nina ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yeko.' Mfalme akasimama kutoka katika kiti chake.
21 Which roos anoon fro the trone. And Aioth helde forth the left hond, and took the swerd fro his riyt hype; and he
Ehudi akanyoosha mkono wake wa kushoto na akachukua upanga kutoka mguu wake wa kulia, na akautia ndani ya mwili wa mfalme.
22 fastnede in to the `wombe of the kyng so strongli, that the pomel, `ether hilte, suede the yrun in the wounde, and was holdun streite `in the thickeste fatnesse with ynne; and he drow not out the swerd, but so as he hadde smyte, he lefte in the bodi; and anoon bi the priuetees of kynde the tordis of the wombe braste out.
Na kipini cha upanga kikaingia ndani yake baada ya upanga, nao ukatokea nyuma yake, na mafuta yakashikamana juu ya upanga, kwa kuwa Ehudi hakuutoa upanga nje ya mwili wake.
23 Forsothe whanne the doris of the parlour weren closid moost diligentli, and fastned with lok,
Kisha Ehudi akatoka kwenye ukumbi na akafunga milango ya chumba cha juu nyuma yake na akawafungia.
24 Aioth yede out bi a posterne. And the `seruauntis of the king entriden, not in the parlour, but in the porche, and thei sien the doris of the parlour closid, and seiden, In hap he purgith the wombe in the somer parlour.
Baada ya Ehudi kuondoka, watumishi wa mfalme wakaja; wakaona milango ya chumba cha juu imefungwa, kwa hiyo wakafikiri, 'Hakika atakuwa anajitoa mwenyewe katika hali ya baridi ya chumba cha juu.'
25 And thei abididen longe, til thei weren aschamed; and thei sien that no man openede, and thei token the keie, and thei openyden, and founden her lord liggynge deed in the erthe.
Walizidi kuwa na wasiwasi hata walipoanza kuhisi kuwa walikuwa wakipuuza wajibu wao wakati mfalme bado hakufungua milango ya chumba cha juu. Kwa hiyo walichukua ufunguo wakawafungua, tazama bwana wao, ameanguka chini, amekufa.
26 Sotheli while thei weren disturblid, Aioth fledde out, and passide the place of idols, fro whennus he turnede ayen; and he cam in to Seirath.
Wakati watumishi wakisubiri, wakijiuliza nini wanapaswa kufanya, Ehudi alikimbia na kupita mahali ambako kulikuwa na sanamu za kuchonga, na hivyo akakimbia kwenda Seira.
27 And anoon he sownede with a clarioun in the hil of Effraym; and the sones of Israel camen doun with hym, and he yede in the frount.
Alipofika, alipiga tarumbeta katika nchi ya mlima wa Efraimu. Kisha wana wa Israeli wakashuka pamoja naye kutoka milimani, naye akawaongoza.
28 Which seide to hem, Sue ye me, for the Lord hath bitake oure enemyes, Moabitis, in to oure hondis. And thei camen doun after hym, and ocupieden the forthis of Jordan, that ledde ouer in to Moab.
Akawaambia, Nifuate, kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu, Wamoabu. Wakamfuata, wakakamata vivuko vya Bonde la Yordani, toka kwa Wamoabi, wala hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka mto.
29 And thei suffriden not ony man to passe, but thei smytiden Moabitis in that tyme aboute ten thousande, alle myyti men and stronge; no man of hem myyte ascape.
Wakati huo waliwaua watu elfu kumi wa Moabu, na wote walikuwa watu wenye nguvu na wenye uwezo. Hakuna aliyekimbia.
30 And Moab was maad low in that dai vndur the hond of Israel, and the lond restide fourescoor yeer.
Kwa hiyo siku hiyo Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli. Na nchi ilikuwa na amani kwa miaka thelathini.
31 Aftir hym was Samgar, the sone of Anath, that smoot of Filisteis sixe hundrid men with a schar; and he also defendide Israel.
Baada ya Ehudi, mwamuzi aliyefuata alikuwa Shamgari mwana wa Anathi ambaye aliwaua Wafilisti 600 kwa konzo la ng'ombe. Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.