< Judges 17 >

1 In that tyme was a man, `Mycas bi name, of the hil of Effraym.
Kulikuwa na mtu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na jina lake ni Mika.
2 And he seide to his modir, Lo! Y haue a thousynde `and an hundrid platis of siluer, whiche thou departidist to thee, and on whiche thou sworist, while Y herde, and tho ben at me. To whom sche answeride, Blessid be my sone of the Lord.
Akamwambia mama yake, “Shilingi 1, 100 za fedha ambazo zilichukuliwa kutoka kwako, ambazo ulizungumza kwa kiapo, na kuniambia-tazama hapa! Ninazo fedha pamoja nami. Nimeziiba.” Mama yake akasema, 'Na Bwana atakubariki, mwanangu!'
3 Therefor he yeldide tho to his modir; and sche seide to hym, Y halewide and avowide this siluer to the Lord, that my sone resseyue of myn hond, and make a grauun ymage and a yotun ymage; and now I `yyue it to thee.
Alirejesha vipande 1, 100 vya fedha kwa mama yake na mama yake akasema, “Nimeweka fedha hii kwa Bwana, kwa ajili ya mwanangu kuifanya na kuchonga takwimu za chuma.
4 Therfor he yeldide to his modir; and sche took twei hundryd platis of siluer, and yaf tho to a werk man of siluer, that he schulde make of tho a grauun `ymage and yotun, that was in `the hows of Mycas.
Kwa hiyo sasa, ninawarejesha.” Alipokuwa amrudishia mama yake fedha, mama yake alichukua vipande mia mbili za fedha na akawapa mfanyakazi wa chuma ambaye aliwafanya kuwa sanamu na kuchonga takwimu za chuma, na wakawekwa ndani ya nyumba ya Mika.
5 Which departide also a litil hous ther ynne to God; and made ephod, and theraphym, that is, a preestis cloth, and ydols; and he fillide the hond of oon of his sones, and he was maad a preest to hym.
Mtu huyo Mika alikuwa na nyumba ya sanamu, naye akafanya efodi na nyumba ya miungu, naye akaajiri mmoja wa wanawe awe mkuhani wake.
6 In tho daies was no kyng in Israel, but ech man dide this, that semyde riytful to hym silf.
Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli, na kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake.
7 Also another yonge wexynge man was of Bethleem of Juda, of the kynrede therof, `that is, of Juda, and he was a dekene, and dwellide there.
Kisha kulikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu huko Yuda, wa jamaa ya Yuda, ambaye alikuwa Mlawi. Alikaa huko ili kutimiza majukumu yake.
8 And he yede out of the citee of Bethleem, and wolde be a pilgrim, where euere he foond profitable to hym silf. And whanne he made iourney, and `hadde come in to the hil of Effraym, and hadde bowid a litil in to `the hows of Mycha,
Mtu huyo aliondoka Bethlehemu huko Yuda kwenda kutafuta mahali pa kuishi. Alipokuwa akienda, afika nyumbani kwa Mika katika nchi ya mlima wa Efraimu.
9 `he was axid of hym, Fro whennus comest thou? Which answeride, Y am a dekene of Bethleem of Juda, and Y go, that Y dwelle where Y may, and se that it is profitable to me.
Mika akamwambia, Unatoka wapi? Huyo mtu akamwambia, Mimi ni Mlawi wa Bethlehemu huko Yuda, ninakwenda kutafuta mahali nipate kuishi.
10 Micha seide, Dwelle thou at me, and be thou fadir and preest `to me; and Y schal yyue to thee bi ech yeer ten platis of siluer, and double cloth, and tho thingis that ben nedeful to lijflode.
Mika akamwambia, “kaa pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu. Nitawapa vipande kumi vya fedha kwa mwaka, suti ya nguo, na chakula chako.” Basi Mlawi akaingia nyumbani mwake.
11 He assentide, and dwellide `at the man; and he was to the man as oon of sones.
Mlawi alikuwa na furaha ya kuishi na mtu huyo, na huyo kijana kwa Mika akawa kama mmoja wa wanawe.
12 And Mycha fillide his hond, and hadde the child preest at hym,
Mika akamtenga Mlawi kwa ajili ya kazi takatifu, na huyo kijana akawa kuhani wake, naye alikuwa katika nyumba ya Mika.
13 and seide, Now Y woot, that God schal do wel to me, hauynge a preest of the kyn of Leuy.
Ndipo Mika akasema, Sasa najua ya kuwa Bwana atanifanyia mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.

< Judges 17 >