< Judges 12 >
1 `Lo! forsothe discencioun roos in Effraym; for whi thei, that passiden ayens the north, seiden to Jepte, Whi yedist thou to batel ayens the sones of Amon, and noldist clepe vs, that we schulden go with thee? Therfor we schulen brenne thin hows.
Watu wa Efraimu walitoka pamoja; nao wakapitia Zafoni, wakamwambia Yeftha, Kwa nini umetangulia kupigana na wana wa Amoni, wala hukutuita twende pamoja nawe? Tutachoma nyumba yako.
2 To whiche he answeride, Greet strijf was to me and to my puple ayens the sones of Amon, and Y clepide you, that ye schulden `yyue help to me, and ye nolden do.
Yeftha akawaambia, Mimi na watu wangu tulikuwa katika vita kubwa na wana wa Amoni. Nilipokuita, hukuniokoa kutoka kwao.
3 `Which thing Y siy, and puttide my lijf in myn hondis; and Y passide to the sones of Amon, and `the Lord bitook hem in to myn hondis; what haue Y disseruyd, that ye ryse togidere ayens me in to batel?
Nilipoona ya kuwa hamkuniokoa, nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe, na kupita kipita ili kupigana na wana wa Amoni, na Bwana alinipa ushindi. Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?”
4 Therfor whanne alle the men of Galaad weren clepid to hym, he fauyt ayens Effraym; and the men of Galaad smytiden Effraym; for he seide, Galaad is `fugitif ether exilid fro Effraym, and dwellith in the myddis of Effraym and of Manasses.
Yeftha akawakusanya watu wote wa Gileadi na akapigana na Efraimu. Watu wa Gileadi waliwaangamiza wana wa Efraimu kwa sababu walisema, “Ninyi Wagileadi ni wakimbizi katika Efraimu-katika Efraimu na Manase.”
5 And the men of Galaad ocupieden the forthis of Jordan, bi whiche Effraym schulden turne ayen. And whanne a man fleynge of the noumbre of Effraym hadde come to tho forthis, and hadde seid, Y biseche, that thou suffre me passe; men of Galaad seiden to hym, Whether thou art a man of Effraym? And whanne he seide, Y am not,
Wagileadi waliteketeza ngome za Yordani zinaelekea Efraimu. Ikiwa yeyote kati ya waliopona wa Efraimu akisema, Nipe ruhusa niende juu ya mto; watu wa Gileadi wakamwambia, “Je, wewe ni Mwefraimu?” Ikiwa akasema, “Hapana,”
6 thei axiden hym, Seie thou therfor Sebolech, `whiche is interpretid, `an eer of corn. Which answeride, Thebolech, and myyte not brynge forth an eer of corn bi the same lettre. And anoon thei strangeliden hym takun in thilke passyng of Jordan; and two and fourti thousynde of Effraym felden doun in that tyme.
basi watamwambia, Sema Shiboleth. Na kama akisema 'Sibboleth' (kwa maana hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi), Wagileadi watamkamata na kumwua kwenye mabwawa ya Yordani. Waefraimu elfu arobaini waliuawa wakati huo.
7 And so Jepte, `a man of Galaad, demyde Israel sixe yeer; and he `was deed, and biried in his citee Galaad.
Yeftha alikuwa mwamuzi juu ya Israeli kwa miaka sita. Ndipo Yeftha Mgileadi akafa, akazikwa katika moja ya miji ya Gileadi.
8 Abethsan of Bethleem, that hadde thretti sones, and so many douytris, demyde Israel aftir Jepte;
Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi juu ya Israeli.
9 whiche douytris he sente out, and yaf to hosebondis, and he took wyues to hise sones of the same noumbre, and brouyte in to hys hows; which demyde Israel seuene yeer;
Alikuwa na wana thelathini. Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa, naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe, Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.
10 and he `was deed, and biried in Bethleem.
Ibzani alikufa na kuzikwa huko Bethlehemu.
11 Whos successour was Hailon of Zabulon; and he demyde Israel ten yeer;
Baada yake, Eloni wa Zabuloni akawa mwamuzi juu ya Israeli. Akawaamua Israeli kwa miaka kumi.
12 and he was deed, and biried in Zabulon.
Eloni wa Zabuloni akafa, akazikwa huko Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
13 Aftir hym Abdon, the sone of Ellel, of Pharaton, demyde Israel;
Baada ya huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi juu ya Israeli.
14 which Abdon hadde fourti sones, and of hem thretti sones, stiynge on seuenti coltis of femal assis, `that is, mulis, and he demyde Israel eiyte yeer;
Alikuwa na wana arobaini na wajukuu thelathini. Walikuwa wakipanda punda sabini, naye akawaamua Israeli kwa miaka nane.
15 and he `was deed, and biried in Pharaton, in the loond of Effraym, in the hil of Amalech.
Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika kilima cha Waamaleki.