< Joshua 16 >

1 And the lot, `ethir part, of the sones of Joseph felde fro Jordan ayens Jerico, and at the watris therof, fro the eest; is the wildirnesse, that stieth fro Jerico to the hil of Bethel,
Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
2 and it goith out fro Bethel `in to Luzan, and passith the terme of Architaroth,
Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
3 and it goith doun to the west, bisidis the terme of Jefleti, `til to the termes of the lowere Bethoron, and of Gazer; and the cuntrees therof ben endid with the greet see,
ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
4 whiche cuntreis Manasses and Effraym, the sones of Joseph, weldiden.
Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
5 And the terme of the sones of Effraym, bi her meynees, and `the possessioun of hem was maad ayens the eest, Accarothaddar `til to the hiyere Bethoron.
Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
6 And the coostis goon out in to the see; sotheli Mathmetath biholdith the north, and cumpassith the termes ayens the eest in Tharnarselo,
na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
7 and passith fro the stronde of Janee; and it goith doun fro Janee in to Atharoth and Noathara, and cometh in to Jerico; and it goith out to Jordan fro Taphua,
Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
8 and passith ayens the see in to the valey of `the place of rehedis; and the goyngis out therof ben to the salteste see. This is the possessioun of the sones of Effraym, bi her meynees;
Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
9 and citees and the townes of tho ben departid to the sones of Effraym, in the myddis of the possessioun of the sones of Manasses.
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
10 And the sones of Effraym killiden not Cananey, that dwellide in Gazer; and Cananey dwellide tributarie in the myddis of Effraym til in to this day.
Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.

< Joshua 16 >