< Job 9 >

1 Joob answeride, and seide, Verili Y woot, that it is so,
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 and that a man comparisound to God schal not be maad iust.
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 If he wole stryue with God, he may not answere to God oon for a thousynde.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 He is wiys in herte, and strong in myyt; who ayenstood hym, and hadde pees?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Which bar hillis fro o place to anothir, and thei wisten not; whiche he distriede in his strong veniaunce.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Which stirith the erthe fro his place, and the pilers therof schulen `be schakun togidere.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Which comaundith to the sunne, and it risith not; and he closith the sterris, as vndur a signet.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 Which aloone stretchith forth heuenes, and goith on the wawis of the see.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 Which makith Ariture, and Orionas, and Hiadas, `that is, seuene sterris, and the innere thingis of the south.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 Which makith grete thingis, and that moun not be souyt out, and wondurful thingis, of whiche is noon noumbre.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 If he cometh to me, `that is, bi his grace, Y schal not se hym; if he goith awey, `that is, in withdrawynge his grace, Y schal not vndurstonde.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 If he axith sodeynli, who schal answere to hym? ethir who may seie to hym, Whi doist thou so?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 `God is he, whos wraththe no man may withstonde; and vndur whom thei ben bowid, that beren the world.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Hou greet am Y, that Y answere to hym, and speke bi my wordis with hym?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Which also schal not answere, thouy Y haue ony thing iust; but Y schal biseche my iuge.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 And whanne he hath herd me inwardli clepynge, Y bileue not, that he hath herd my vois.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 For in a whirlewynd he schal al to-breke me, and he schal multiplie my woundis, yhe, without cause.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 He grauntith not, that my spirit haue reste, and he fillith me with bittirnesses.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 If strengthe is souyt, `he is moost strong; if equyte of doom is souyt, no man dar yelde witnessynge for me.
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 If Y wole make me iust, my mouth schal dampne me; if Y schal schewe me innocent, he schal preue me a schrewe.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Yhe, thouy Y am symple, my soule schal not knowe this same thing; and it schal anoye me of my lijf.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 O thing is, which Y spak, he schal waste `bi deth also the innocent and wickid man.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 If he betith, sle he onys, and leiye he not of the peynes of innocent men.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 The erthe is youun in to the hondis of the wickid; he hilith the face of iugis; that if he is not, who therfor is?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Mi daies weren swiftere than a corour; thei fledden, and sien not good.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 Thei passiden as schippis berynge applis, as an egle fleynge to mete.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Whanne Y seie, Y schal not speke so; Y chaunge my face, and Y am turmentid with sorewe.
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Y drede alle my werkis, witynge that thou `woldist not spare the trespassour.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Sotheli if Y am also thus wickid, whi haue Y trauelid in veyn?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Thouy Y am waischun as with watris of snow, and thouy myn hondis schynen as moost cleene,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 netheles thou schalt dippe me in filthis, and my clothis, `that is, werkis, schulen holde me abhomynable.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Trewli Y schal not answere a man, which is lijk me; nether that may be herd euenli with me in doom.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 `Noon is, that may repreue euer eithir, and sette his hond in bothe.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Do he awei his yerde fro me, and his drede make not me aferd.
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Y schal speke, and Y schal not drede hym; for Y may not answere dredynge.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Job 9 >