< Job 42 >

1 Forsothe Joob answeride to the Lord, and seide,
Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
2 Y woot, that thou maist alle thingis, and no thouyt is hid fro thee.
“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote, wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.
3 Who is this, that helith counsel with out kunnyng? Therfor Y spak vnwiseli, and tho thingis that passiden ouer mesure my kunnyng.
Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’ Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi, mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.
4 Here thou, and Y schal speke; Y schal axe thee, and answere thou to me.
“Ulisema, ‘Sikiliza sasa, nami nitanena; nitakuuliza swali, nawe yakupasa kunijibu.’
5 Bi heryng of eere Y herde thee, but now myn iye seeth thee.
Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako, lakini sasa macho yangu yamekuona.
6 Therfor Y repreue me, and do penaunce in deed sparcle and aische.
Kwa hiyo najidharau mwenyewe, na kutubu katika mavumbi na majivu.”
7 Forsothe aftir that the Lord spak these wordis to Joob, he seide to Eliphat Themanytes, My stronge veniaunce is wrooth ayens thee, and ayens thi twey frendis; for ye `spaken not bifor me riytful thing, as my seruaunt Joob dide.
Baada ya Bwana kusema mambo haya yote na Ayubu, akamwambia Elifazi Mtemani, “Nina hasira juu yako na juu ya rafiki zako wawili, kwa sababu hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.
8 Therfor take ye to you seuene bolis, and seuene rammes; and go ye to my seruaunt Joob, and offre ye brent sacrifice for you. Forsothe Joob, my seruaunt, schal preie for you; Y schal resseyue his face, that foli be not arettid to you; for ye `spaken not bifor me riytful thing, as my seruaunt Joob dide.
Basi sasa chukueni mafahali saba na kondoo dume saba mkamwendee mtumishi wangu Ayubu nanyi mkatoe sadaka za kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe. Mtumishi wangu Ayubu ataomba kwa ajili yenu, nami nitayakubali maombi yake ili nisiwatendee sawasawa na upumbavu wenu. Ninyi hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.”
9 Therfor Eliphat Themanytes, and Baldach Suythes, and Sophar Naamathites, yeden, and diden, as the Lord hedde spoke to hem; and the Lord resseyuede the face of Joob.
Kwa hiyo Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi wakafanya kama Bwana alivyowaambia; naye Bwana akayakubali maombi ya Ayubu.
10 Also the Lord was conuertid to the penaunce of Joob, whanne he preiede for hise frendis. And the Lord addide alle thingis double, whiche euere weren of Joob.
Baada ya Ayubu kuwaombea rafiki zake, Bwana akamwondoa kwenye uteka, akamfanikisha tena naye akampa mara mbili ya vile alivyokuwa navyo hapo mwanzoni.
11 Sotheli alle hise britheren, and alle hise sistris, and alle that knewen hym bifore, camen to hym; and thei eeten breed with hym in his hows, and moueden the heed on hym; and thei coumfortiden hym of al the yuel, which the Lord hadde brouyt in on hym; and thei yauen to hym ech man o scheep, and o goldun eere ring.
Ndipo ndugu zake wote waume kwa wake na kila mtu aliyemfahamu mwanzoni, wakaja wakala pamoja naye katika nyumba yake. Wakamfariji na kumtuliza moyo juu ya taabu yote Bwana aliyoileta juu yake, nao kila mmoja akampa kipande cha fedha na pete ya dhahabu.
12 Forsothe the Lord blesside the laste thingis of Joob, more than the bigynnyng of hym; and fouretene thousynde of scheep weren maad to hym, and sixe thousinde of camels, and a thousynde yockis of oxis, and a thousynde femal assis.
Bwana akaibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ile ya kwanza. Alikuwa na kondoo elfu kumi na nne, ngamia elfu sita, jozi za mafahali elfu moja, na punda wa kike elfu moja.
13 And he hadde seuene sones, and thre douytris;
Tena alikuwa na wana saba na binti watatu.
14 and he clepide the name of o douytir Dai, and the name of the secounde douytir Cassia, and the name of the thridde douytir `An horn of wymmens oynement.
Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-Hapuki.
15 `Sotheli no wymmen weren foundun so faire in al erthe, as the douytris of Joob; and her fadir yaf eritage to hem among her britheren.
Hapakuwepo mahali popote katika nchi ile yote palipopatikana wanawake wazuri kama binti za Ayubu; naye baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao.
16 Forsothe Joob lyuede aftir these betyngis an hundrid and fourti yeer, and `siy hise sones, and the sones of hise sones, `til to the fourthe generacioun;
Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne.
17 and he was deed eld, and ful of daies.
Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyekuwa ameshiba siku.

< Job 42 >