< Job 13 >

1 Lo! myn iye siy alle thingis, and myn eere herde; and Y vndurstood alle thingis.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Euene with youre kunnyng also Y kan, and Y am not lowere than ye.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 But netheles Y schal speke to Almyyti God, and Y coueite to dispute with God;
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 and firste Y schewe you makeris of leesyng, and louyeris of weyward techyngis.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 And `Y wolde that ye weren stille, that ye weren gessid to be wise men.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Therfor here ye my chastisyngis; and perseyue ye the doom of my lippis.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Whether God hath nede to youre leesyng, that ye speke gilis for hym?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Whether ye taken his face, and enforsen to deme for God?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Ethir it schal plese hym, fro whom no thing mai be hid? Whether he as a man schal be disseyued with youre falsnessis?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 He schal repreue you; for ye taken his face in hiddlis.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Anoon as he schal stire hym, he schal disturble you; and his drede schal falle on you.
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Youre mynde schal be comparisound to aische; and youre nollis schulen be dryuun in to clei.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Be ye stille a litil, that Y speke, what euer thing the mynde hath schewid to me.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Whi to-rende Y my fleischis with my teeth, and bere my lijf in myn hondis?
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Yhe, thouy God sleeth me, Y schal hope in hym; netheles Y schal preue my weies in his siyt.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 And he schal be my sauyour; for whi ech ypocrite schal not come in his siyt.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Here ye my word, and perseyue ye with eeris derke and harde figuratif spechis.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Yf Y schal be demed, Y woot that Y schal be foundun iust.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Who is he that is demed with me? Come he; whi am Y stille, and am wastid?
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Do thou not to me twei thingis oneli; and thanne Y schal not be hid fro thi face.
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Make thin hond fer fro me; and thi drede make not me aferd.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Clepe thou me, and Y schal answere thee; ethir certis Y schal speke, and thou schalt answere me.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Hou grete synnes and wickidnessis haue Y? Schewe thou to me my felonyes, and trespassis.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Whi hidist thou thi face, and demest me thin enemy?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Thou schewist thi myyt ayens a leef, which is rauyschid with the wynd; and thou pursuest drye stobil.
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 For thou writist bitternessis ayens me; and wolt waste me with the synnes of my yong wexynge age.
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 Thou hast set my foot in a stok, and thou hast kept alle my pathis; and thou hast biholde the steppis of my feet.
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 And Y schal be wastid as rot, and as a cloth, which is etun of a mouyte.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Job 13 >