< Isaiah 40 >
1 My puple, be ye coumfortid, be ye coumfortid, seith youre Lord God.
''Faraja, faraja watu wangu,'' amesema Mungu.
2 Speke ye to the herte of Jerusalem, and clepe ye it, for the malice therof is fillid, the wickidnesse therof is foryouun; it hath resseyued of the hond of the Lord double thingis for alle hise synnes.
''Ongea kwa upole kwa Yerusalemu; na tangaza vita vimeisha, maana maovu yao yamesamehewa, maana alipokea mara mbili kutoka kwa mkono wa Yahwe kwa dhambi zao.''
3 The vois of a crier in desert, Make ye redi the weie of the Lord, make ye riytful the pathis of oure God in wildirnesse.
Sauti inalia nje, ''Katika jangwa tengeneza njia ya Yahwe; njoosha njia ya Araba katika njia kuu ya Mungu.''
4 Ech valey schal be enhaunsid, and ech mounteyn and litil hil schal be maad low; and schrewid thingis schulen be in to streiyt thingis, and scharpe thingis schulen be in to pleyn weies.
Kila bonde litanyanyuliwa juu, kila mlima na kilima kitasawazishwa; na aridhi ya mwinuko itasawazishwa, mahali palipokwaruzwa patakuwa na usawa;
5 And the glorie of the Lord schal be schewid, and ech man schal se togidere, that the mouth of the Lord hath spoke.
na utukufu wa Mungu utafunuliwa, na watu wote wataona kwa pamoja; maana mdomo wa Yahwe umezungumza.
6 The vois of God, seiynge, Crie thou. And Y seide, What schal Y crie? Ech fleisch is hei, and al the glorie therof is as the flour of the feeld.
Sauti inasema, ''Lia.'' Jibu lingine, ''Kwa nini nilie?'' ''Mwili wote ni nyasi na maagano yaliyoaminika ni kama ua kwenye shamba.
7 The hei is dried vp, and the flour felle doun, for the spirit of the Lord bleew therynne.
Nyasi zinanyauka na maua yanaperuka pale Yehwe atakapo puliza punzi yake juu yake; hakika ubinadamu ni nyasi.
8 Verely the puple is hey; the hey is dried vp, and the flour felle doun; but the word of the Lord dwellith with outen ende.
Nyasi hunyauka, maua hupepea, lakini neno la Yahwe litasimama daima.''
9 Thou that prechist to Sion, stie on an hiy hil; thou that prechist to Jerusalem, enhaunse thi vois in strengthe; enhaunse thou, nyle thou drede; seie thou to the citees of Juda, Lo! youre God.
Nenda juu ya mlima mrefu, Sayuni, mbeba taarifa njema. waambie miji ya Yuda, ''Hapa ni Mungu wako!''
10 Lo! the Lord God schal come in strengthe, and his arm schal holde lordschipe; lo! his mede is with hym, and his werk is bifore hym.
Angalia, Bwana Yahwe anakuja kama mpiganaji shujaa na jeshi imara linatawa juu yake. Ona, zawadi yako iko kwake, na wale walikombolewa wataenda mbele yake.
11 As a scheepherd he schal fede his flok, he schal gadere lambreen in his arm, and he schal reise in his bosom; he schal bere scheep `with lomb.
Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya kondoo katika jeshi lake, na kulichukua karibu na moyo wake, kwa upole atawongoza wake kuwauuguza watoto wao.
12 Who mat watris in a fist, and peiside heuenes with a spanne? Who peiside the heuynesse of the erthe with thre fyngris, and weide mounteyns in a weihe, and litle hillis in a balaunce?
Ni nani aliyepima maji ya mashimo kwa mkono wake, anayepima anga kwa urefu wa mkono wake, na kuweka vumbi za nchi katika kikapu, kupima milima kwa mizani, au vilima kwa usawa?
13 Who helpide the Spirit of the Lord, ether who was his councelour, and schewide to hym?
Ni nani aliyeelewa akili za Yahwe, au kumuelekeza yeye kama mshauri?
14 With whom took he councel, and who lernyde hym, and tauyte hym the path of riytfulnesse, and lernyde hym in kunnyng, and schewyde to him the weie of prudence?
Ni kutka kwa nani alipokea maelekezo milele? Nani alikufundisha njia sahihi ya kufanya vitu, kumfundisha yeye maarifa, au kumuonyesha njia ya ufahamu?
15 Lo! folkis ben as a drope of a boket, and ben arettid as the tunge of a balaunce; lo!
Tazama, Mataifa ni kama tone katika ndoo, na kama mavumbi kwenye mizani; ona, na alipima kisiwa kama tundu.
16 ylis ben as a litil dust, and the Liban schal not suffice to brenne his sacrifice, and the beestis therof schulen not suffice to brent sacrifice.
Lebanoni sio mafuta ya kutosha, wala wanyama pori wake hawatoshi kwa dhabihu ya kuteketezwa.
17 Alle folkis ben so bifore hym, as if thei ben not; and thei ben rettid as no thing and veyn thing to hym.
Mataifa yote hayatochelezi mbele yake; wanachukuliwa na yeye kama hakuna kitu.
18 To whom therfor maden ye God lijk? ether what ymage schulen ye sette to hym?
Ni nanibasi utayemlingalisha na Mungu? Ni kwa sanamu ipi utakayomfananisha nayo?
19 Whether a smyth schal welle togidere an ymage, ether a gold smyth schal figure it in gold, and a worchere in siluer schal diyte it with platis of siluer?
Sanamu! ambayo fundi ameitupa: Mfua dhahabu ameka pamoja na mikufu bandi ya fedha.
20 A wijs crafti man chees a strong tre, and vnable to be rotun; he sekith how he schal ordeyne a symylacre, that schal not be mouyd.
Kuafanya sadaka hii mtu atachagua kuni ambayo haiozi; anamtafuta fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza sanamu ambayo haitaanguka.
21 Whether ye witen not? whether ye herden not? whether it was not teld to you fro the begynnynge? whether ye vndurstoden not the foundementis of erthe?
Je hamkujua? Je hamjasikia? Je hamkuambiwa tokea mwanzo? Je hamkuelewa toka misingi ya nchi?
22 Which sittith on the cumpas of erthe, and the dwelleris therof ben as locustis; which stretchith forth heuenes as nouyt, and spredith abrood tho as a tabernacle to dwelle.
Yeye ndiye aketie juu ya upeo wa macho ya nchi? na wenyeji wake ni kama panzi mbele yake. Akijinyoosha nje ya mbingu ni kama pazia na kutawnya nje kama hema la kuishi.
23 Which yyueth the sercheris of priuytees, as if thei be not, and made the iugis of erthe as a veyn thing.
Anawapunguza viongozi kuwa si kitu na amewafanya viongozi wa nchi kwa sio wenye umuhimu.
24 And sotheli whanne the stok of hem is nether plauntid, nether is sowun, nether is rootid in erthe, he bleew sudenli on hem, and thei drieden vp, and a whirle wynd schal take hem awei as stobil.
Tazama wamekuwa wagumu kuotesha; tazama wamekuwa wagumu kupanda; imekuwa ni vigumu kuchukua mzizi katika nchi, kabla ajapuliza juu yao, na wakanyauka, na upepo unawaondosha mbali kama majani.
25 And to what thing `ye han licned me, and han maad euene? seith the hooli.
Ni nani tena utakayemfananisha na mimi, ni nani ninayefanan nae?'' amesema mtakatifu.
26 Reise youre iyen an hiy, and se ye, who made these thingis of nouyt; which ledith out in noumbre the kniythod of tho, and clepith alle bi name, for the multitude of his strengthe, and stalworthnesse, and vertu; nether o residue thing was.
Tazama juu kwenye anga! Nani aliyeziumba nyota hizi zote? Analileta nje jeshi na anawaita kwa majina yote. Kwa ukuu wa nguvu zake na kwa uimara wa nguvu zake, hakuna hata mmoja atakayekosa.
27 Whi seist thou, Jacob, and spekist thou, Israel, My weie is hid fro the Lord, and my doom passide fro my God?
Kwa nini unasema, Yakobo, na kutangaza, Israeli, ''Njia yangu imefichwa Yahwe asione, na Mungu wangu hakuwekwa wazi kuhusiana na uthibitisho wangu''?
28 Whether thou knowist not, ether herdist thou not? God, euerlastynge Lord, that made of nouyt the endis of erthe, schal not faile, nether schal trauele, nether enserchyng of his wisdom is.
Je hakufahamu? Mungu wa milele, Yahwe, Muumbaji wa miisho ya nchi, apatwi na uchovu wala hachoki; hakuna mipaka katika ufahamu wake.
29 That yyueth vertu to the weeri, and strengthe to hem that ben not, and multiplieth stalworthnesse.
Anawapa nguvu waliochoka; na atawapa nguvu mpya waliowadhaifu.
30 Children schulen faile, and schulen trauele, and yonge men schulen falle doun in her sikenesse.
Hata vijana wadogo watapatwa na uchovu na kuchoka, vijana wadogo watapata mashaka na kuanguka:
31 But thei that hopen in the Lord, schulen chaunge strengthe, thei schulen take fetheris as eglis; thei schulen renne, and schulen not trauele; thei schulen go, and schulen not faile.
Lakini wale watakao mngojea Yahwe watapewa nguvu mpya; na watapaa kwa mbawa kama malaika; watakimbia wala hawatachoka; watatembea wala hawatazimia.