< Isaiah 20 >

1 In the yeer wherynne Tharthan entride in to Azotus, whanne Sargon, the kyng of Assiriens, hadde sent hym, and he hadde fouyte ayens Azotus, and hadde take it;
Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
2 in that tyme the Lord spak in the hond of Isaye, the sone of Amos, and seide, Go thou, and vnbynde the sak fro thi leendis, and take awei thi schoon fro thi feet. And he dide so, goynge nakid and vnschood.
wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
3 And the Lord seide, As my seruaunt Ysaie yede nakid and vnschood, a signe and greet wondur of thre yeer schal be on Egipt, and on Ethiopie;
Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
4 so the kyng of Assiriens schal dryue the caitifte of Egipt, and the passyng ouer of Ethiopie, a yong man and an eld man, nakid and vnschood, with the buttokis vnhilid, to the schenschipe of Egipt.
vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
5 And thei schulen drede, and schulen be schent of Ethiopie, her hope, and of Egipt, her glorie.
Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
6 And a dwellere of this ile schal seie in that dai, This was our hope, to which we fledden for help, that thei schulden delyuere vs fro the face of the kyng of Assiryens; and hou moun we ascape?
Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”

< Isaiah 20 >