< Isaiah 16 >

1 Lord, sende thou out a lomb, the lordli gouernour of erthe, fro the stoon of desert to the hil of the douyter of Sion.
Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
2 And it schal be as a foule fleynge, and briddis fleynge awei fro the nest, so schulen be the douytris of Moab in the passyng ouer of Arnon.
Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
3 Take thou councel, constreyne thou councel; sette thou as niyt thi schadewe in myddai, hide thou hem that fleen, and bitraye thou not men of vnstidfast dwellyng.
Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
4 My fleeris awei schulen dwelle at thee. Moab, be thou the hidyng place of hem fro the face of distriere. For whi dust is endid, the wretchid is wastid; he that defoulide the lond failude.
Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
5 And the kyngis seete schal be maade redi in merci, and he schal sitte on it in treuthe, in the tabernacle of Dauid, demynge, and sekynge doom, and yeldynge swiftli that that is iust.
Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
6 We han herd the pride of Moab, he is ful proud; his pride, and his boost, and his indignacioun is more than his strengthe.
Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
7 Therfor Moab schal yelle to Moab, al Moab shal yelle to hem that ben glad on the wallis of bakun tijl stoon; speke ye her woundis.
Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
8 For whi the subarbis of Esebon and the vyner of Sabama ben forsakun. The lordis of hethene men han kit doun the siouns therof; thei camen `til to Jaser, thei erriden in desert. The bowis therof ben forsakun, thei passiden the see.
Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
9 On this thing Y schal wepe in the weping of Jaser, and on the vyner of Sabama. Esebon and Eleale, Y schal fille thee with my teer; for the vois of defouleris fellen on thi vyndage, and on thi heruest.
Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
10 And gladnesse and ful out ioiyng schal be takun awei fro Carmele; and noon schal make ful out ioye, nether schal synge hertli song in vyneris. He that was wont to wringe out, schal not wrynge out wyn in a pressour; Y haue take awei the vois of wryngeris out.
Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
11 On this thing my wombe schal sowne as an harpe to Moab, and myn entrails to the wal of bakun tiel stoon.
Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
12 And it schal be, whanne it schal appere, that Moab hath trauelid on hise places, it schal entre to hise hooli thingis, that it biseche, and it schal not be worth.
Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
13 This is the word which the Lord spak to Moab fro that tyme.
Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
14 And now the Lord spak, seiynge, In thre yeer that weren as the yeeris of an hirid man, the glorie of Moab schal be takun awei on al the myche puple; and ther schal be left in it as a litil rasyn, and a litil, and not myche.
Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.

< Isaiah 16 >