< Genesis 40 >
1 Whanne these thingis weren doon so, it bifelde that twei geldyngis, the boteler and the baker `of the kyng of Egipt, synneden to her lord.
Ikawa baada ya mambo haya, mnyweshaji wa mfalme wa Misri na mwokaji wa mfalime walimkosa bwana wao, mfalme wa Misri.
2 And Farao was wrooth ayens hem, for the toon was `souereyn to boteleris, the tother was `souereyn to bakeris.
Farao akawakasirikia hawa maafsa wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
3 And he sente hem in to the prisoun of the prince of knyytis, in which also Joseph was boundun.
Akawaweka katika lindo katika nyumba ya kapteni wa walinzi, katika gereza lile Yusufu alimofungwa.
4 And the keper of the prisoun bitook hem to Joseph, which also `mynystride to hem. Sumdel of tyme passide, and thei weren hooldun in kepyng, and bothe sien a dreem in o nyyt,
Kapteni wa walinzi akamweka Yusufu kuwa mtumishi wao. Walikaa kifungoni kwa muda fulani.
5 bi couenable expownyng to hem.
Wote wakaota ndoto - mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wamefungwa gerezani - kila mmoja akaota ndoto usiku huo huo, na kila ndoto ilikuwa na tafsiri yake.
6 And whanne Joseph hadde entrid to hem eerli, and hadde seyn hem sori,
Yusufu akaja kwao asubuhi na kuwaona. Tazama, walikuwa na uzuni.
7 he axide hem, and seide, Whi is youre `face soriere to dai than it ys wont?
Akawauliza maafsa wa Farao waliokuwa pamoja naye kifungoni katika nyumba ya bwana wake, kusema, “Kwa nini leo mnaoneka wenye uzuni?”
8 Whiche answeriden, We seiyen a dreem, and `noon is that expowneth to vs. And Joseph seide to hem, Whether expownyng is not of God? Telle ye to me what ye han seyn.
Wakamwambia, Sisi wote tumeota ndoto na hakuna wakuitafsiri.” Yusufu akawambia, “Je tafsiri haitoki kwa Mungu? Niambieni, tafadhari.”
9 The `souereyn of boteleris telde first his dreem; Y seiy that a vyne bifore me,
Mkuu wa wanyweshaji akamwambia Yusufu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu, tazama, kulikuwa na mzabibu mbele yangu.
10 in which weren thre siouns, wexide litil and litil in to buriounnyngis, and that aftir flouris grapys wexiden ripe,
Na kulikuwa na matawi matatu katika mzabibu huo. Ulipochipua, ukachanua maua na kuzaa vichala vya zabibu.
11 and the cuppe of Farao was in myn hond; therfor Y took the grapis, and presside out in to the cuppe which Y helde, and Y yaf drynk to Farao.
Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu. Nikachukua zabibu na kuzikamua katika kikombe cha Farao, na kukiweka kikombe katika mkono wa Farao.”
12 Joseph answerde, This is the expownyng of the dreem; thre siouns ben yit thre daies,
Yusufu akamwambia, “Tafsiri yake ni hii. Yale matawi matatu ni siku tatu.
13 aftir whiche Farao schal haue mynde of thi seruyce, and he schal restore thee in to the firste degree, and thou schal yyue to hym the cuppe, bi thin office, as thou were wont to do bifore.
Ndani ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako na kukurudisha katika nafasi yako. Utakiweka kikombe cha Farao katika mkono wake, kama ulivyokuwa ulipokuwa mnyweshaji wake.
14 Oneli haue thou mynde on me, whanne it is wel to thee, and thou schalt do merci with me, that thou make suggestioun to Farao, that he lede me out of this prisoun;
Lakini unikumbuke ukifanikiwa, na unionesha wema. Unitaje kwa Farao na kuniondoa hapa gerezani.
15 for theefli Y am takun awei fro the lond of Ebrews, and here Y am sent innocent in to prisoun.
Maana hakika nilitekwa kutoka katika nchi ya Waebrania. Na hapa sijafanya chochote kinachonipasa niwekwe gerezani.”
16 The `maister of bakeris seiye that Joseph hadde expowned prudentli the dreem, and he seide, And Y seiy a dreem, that Y hadde thre panyeris of mele on myn heed,
Mkuu wa waokaji alipoona kwamba tafsiri ilikuwa ya kuvutia, akamwambia Yusufu, “Mimi pia niliota ndoto, na tazama, vikapu vitatu vya mikate vilikuwa juu ya kichwa changu.
17 and Y gesside that Y bar in o panyere, that was heiyere, alle metis that ben maad bi craft of bakers, and that briddis eeten therof.
Katika kikapu cha juu kulikuwa na kila aina za bidhaa ya kuokwa kwa Farao, lakini ndege wakavila ndani ya kikapu juu ya kichwa changu.”
18 Joseph answerde, This is the expownyng of the dreem; thre panyeris ben yit thre daies,
Yusufu akajibu na kusema, “Tafsiri ni hii. Vikapu vitatu ni siku tatu.
19 aftir whiche Farao schal take awei thin heed, and he schal hange thee in a cros, and briddis schulen todrawe thi fleischis.
Ndani ya siku tatu Fareao atakiinua kichwa chako kutoka kwako na atakutundika juu ya mtu. Ndege watakula mwili wako.”
20 Fro thennus the thridde dai was the dai of birthe of Farao, which made a greet feeste to hise children, and hadde mynde among metis on the maistir `of boteleris, and on the prince of bakeris;
Ikawa siku ya tatu ambayo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Farao. Akafanya sherehe kwa watumishi wake wote. “Akakiinua juu” kichwa cha mkuu wa wanyweshaji na kichwa cha mkuu wa waokaji, kati ya watumishi wake.
21 and he restoride the oon in to his place, that he schulde dresse cuppe to `the kyng,
Akamrudisha mkuu wa wanyweshaji katika majukumu yake, na akakiweka tena kikombe katika mkono wa Farao.
22 and he hangide `the tothir in a gebat, that the treuthe of `the expownere schulde be preued.
Lakini akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyokuwa amewatafsiria.
23 And netheles whanne prosperitees bifelden, the `souereyn of boteleris foryat `his expownere.
Hata hivyo mkuu wa wanyweshaji hakukumbuka kumsaidia Yusufu. Badala yake, alimsahau.