< Ezekiel 14 >
1 And men of the eldris of Israel camen to me, and saten bifor me.
Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
2 And the word of the Lord was maad to me, and he seide, Sone of man,
Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
3 these men han set her vnclennesses in her hertis, and han set stidfastli the sclaundre of her wickidnesse ayens her face. Whether Y `that am axid, schal answere to hem?
“Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
4 For this thing speke thou to hem, and thou schalt seie to hem, These thingis seith the Lord God, A man, a man of the hous of Israel, that settith hise vnclennessis in his herte, and settith stidfastli the sclaundre of his wickidnesse ayens his face, and cometh to the profete, and axith me bi hym, Y the Lord schal answere to hym in the multitude of hise vnclennessis;
Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
5 that the hous of Israel be takun in her herte, bi which thei yeden awei fro me in alle her idols.
Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
6 Therfor seie thou to the hous of Israel, The Lord God seith these thingis, Be ye conuertid, and go ye awei fro youre idols, and turne awei youre faces fro alle youre filthis.
Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
7 For whi a man, a man of the hous of Israel, and of conuersis, who euer is a comelyng in Israel, if he is alienyd fro me, and settith hise idols in his herte, and settith stidfastli the sclaundir of his wickidnesse ayens his face, and he cometh to the profete, to axe me bi hym, Y the Lord schal answere hym bi my silf.
Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
8 And Y schal sette my face on that man, and Y schal make hym in to ensaumple, and in to a prouerbe, and Y schal leese hym fro the myddis of my puple; and ye schulen wite, that Y am the Lord.
Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
9 And whanne a profete errith, and spekith a word, Y the Lord schal disseyue that profete; and Y schal stretche forth myn hond on hym, and Y schal do hym awei fro the myddis of my puple Israel.
Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
10 And thei schulen bere her wickidnesse; bi the wickidnesse of the axere, so the wickidnesse of the profete schal be;
Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
11 that the hous of Israel erre no more fro me, nether be defoulid in alle her trespassyngis; but that it be in to a puple to me, and Y be in to a God to hem, seith the Lord of oostis.
Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
12 And the word of the Lord was maad to me, and he seide,
Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
13 Sone of man, whanne the lond synneth ayens me, that it trespassynge do trespas, Y schal stretche forth myn hond on it, and Y schal al to-breke the yerde of breed therof; and Y schal sende hungur in to it, and Y schal sle of it man and beeste.
“Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
14 And if these thre men Noe, Danyel, and Job, ben in the myddis therof, thei bi her riytfulnesse schulen delyuere her soulis, seith the Lord of oostis.
kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
15 That if also Y brynge in worste beestis on the lond, that Y distrie it, and if it is with out weie, for that no passer is for the beestis,
Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
16 and these thre men, that `ben bifore seid, ben therynne, Y lyue, seith the Lord God, for thei schulen nethir delyuere sones, nether douytris, but thei aloone schulen be deliuered; forsothe the lond schal be maad desolat.
kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
17 Ethir if Y brynge in swerd on that lond, and Y seie to the swerd, Passe thou thorouy the lond, and Y sle of it man and beeste,
Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
18 and these thre men ben in the myddis therof, Y lyue, seith the Lord God, that thei schulen not delyuere sones nether douytris, but thei aloone schulen be delyuered.
kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
19 Forsothe if Y brynge in also pestilence on that lond, and Y schede out myn indignacioun on it in blood, that Y do awei fro it man and beeste,
Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
20 and Noe, and Danyel, and Joob, ben in the myddis therof, Y lyue, seith the Lord God, for thei schulen not delyuere a sone and a douyter, but thei bi her riytfulnesse schulen delyuere her soulis.
kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
21 For the Lord God seith these thingis, That thouy Y sende in my foure worste domes, swerd, and hungur, and yuele beestis, and pestilence, in to Jerusalem, that Y sle of it man and beeste,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
22 netheles saluacioun of hem that leden out sones and douytris, schal be left ther ynne. Lo! thei schulen go out to you, and ye schulen se the weie of hem, and the fyndyngis of hem; and ye schulen be coumfortid on the yuel, which Y brouyte in on Jerusalem, in alle thingis whiche Y bar in on it.
Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
23 And thei schulen coumforte you, whanne ye schulen se the weie of hem and the fyndyngis of hem; and ye schulen knowe, that not in veyn Y dide alle thingis, what euer thingis Y dide there ynne, seith the Lord almyyti.
Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”