< Exodus 33 >
1 And the Lord spak to Moyses, and seide, Go and stie fro this place, thou, and the puple, whom thou leddist out of the lond of Egipt, in to the lond, which Y haue swore to Abraham, and to Ysaac, and to Jacob, `and Y seide, Y schal yyue it to thi seed.
Yahweh anasema na Musa, “Nenda kutoka hapa, wewe na watu ulio watoa kutoka nchi ya Misri. Nenda kwenye nchi nilio fanya nadhiri na Ibrahimu, Isaka, Yakobo, nilipo sema, 'Nitakupa wewe na uzao wako'.'
2 And Y schal sende thi bifore goere an aungel, that Y caste out Cananey, and Amorei, and Ethei, and Ferezei, and Euey, and Jebusey;
Nitatuma malaika mbele yako, na kuwaondoa Wakanani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
3 and that thou entre in to the lond flowynge with mylk and hony; for Y schal not stye with thee, for `thou art a puple of hard nol, lest perauenture Y leese thee in the weie.
Nenda kwenye hiyo nchi, inayo tiririka kwa maziwa na asali, lakini sitaenda nawe, kwasababu ninyi ni watu wajehuri. Ninaweza kuwaharibu njiani.”
4 The puple herde this worste word, and morenyde, and noon was clothid with his ournyng bi custom.
Watu walipo sikia haya maneno ya kushtua, walilia, na hakuna aliye vaa mikufu.
5 And the Lord seide to Moises, Spek thou to the sones of Israel, Thou art a puple of hard nol; onys Y schal stie in the myddis of thee, and Y schal do awey thee; riyt now putte awei thin ournyng, that Y wite, what Y schal do to thee.
Yahweh alisema kwa Musa, “Waambie Waisraeli, 'Ninyi ni watu wakorofi. Kama ningeenda miongoni mwenu ata kwa muda kidogo, nigewaharibu ninyi. Hivyo sasa, toa mikufu yenu ili niamue nini cha kufanya kwenu.”'
6 Therfor the sones of Israel puttiden awey her ournyng fro the hil of Oreb.
Hivyo Waisraeli hawaku vaa mikufu kutoka Mlima Horebu na kwendelea.
7 And Moises took the tabernacle, and settide fer with out the castels, and he clepide the name therof the tabernacle of boond of pees. And al the puple that hadde ony questioun, yede out to the tabernacle of boond of pees, with out the castels.
Musa akachukua hema na kukita nje ya kambi, umbali kidogo na kambini. Aliita hema ya kukutania. Kila mtu alliye muuliza Yahweh kitu chochote alienda kwenye hema ya kukutania, nje ya kambi.
8 And whanne Moises yede out to the tabernacle, al the puple roos, and ech man stood in the dore of his tente, and thei bihelden `the bak of Moises, til he entride in to the tente.
Kisha Musa alipo enda kwenye hema, watu wote walisima kando ya hema yao na kumuangalia Musa hadi alipo ingia ndani.
9 Sotheli whanne he entride in to the tabernacle of boond of pees, a piler of cloude cam doun, and stood at the dore; and the Lord spak with Moises,
Wakati wowote Musa alipo ingia hemani, nguzo ya wingu ilishuka chini na kusimama nje ya lango la hema, na Yahweh alizungumza na Musa.
10 while alle men sien that the piler of cloude stood at the `dore of tabernacle; and thei stoden, and worschipiden bi the dores of her tabernaclis.
Wakati wowote watu walipo ona nguzo ya wingu imesimama langoni mwa hema, waliamka na kuabudu, kila langoni mwa hema yake.
11 Forsothe the Lord spak to Moises face to face, as a man is wont to speke to his freend; and whanne he turnede ayen in to `the castels, Josue, his mynystre, the sone of Nun, a child, yede not awey fro the tabernacle.
Yahweh alizungumza na Musa uso kwa uso, kama mtu anapo zungumza na rafiki yake. Kisha Musa alirudi kambini, lakini mtumishi wake Yoshua mwana wa Nuni, kijana, alibaki hemani.
12 Forsothe Moises seide to the Lord, Thou comaundist, that Y lede out this puple, and thou `schewist not to me, whom thou schalt sende with me, `most sithen thou seidist, Y knewe thee bi name, and thou hast founde grace bifore me.
Musa alisema na Yahweh, “Ona, umekuwa ukisema na mimi, 'Chukuwa watu hawa safarini,' lakini hauja niambia nani utamtuma na mimi. Umesema, 'Nina kujua kwa jina, na umepata upendeleo kwangu.'
13 Therfore if Y haue founde grace in thi siyt, schewe thi face to me, that Y knowe thee, and fynde grace bifor thin iyen; biholde thi puple, and this folk.
Kama nimepata upendeleo machoni pako, nionyeshe njia zako ili nikujue na kuendelea kupata upendeleo machoni pako. Kumbuka ili taifa ni watu wako.”
14 And God seide, My face schal go bifor thee, and Y schal yyue reste to thee.
Yahweh akajibu, “Uwepo wangu utaenda nawe, na nitakupa pumziko.”
15 And Moises seide, If thi silf schalt not go bifore, `lede not vs out of this place;
Musa akasema, “Kama uwepo wako hautaenda nasi, usitutoe hapa.
16 for in what thing moun we wite, Y and thi puple, that we han founde grace in thi siyt, if thou schalt not go with vs, that we be glorified of alle puplis that dwellen on erthe?
Au je, itajulikanaje niimepata upendeleo machoni pako, mimi na watu wako? Haitakuwa kuwa tu kama ukienda nasi mimi na watu wako tutakuwa na utofauti na watu wengine wote waliopo katika uso wa dunia?”
17 Forsothe the Lord seide to Moises, Y schal do also this word, which thou hast spoke; for thou hast founde grace bifor me, and Y knewe thi silf bi name.
Yahweh akamwambia Musa, “Nitafanya pia hichi kitu ulicho niomba, kwa kuwa umepata upendeleo machoni mwangu, na nina kujua kwa jina lako.”
18 And Moises seide, Schewe thou thi glorie to me.
Musa akasema, Tafadhali nionyeshe utukufu wako.”
19 God answeride, Y schal schewe al good to thee, and Y schal clepe in the `name of the Lord bifor thee, and Y schal do merci to whom Y wole, and Y schal be merciful on whom it plesith to me.
Yahweh akasema, “Nitafanya wema wangu wote ujulikani kwako, na nitatangaza jina langu 'Yahweh' kwako. Nitakuwa na neema kwake nitakae kuwa na neema, na nitaonyesha rehema kwake nitakaye onyesha rehema.”
20 And eft God seide, Thou maist not se my face, for a man schal not se me, and schal lyue.
Lakini Yahweh akasema, “Hauta ona uso wangu, kwa kuwa hakuna aonaye uso wangu na kuiishi.”
21 And eft God seide, A place is anentis me, and thou schalt stonde on a stoon;
Yahweh akasema, “Ona, hapa kuna sehemu yangu; utasimama kwenye huu mwamba.
22 and whanne my glorie schal passe, Y schal sette thee in the hoole of the stoon, and Y schal kyuere with my riyt hond, til Y passe; and Y schal take awey myn hond,
Wakati utukufu wangu unapita, nitakuweka kwenye shimo kubwa la mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapo pita.
23 and thou schalt se myn hyndrere partis, forsothe thou mayst not se my face.
Kisha nitaondoa mkono wangu, na utaona mgongo wangu, ila uso wangu hautaonekana.”