< Exodus 27 >
1 Also thou schalt make an auter of the trees of Sechym, which schal haue fyue cubitis in lengthe, and so many in brede, that is, sqware, and thre cubitis in heiythe.
Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
2 Forsothe hornes schulen be bi foure corneris therof; and thou schalt hile it with bras.
Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
3 And thou schalt make in to the vsis of the auter pannes, to resseyue aischis, and tongis, and fleisch hookis, and resettis of fyris; thou schalt make alle vessilis of bras.
Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
4 And thou schalt make a brasun gridele in the maner of a net, and bi four corneris therof schulen be foure brasun ryngis,
Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
5 whiche thou schalt putte vndur the yrun panne of the auter; and the gridele schal be til to the myddis of the auter.
Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
6 And thou schalt make twey barris of the auter, of the trees of Sechym, whiche barris thou schalt hile with platis of bras;
Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
7 and thou schalt lede yn `the barris bi the cerclis, and tho schulen be on euer eithir side of the auter, to bere.
Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
8 Thou schalt make that auter not massif, but voide, and holowe with ynne, as it was schewid to thee in the hil.
Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
9 Also thou schalt make a large street of the tabernacle, `in the maner of a chirche yeerd, in whos mydday coost ayens the south schulen be tentis of bijs foldid ayen; o side schal holde an hundrid cubitis in lengthe,
Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
10 and twenti pileris, with so many brasun foundementis, whiche pileris schulen haue silueren heedis with her grauyngis.
Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
11 In lijk maner in the north side, bi the lengthe, schulen be tentis of an hundrid cubitis, twenti pileris, and brasun foundementis of the same noumbre; and the heedis of tho pileris with her grauyngis schulen be of siluer.
Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
12 Forsothe in the breede of the large street, that biholdith to the west, schulen be tentis bi fifti cubitis, and ten pileris schulen be, and so many foundementis.
Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
13 In that breede of the large street, that biholdith to the eest, schulen be fifti cubitis,
Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
14 in whiche the tentis of fiftene cubitis schulen be assigned to o side, and thre pileris, and so many foundementis;
Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
15 and in the tother side schulen be tentis holdynge fiftene cubitis, and thre pileris, and so many foundementis.
Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
16 Forsothe in the entryng of the `greet strete schal be maad a tente of twenti cubitis, of iacynt, and purpur, and of reed selk twies died, and of bijs foldid ayen bi broideri werk; it schal haue four pileris, with so many foundementis.
Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
17 Alle the pileris of the grete street bi cumpas schulen be clothid with platis of siluer, with hedis of siluer, and with foundementis of bras.
Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
18 The greet street schal ocupie an hundrid cubitis in lengthe, fifti in breede; the hiyenesse of the tente schal be of fiue cubitis; and it schal be maad of bijs foldid ayen; and it schal haue brasun foundementis.
Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
19 Thou schalt make of bras alle the vesselis of the tabernacle, in to alle vsis and cerymonyes, as wel stakis therof, as of the greet street.
Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
20 Comaunde thou to the sones of Israel, that thei brynge to thee the clenneste oile of `the trees of olyues, and powned with a pestel, that a lanterne
awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
21 brenne euere in the tabernacle of witnessyng with out the veil, which is hangid in the tabernacle of witnessyng; and Aaron and hise sones schulen sette it, that it schyne bifore the Lord til the morewtid; it schal be euerlastynge worschiping bi her successiouns of the sones of Israel.
Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.