< Exodus 11 >

1 And the Lord seide to Moises, Yit Y schal touche Farao and Egipt with o veniaunce, and after these thingis he schal delyuere you, and schal constreyne you to go out.
Kisha Yahweh akamwambia Musa, “Bado kuna pigo moja nitalo lileta kwa Farao na Misri. Baada ya hilo, atakuacha uondoke hapa. Atakapo kuachia uende, ata kuondoa kabisa.
2 Therfor thou schalt seie to al the puple, that a man axe of his freend, and a womman of hir neiyboresse, silueren vessels and goldun, and clothis;
Waelekeze watu kwamba kila mwanaume na mwanamke amuulizie jirani yake vitu vya fedha na vitu vya dhahabu.”
3 forsothe the Lord schal yyue grace to his puple bifor Egipcians. And Moises was a ful greet man in the lond of Egipt, bifore the seruauntis of Farao and al the puple;
Sasa Yahweh aliwafanya Wamisri kuwa na shauku ya kuwapendeza Waisraeli. Aidha, Musa alikuwa wakuvutia sana machoni pa watumishi wa Farao na watu wa Misri.
4 and he seide, The Lord seith these thingis, At mydnyyt Y schal entre in to Egipt;
Musa akasema, “Yahweh asema hivi: 'Wakati wa usiku wa manane nitaenda Misri yote.
5 and ech firste gendrid thing in the lond of Egipcians schal die, fro the firste gendrid of Farao, that sittith in the trone of hym, til to the firste gendrid of the handmayde, which is at the querne; and alle the firste gendrid of beestis schulen die;
Wazaliwa wa kwanza wote wa nchi ya Misri watakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, anaye keti kiti chake cha enzi, mpaka mzaliwa wa kwanza wa misichana mtumwa anaye saga mbegu, na kwa wazaliwa wa kwanza wa mifugo.
6 and greet cry schal be in al the lond of Egipt, which maner cry was not bifore, nether schal be aftirward.
Kisha kutakuwa na kilio kikubwa nchi yote ya Misri, kama ambacho hakijawai wala hakitatokea tena.
7 Forsothe at alle the children of Israel a dogge schal not make priuy noise, fro man til to beeste; that ye wite bi how greet myracle the Lord departith Egipcians and Israel.
Lakini ata mbwa hata bweka kwa watu wa Israeli, dhidi ya mtu au mnyama. Kwa hili utajuwa kuwa nina watendea Wamisri na Waisraeli tofauti.'
8 And alle these thi seruauntis schulen come doun to me, and thei schulen preye me, and schulen seie, Go out thou, and al the puple which is suget to thee; aftir these thingis we schulen go out.
Watumishi wote hawa wako, Farao, watakuja chini yangu na kunisujudu mimi. Watasema, 'Nenda, wewe na watu wote wanao kufuata!' Baada ya hapo nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao kwa hasira kubwa.
9 And Moyses was ful wrooth, and yede out fro Farao. Forsothe the Lord seide to Moises, Farao schal not here you, that many signes be maad in the lond of Egipt.
Yahweh akamwambia Musa, Farao hatakusikiliza. Hii ni ili nifanye mambo ya ajabu katika nchi ya Misri.”
10 Sotheli Moises and Aaron maden alle signes and wondris, that ben writun, bifor Farao; and the Lord made hard the herte of Farao, nether he delyuerede the sones of Israel fro his lond.
Musa na Aruni wakafanya mambo haya ya kushangaza mbele za Farao. Lakini Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu, na Farao hakuwaacha watu wa Israeli kuondoka katika nchi yake.

< Exodus 11 >